Yanga yajibu mapigo ya Azam

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Yanga, Abdallah Bin Kleb. Na Sweetbert Lukonge SIKU chache baada ya Azam kuipagawisha Yanga kwa kuwasajili nyota wake wawili Frank Domayo na Didier Kavumbagu, timu hiyo imejibu mapigo hayo kwa kumnasa bonge la mshambuliaji kutoka Ghana. Yanga imefikia hatua hiyo ili iweze kuimarisha safu yake ya ushambuliaji ambayo hivi karibuni ilipata pigo baada ya kukimbiwa na Kavumbagu aliyetua Azam kwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV18 Aug
HATIMAYE AZAM YAJIBU MAPIGO YA YANGA

10 years ago
Vijimambo21 Sep
Kiiza ajibu mapigo Yanga

Yanga juzi iliifunga JKT Ruvu mabao 4-1 na kufikisha pointi tisa, sawa na Simba zikiwa zimetofautiana uwiano wa mabao. Mechi hiyo ilianza kwa kushambuliana kwa zamu na Kiiza...
10 years ago
Habarileo03 Nov
Ni Yanga na Azam
MBIO za kukalia kiti cha uongozi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, sasa zimebaki kuwa za timu mbili za Yanga na Azam FC, ambao wamekuwa wakibadilishana katika nafasi ya kwanza na pili.
10 years ago
GPL
Yanga yaivurugia Azam
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Azam na Yanga zinamatumaini
10 years ago
Habarileo17 Oct
Yanga, Azam ni kifo
YANGA leo inaikaribisha Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaoamua nani akalie kiti cha uongozi wa ligi hiyo inayoshirikisha jumla ya timu 16.
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Yanga waikataa Azam Tv
10 years ago
Habarileo22 Aug
Yanga, Azam usihadithiwe
AZAM FC ina kibarua kigumu cha kufuta uteja kwa Yanga katika mechi za Ngao ya Jamii wakati zitakapomenyana leo katika mechi ya kufungua msimu wa 2015-16 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.