Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga waikataa Azam Tv

Wanachama wa Yanga wameikataa Azam Tv kurusha mechi zao na kuwataka viongozi wao kuipeleka mahakamani kama itakaidi na kuendelea kurusha mechi za Yanga bila idhini ya klabu hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Masheikh waikataa Rasimu ya Sitta

Sheikh Rajabu Katimba

Msemaji wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Rajabu Katimba

NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM

SHURA ya Maimamu Tanzania imetangaza hatua za kuikwamisha Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, kwa kwenda kuwaeleza waumini wa dini ya Kiislamu kupiga kura ya hapana.

Hatua hiyo imekuja baada ya Rasimu ya Katiba inayopendekezwa iliyowasilishwa mwishoni mwa wiki na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi, Andrew Chenge, kuiweka kando Mahakama ya Kadhi.

Akizungumza na MTANZANIA jana mara baada ya...

 

9 years ago

Mtanzania

Wasanii Tanzania waikataa Cosota

MWANAFA-NEWNA KHABIBU NASSORO, (MUC)

WASANII wa muziki nchini wameukataa uongozi wa Cosota kutokana na usimamizi mbaya wa kazi zao.
Wakizungumza na waandishi wahabari katika kikao kilichofanyika kwenye ukumbi wa Little Theatre, jijini Dar es Salaam jana, walisema hawana imani na uongozi wa Cosota na kampuni ya kusimamia kazi za wasanii Afrika Mashariki (CMEA).
“Hatuna imani na Cosota, CMEA na Basata kutokana na kushindwa kusimamia kazi zetu.
“Hata mchakato uliotumika kupata viongozi wa...

 

10 years ago

Habarileo

Mawakili wa Lipumba waikataa mahakama

Mwenyekiti wa CUF Taifa, Profesa Ibrahim LipumbaUPANDE wa Utetezi katika kesi ya kufanya mkusanyiko usio halali, inayomkabili Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba na wenzake, umepinga Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kusikiliza kesi hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Madiwani waikataa bajeti Mwanza

Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, wameshindwa kupitisha Makadirio ya Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2014/2015 iliyokadiriwa kukusanya Sh87 bilioni kutoka katika vyanzo mbalimbali vya mapato vya halmashauri pamoja na ruzuku kutoka serikalini.

 

11 years ago

Mwananchi

Wawakilishi waikataa Bajeti ya Wizara ya Afya

Baraza la Wawakilishi Zanzibar limeamua kuondoa Bajeti ya Wizara ya Afya baada ya wajumbe wa baraza hilo kuipinga kwa madai kuwa matumizi yaliyopendekezwa hayajazingatia kuondoa kero zinazoikabili sekta ya afya.

 

9 years ago

Habarileo

Ni Yanga na Azam

MBIO za kukalia kiti cha uongozi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, sasa zimebaki kuwa za timu mbili za Yanga na Azam FC, ambao wamekuwa wakibadilishana katika nafasi ya kwanza na pili.

 

10 years ago

Habarileo

Yanga, Azam zapaniana

MABINGWA wa Tanzania Yanga na wale wa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame, Azam FC wamejichimbia kwa ajili ya mechi ya Ngao ya Jamii itakayofanyika Agosti 22 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

TheCitizen

Azam stand in Yanga’s way

All roads will lead to the 60,000-seater National Stadium today as Young Africans take on red-hot Azam FC in a quarterfinal match of the 2015 Cecafa Kagame Cup. Yanga, the five-time Cecafa Kagame Cup champions, are keen on matching Simba SC’s record Kagame Cup titles while Azam are on a mission to win their first regional trophy.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani