Wawakilishi waikataa Bajeti ya Wizara ya Afya
Baraza la Wawakilishi Zanzibar limeamua kuondoa Bajeti ya Wizara ya Afya baada ya wajumbe wa baraza hilo kuipinga kwa madai kuwa matumizi yaliyopendekezwa hayajazingatia kuondoa kero zinazoikabili sekta ya afya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Waiponda Bajeti Wizara ya Afya
Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, imesema Serikali imeweka rehani wananchi wake kutokana na uamuzi wake wa kuchangia kiasi kidogo cha fedha za maendeleo za Bajeti ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii mwaka 2014/15.
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Madiwani waikataa bajeti Mwanza
Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, wameshindwa kupitisha Makadirio ya Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2014/2015 iliyokadiriwa kukusanya Sh87 bilioni kutoka katika vyanzo mbalimbali vya mapato vya halmashauri pamoja na ruzuku kutoka serikalini.
11 years ago
Habarileo10 Jun
Bajeti Wizara ya Afya Z'bar kupitiwa tena
WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi watapitia tena vifungu vya bajeti ya Wizara ya Afya ambayo ilikwama mwishoni mwa wiki, baada ya wajumbe wengi kutoridhishwa na mgawanyo wa fedha katika maeneo muhimu.
10 years ago
Mwananchi02 Jun
Bajeti ya Wizara ya Afya yadaiwa kupungua kila mwaka
>Taasisi ya Sikika imebainisha kuwa fedha kwa ajili ya kununulia dawa zinazotengwa katika bajeti ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii hupunguzwa kila mwaka katika kipindi cha miaka mitano iliyopita.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ugHb9t1tiNY/XuIvGNkNsiI/AAAAAAAEHws/4X2aVxgATicnZGwIwyqm_htZCqO4U7BxACLcBGAsYHQ/s72-c/12.jpg)
Rais Magufuli aitaka Wizara ya Afya kuongeza bajeti katika dawa za asili
![](https://1.bp.blogspot.com/-ugHb9t1tiNY/XuIvGNkNsiI/AAAAAAAEHws/4X2aVxgATicnZGwIwyqm_htZCqO4U7BxACLcBGAsYHQ/s640/12.jpg)
Rais Magufuli ametoa kauli hiyo leo jijini Dodoma wakati akizindua Jengo la Ofisi za TARURA zilizojengwa kwenye mji wa Mtumba.
"Nimeshatoa maelekezo kwa Wizara ya Afya, kile kitengo cha dawa asili kiendelezwe kwa nguvu zote na bajeti iongezwe ili watu...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JE-CDsHh7xw/U3r3EzUrANI/AAAAAAAFjwA/J__UCCaQwDI/s72-c/hor_logo.gif)
RIPOTI YA KAMATI YA BARAZA LA WAWAKILISHI KUHUSU MPANGO WA MAENDELEO NA BAJETI YA SERIKALI
![](http://2.bp.blogspot.com/-JE-CDsHh7xw/U3r3EzUrANI/AAAAAAAFjwA/J__UCCaQwDI/s1600/hor_logo.gif)
SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar imetakiwa kutoa elimu kwa wananchi ili kujua umuhimu wa utalii nchini na kuhakikisha kuwa sekta hiyo inatoa huduma iliyobora na kuimarisha uchumi wa Taifa.
Akiwasilisha Ripoti ya Kamati ya Wenyeviti wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar kuhusu Hali ya Uchumi na Mpango wa Maendeleo kwa mwaka 2014/2015 Mwenyekiti wa Wenyeviti Hamza Hassan Juma amesema ni muhimu kwa Serikali kuimarisha ulinzi kwenye maeneo yote ya utalii na kuondosha vitendo vya uahalifu ili...
5 years ago
MichuziWIZARA YA AFYA ZANZIBAR YAPOKEA MSAADA KUTOKA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI (WHO)
Akipokea msaada huo, huko Wizara ya Afya Mnazimmoja Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Afya Zanzibar Dkt Jamala Adam Taib amelishukuru shirika hilo kwa kutoa msaada ambao utawasaidia wafanyakazi kutekeleza kazi zao kwa ufanisi pamoja na kujikinga na maambukizi ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-B0JHwJ_VYNs/VCQcXwKWu1I/AAAAAAAGluw/MLve-rqhY0E/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
WIZARA YA AFYA YAKABIDHI MABASI 6 KWA VYUO VYA AFYA NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-B0JHwJ_VYNs/VCQcXwKWu1I/AAAAAAAGluw/MLve-rqhY0E/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-EEtTWKJ0p9s/VCQcYF3MDzI/AAAAAAAGlu4/J8IMq3n5mCM/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VzJr97GZtJY/VHiGDuI2y1I/AAAAAAAGz8M/6-c5GBWn8Es/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
Wizara ya Afya yapokea magari na vifaa vya afya kutoka WHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-VzJr97GZtJY/VHiGDuI2y1I/AAAAAAAGz8M/6-c5GBWn8Es/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2bnS26_Ncdw/VHiGD3VabbI/AAAAAAAGz8Q/1d4gBai2jYU/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BF_38glYPMU/VHiGCzTb7fI/AAAAAAAGz8E/Y2DFOn3xxWc/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania