Madiwani waikataa bajeti Mwanza
Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, wameshindwa kupitisha Makadirio ya Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2014/2015 iliyokadiriwa kukusanya Sh87 bilioni kutoka katika vyanzo mbalimbali vya mapato vya halmashauri pamoja na ruzuku kutoka serikalini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo11 Jan
Madiwani wakwamisha bajeti ya Jiji Mwanza
KIKAO cha Baraza la Madiwani jijini Mwanza jana kilikataa kupitisha bajeti ya mwaka 20014/15 kwa madai kuwa haijakidhi matakwa ya wananchi kwa kutoa kipaumbele zaidi kwa wafanyakazi.
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Wawakilishi waikataa Bajeti ya Wizara ya Afya
11 years ago
Mwananchi08 Jan
Madiwani waitilia shaka bajeti 2014
10 years ago
MichuziMADIWANI MANISPAA YA MOSHI WASUSIA KIKAO CHA BAJETI
Msathiki Meya akizungumzia msimamo wake juu ya hatua ya wajumbe wa baraza hilo kutoka nje ya ukumbi wa mikutano wakimtuhumu mkurugenzi wa manispaa hiyo ,Shabani Ntarambe kujihusisha katika uporaji wa Viwanja.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EcQxKwz9HbY/XlOlve9WnDI/AAAAAAALe_E/9A8vNd2zoL8d04DrCK5iIxB3k87rCZ5ZQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_7624AA-1024x682.jpg)
BARAZA LA MADIWANI NYASA LAPITISHA BAJETI YA SH.BILIONI 24.5 MPANGO WA FEDHA 2020/21
![](https://1.bp.blogspot.com/-EcQxKwz9HbY/XlOlve9WnDI/AAAAAAALe_E/9A8vNd2zoL8d04DrCK5iIxB3k87rCZ5ZQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_7624AA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/IMG_7579AA-1024x682.jpg)
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa mh. Altho Komba akizungumza katika kikao cha Baraza la madiwani la Bajeti lililofanyika katika Ukumbi wa Kepten John Komba Mbamba-bay wilayani hapa,kushoto na Kaimu Mkurugenzi wa Wilaya ya Nyasa Bw Bernad Semwaiko……………………………………………………………………………………….Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa Mkoani Ruvuma limepitisha Mpango na Bajeti ya TSh.bilioni 24.5 kwa ajili kutekeleza shughuli mbalimbali za Halmashauri zilizopangwa kufanyika...
11 years ago
Mwananchi28 May
ATCL, Uwanja wa Ndege Mwanza vilivyotishia bajeti ya uchukuzi
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Yanga waikataa Azam Tv
10 years ago
Mtanzania29 Sep
Masheikh waikataa Rasimu ya Sitta
![Sheikh Rajabu Katimba](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Sheikh-Rajabu-Katimba1.jpg)
Msemaji wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Rajabu Katimba
NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM
SHURA ya Maimamu Tanzania imetangaza hatua za kuikwamisha Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, kwa kwenda kuwaeleza waumini wa dini ya Kiislamu kupiga kura ya hapana.
Hatua hiyo imekuja baada ya Rasimu ya Katiba inayopendekezwa iliyowasilishwa mwishoni mwa wiki na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi, Andrew Chenge, kuiweka kando Mahakama ya Kadhi.
Akizungumza na MTANZANIA jana mara baada ya...
10 years ago
Habarileo24 Mar
Mawakili wa Lipumba waikataa mahakama
UPANDE wa Utetezi katika kesi ya kufanya mkusanyiko usio halali, inayomkabili Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba na wenzake, umepinga Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kusikiliza kesi hiyo.