Mawakili wa Lipumba waikataa mahakama
UPANDE wa Utetezi katika kesi ya kufanya mkusanyiko usio halali, inayomkabili Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba na wenzake, umepinga Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kusikiliza kesi hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo05 Feb
Mahakama Kuu yaonya mawakili
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Arusha imewaonya baadhi ya mawakili na mahakimu kuacha mara moja tabia ya kugeuza mahakama kuwa kichaka vya kuchelewesha upatikanaji wa haki, hali hiyo ikitajwa kwa kiasi kikubwa kuchangiwa na baadhi yao kuendekeza maslahi binafsi.
10 years ago
Habarileo09 Feb
Jaji Mahakama Kuu alia na ada kubwa za mawakili
JAJI Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Iringa, Mary Shangali amesema serikali ina wajibu wa kuhakikisha wananchi wanapata huduma za kimahakama bila vikwazo vya kiufundi wala gharama kubwa za ada au malipo ya mawakili.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yspK-7ao_O0/VZOc3BErh6I/AAAAAAAHmLA/lpF5ryAjhe4/s72-c/t1.png)
TANGAZO KWA UMMA, MAWAKILI NA WADAU WOTE WA MAHAKAMA KUU, KANDA YA DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-yspK-7ao_O0/VZOc3BErh6I/AAAAAAAHmLA/lpF5ryAjhe4/s1600/t1.png)
TUNAPENDA KUTOA TAARIFA RASMI KUWA KUANZIA TAREHE 1 JULAI, 2015 SHUGHULI ZA USIKILIZAJI WA MASHAURI KWA NJIA YA USULUHISHI (ALTERNATIVE DISPUTE RESOLUTION – ADR) ZIMEHAMIA KWENYE JENGO LA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC HOUSE), GHOROFA YA TATU MTAA WA SAMORA JIJINI DAR ES SALAAM. JENGO HILO KWA SASA LINATUMIWA PIA NA MAHAKAMA KUU, DIVISHENI YA ARDHI.
KWA MAELEZO NA UFAFANUZI PIGA SIMU NA. 022 2111131 AU 022 2110927 AU 0754 454600 NA BARUA PEPE...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gaMM8kI94yk/Xphwk495LDI/AAAAAAALnMQ/SfoIAlLVdwAjxdo3U4JTX512hSk1o1cwACLcBGAsYHQ/s72-c/375af72e-a1e8-4b33-8647-7501dfff4575.jpg)
MSAJILI MKUU WA MAHAKAMA AWATAKA MAWAKILI NA WATUMISHI KUWA MSTARI WA MBELE KUTUMIA MFUMO WA TEHAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-gaMM8kI94yk/Xphwk495LDI/AAAAAAALnMQ/SfoIAlLVdwAjxdo3U4JTX512hSk1o1cwACLcBGAsYHQ/s640/375af72e-a1e8-4b33-8647-7501dfff4575.jpg)
Msajili Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Mhe.Wilbert Chuma akizungumzia kuhusu matumizi ya mfumo wa kusajili mashauri kwa njia mtandao.
***************************
Na Magreth Kinabo na Innocent Kansha- Mahakama
Watumishi wa Mahakama ya Tanzania na Mawakili wamehimizwa kuwa mstari wa mbele katika matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ili kupunguza msongamano wa watu mahakamani, kuepuka maambukizi ya virusi vya Corona na kuokoa gharama za utoaji haki.
Akizungumza leo ofisini...
10 years ago
Mtanzania05 Jun
Mahakama yawaonya Prof. Lipumba, Mdee
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaonya Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahimu Lipumba na wenzake kwa kuchelewa na Mbunge wa Kawe, Halima Mdee kwa kutohudhuria mahakamani.
Washtakiwa hao walionywa kwa nyakati tofauti jana wakati kesi zao zilipokwama kuendelea kusikilizwa kwa sababu yao.
Kesi inayomkabili Profesa Lipumba na wenzake 31 ilitakiwa kuendelea kusikilizwa, lakini iliahirishwa kwa sababu hakimu anayeisikiliza, Cyprian Mkeha hakuwapo na washtakiwa...
10 years ago
VijimamboLIPUMBA AFIKISHWA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Yanga waikataa Azam Tv
10 years ago
Mtanzania29 Sep
Masheikh waikataa Rasimu ya Sitta
![Sheikh Rajabu Katimba](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Sheikh-Rajabu-Katimba1.jpg)
Msemaji wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Rajabu Katimba
NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM
SHURA ya Maimamu Tanzania imetangaza hatua za kuikwamisha Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, kwa kwenda kuwaeleza waumini wa dini ya Kiislamu kupiga kura ya hapana.
Hatua hiyo imekuja baada ya Rasimu ya Katiba inayopendekezwa iliyowasilishwa mwishoni mwa wiki na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi, Andrew Chenge, kuiweka kando Mahakama ya Kadhi.
Akizungumza na MTANZANIA jana mara baada ya...
9 years ago
Mtanzania06 Jan
Wasanii Tanzania waikataa Cosota
NA KHABIBU NASSORO, (MUC)
WASANII wa muziki nchini wameukataa uongozi wa Cosota kutokana na usimamizi mbaya wa kazi zao.
Wakizungumza na waandishi wahabari katika kikao kilichofanyika kwenye ukumbi wa Little Theatre, jijini Dar es Salaam jana, walisema hawana imani na uongozi wa Cosota na kampuni ya kusimamia kazi za wasanii Afrika Mashariki (CMEA).
“Hatuna imani na Cosota, CMEA na Basata kutokana na kushindwa kusimamia kazi zetu.
“Hata mchakato uliotumika kupata viongozi wa...