Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HATIMAYE AZAM YAJIBU MAPIGO YA YANGA

AZ Azam FC wameshinda mechi ya tatu mfululizo ya kirafiki visiwani Zanzibar baada ya usiku huu kuichakaza 2-0 JKU ya visiwani humo. Magoli ya Azam yamefungwa na John Raphael Bocco ‘Adebayor’ na  Salum Abubakar ‘sure Boy’. Azam wanaojiandaa na mechi ya Ngao ya Jamii itayochezwa Agosti 22 uwanja wa Taifa, walianza kwa kushinda 1-0 dhidi ya KMKM, wakainyuka 3-0 Mafunzo, michezo yote ikipigwa uwanja wa Amaan Zanzibar. Mabingwa hao wa Afrika Mashariki na kati wamejibu mapigo kwa Yanga ambao nao...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Yanga yajibu mapigo ya Azam

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Yanga, Abdallah Bin Kleb. Na Sweetbert Lukonge
SIKU chache baada ya Azam kuipagawisha Yanga kwa kuwasajili nyota wake wawili Frank Domayo na Didier Kavumbagu, timu hiyo imejibu mapigo hayo kwa kumnasa bonge la mshambuliaji kutoka Ghana. Yanga imefikia hatua hiyo ili iweze kuimarisha safu yake ya ushambuliaji ambayo hivi karibuni ilipata pigo baada ya kukimbiwa na Kavumbagu aliyetua Azam kwa...

 

9 years ago

Vijimambo

Kiiza ajibu mapigo Yanga

HAMISI Kiiza jana alituma salamu kwa Yanga baada ya kuifungia Simba mabao matatu katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Kagera Sugar kwenye mechi ya Ligi Kuu iliyochezwa Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Hizo ni salamu kwa Yanga kupitia mchezaji wake huyo wa zamani kwani watani hao wa jadi Jumamosi watamenyana kwenye uwanja huo.

Yanga juzi iliifunga JKT Ruvu mabao 4-1 na kufikisha pointi tisa, sawa na Simba zikiwa zimetofautiana uwiano wa mabao. Mechi hiyo ilianza kwa kushambuliana kwa zamu na Kiiza...

 

9 years ago

Habarileo

Ni Yanga na Azam

MBIO za kukalia kiti cha uongozi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, sasa zimebaki kuwa za timu mbili za Yanga na Azam FC, ambao wamekuwa wakibadilishana katika nafasi ya kwanza na pili.

 

9 years ago

Habarileo

Yanga, Azam ni vita

MIAMBA ya Ligi Kuu Bara, Yanga na Azam leo itashuka kwenye Uwanja wa Amaan mjini hapa kumenyana katika mechi ya michuano ya Kombe la Mapinduzi. Mechi hiyo inatarajiwa kuwa ya vuta nikuvite huku kila timu ikitaka kuonesha ubabe kwa mwenzie baada ya kutoka sare ya mabao 2-2 katika mechi ya mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu bara mwaka jana.

 

10 years ago

TheCitizen

Azam stand in Yanga’s way

All roads will lead to the 60,000-seater National Stadium today as Young Africans take on red-hot Azam FC in a quarterfinal match of the 2015 Cecafa Kagame Cup. Yanga, the five-time Cecafa Kagame Cup champions, are keen on matching Simba SC’s record Kagame Cup titles while Azam are on a mission to win their first regional trophy.

 

10 years ago

Raia Mwema

Yanga, Azam FC kitaeleweka

MICHUANO ya soka Afrika Mashariki na Kati, maarufu kama Kombe la Kagame inayoendelea jijini Dar

Abdul Mkeyenge

 

10 years ago

Habarileo

Azam yaizima Yanga

AZAM FC jana ilimaliza ubabe wa Yanga katika michuano ya Kombe la Kagame baada ya kuibuka na ushindi wa penalti 5-4 katika mchezo wa robo fainali uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

 

10 years ago

Habarileo

Yanga, Azam patachimbika

YANGA na Azam zinakutana leo kwenye mechi ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Kagame katika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani