Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga, Azam patachimbika

YANGA na Azam zinakutana leo kwenye mechi ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Kagame katika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Vijana ‘City Bulls’, Pazi patachimbika Ligi ya RBA Azam

>Ligi ya Mpira wa Kikapu mkoani Dar es Salaam RBA Azam inatarajia kuendelea leo  kwa mechi baina ya wapinzani  wakuu nchini wa mchezo huo, Vijana ‘City Bulls’ na Pazi  kwenye Uwanja wa Ndani wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mtanzania

PATACHIMBIKA

MTZ jmosi new.inddNA MWANDISHI WETU

PATACHIMBIKA ndilo neno linaloakisi ushindani mkubwa wa kisiasa unaotarajiwa kutokea baada ya pazia la kampeni za wagombea urais, ubunge na udiwani kufunguliwa rasmi leo.

Ushindani huo unatarajiwa kuwa mkali zaidi kuliko chaguzi zilizopata kufanyika huko nyuma na hali hii inachagizwa zaidi na uhalisia wa mazingira ya kisiasa ambayo yalianza kuonekana mapema kabisa kabla ya

kampeni kuanza.

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambacho kimemsimamisha Dk. John Magufuli kugombea urais,...

 

10 years ago

Mwananchi

KUELEKEA MAJIMBONI: Patachimbika CCM na Ukawa majimbo ya Mvomero na Kilombero

>Leo tunaanza uchambuzi wa majimbo ya Mkoa wa Morogoro, tukiukamilisha mkoa huu tutakuwa tumehesabu jumla ya mikoa 17 ambayo tumefanikiwa kuchambua majimbo yote yaliyomo kwenye mikoa hiyo.

 

9 years ago

Habarileo

Ni Yanga na Azam

MBIO za kukalia kiti cha uongozi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, sasa zimebaki kuwa za timu mbili za Yanga na Azam FC, ambao wamekuwa wakibadilishana katika nafasi ya kwanza na pili.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Yanga, Azam moto

TIMU za Yanga na Azam, jana zilizinduka katika mbio za Ligi Kuu Tanzania bara, baada ya kuibuka na ushindi zikitoka kufungwa mechi zilizopita katika viwanja vya ugenini. Wakati Yanga wakilimwa...

 

11 years ago

TheCitizen

Azam FC out to topple Yanga

>Ambitious Azam FC will be looking to reclaim the top spot when they go head-to-head with rejuvenated Ashanti United at the Azam Complex this afternoon.

 

11 years ago

Mwananchi

Azam TV ni ajenda Yanga

Mkutano Mkuu wa Yanga unafanyika leo kwenye Ukumbi wa PTA jijini Dar es Salaam huku ajenda kuu ikiwa ni ile ya mkataba wa Azam Tv.

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga waikataa Azam Tv

Wanachama wa Yanga wameikataa Azam Tv kurusha mechi zao na kuwataka viongozi wao kuipeleka mahakamani kama itakaidi na kuendelea kurusha mechi za Yanga bila idhini ya klabu hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani