Mr Blue anaamini ndoa kwa wasanii huvuta ‘neema’
Mr Blue amewaeleza wasanii wenzake ambao hawajaoa au kuolewa kuwa ndoa ni neema kubwa kimuziki hivyo watimize jambo hilo mapema.
Blue ameliambia gazeti la Mtanzania kuwa wasanii wengi walio kwenye ndoa wanafanya vizuri.
“Inasikitisha vijana wengi wake kwa waume waliofikisha umri wa kuoa na wale wa kuolewa wanakwepa kutimiza ndoa wakihofu kupotea kimuziki lakini nawaeleza kwamba ndoa ina uhusiano mzuri na mafanikio ndio maana wengi waliooa wanafanya vizuri katika mambo yao,” alieleza Mr...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo526 Nov
Nahreel anaamini CMEA na COSOTA zitabadilisha maisha ya wasanii
![Nahreel](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/06/Nahreel-300x194.jpg)
Nahreel anaamini kuwa kampuni ya kusimania haki miliki za wasanii nchini (CMEA) ikishirikiana na COSOTA zitaweza kubadilisha maisha ya wasanii.
Mtayarishaji huyo wa muziki amesema CMEA itawasaidia wasanii kujua nafasi walizo nazo na nini wafanye ili kufanikiwa zaidi.
“Ukiwa upo kwenye system, utakuwa unakula ile hela yako unayoifanyia kazi, haki yako ambayo tayari umeshaifanyia kazi. So ni kitu kizuri kitatusaidia sisi, tutaweza hata kupanga vitu in future. Kazi zetu sitakuwa safe,”...
9 years ago
Bongo517 Nov
TID anaamini teknolojia inawabeba wasanii wasio na vipaji
![11910076_889874394433938_1177708504_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11910076_889874394433938_1177708504_n-300x194.jpg)
Hitmaker wa Zeze, Nyota Yako na ngoma zingine, TID amesema mabadiliko ya teknolojia yamewafanya wasanii wasio na vipaji kupata nafasi ya kufanya vizuri.
Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha EATV jana, TID alisema kwa kipaji alichonacho alitakiwa kuwa tajiri kuliko wasanii wote.
“Sasa hivi tumeamua kuwa pamoja zaidi kuboresha yale ambayo tulianzisha. Nafikiri sisi wakati tumeanza tulitumia nguvu nyingi sana,” alisema.
“Sasa hivi teknolojia inawabeba hawa watoto, wasanii wajinga,...
9 years ago
Mtanzania03 Dec
Mr. Blue: Ndoa ina neema katika muziki
NA THERESIA GASPER
MSANII wa kizazi kipya nchini, Khery Sameer ‘Mr Blue’, amewaeleza wasanii wenzake ambao hawajaolewa na wale wasiooa kwamba ndoa ina neema kubwa kimuziki hivyo watimize jambo hilo mapema.
“Inasikitisha vijana wengi wake kwa waume waliofikisha umri wa kuoa na wale wa kuolewa wanakwepa kutimiza ndoa wakihofu kupotea kimuziki lakini nawaeleza kwamba ndoa ina uhusiano mzuri na mafanikio ndiyo maana wengi waliooana wanafanya vizuri katika mambo yao,” alieleza Mr...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MjUiWVyv*JJHwKSwkJNddbQTc453maLHIBFXA9B6cc1T*tpQ0UGm9Mbuz5Me5b1LoXFz44wbU4GW0dvU-P-ObZhEvDqmPmJc/kaole.jpg)
NDOA YA WASANII WA KAOLE YAJIBU
9 years ago
BBCSwahili16 Oct
Wanawake maskini huvuta sigara zaidi wakiwa wajawazito
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo4nFG*hhuGrzWuw5wQZsNCmv7BBRF8c7PXH9R9D62WH-1uBRPpYwrBtaE8Yuw1UEpWuklwTjpKsaqBqtKwDU0p5/150000080.jpg)
HIVI WASANII MTAKUWA NA UCHUMBAâ€, ‬NDOA ZA MAIGIZO MPAKA LINIâ€?‬
10 years ago
Raia Mwema12 Aug
Ilikuwa hafla ya ghafla kwa ajili ya wasanii kuwaaga wasanii wakongwe
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
10 years ago
Bongo506 Feb
AY atoa funzo kwa wasanii wenye malengo ya kufanya collabo na wasanii wa nje
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_aEVNIHNAJ8/U8FW1jeuMBI/AAAAAAAF1kQ/KEWVytqu31U/s72-c/download.jpg)
wasanii kutoka Marekani wawasili nchini kuendesha mafunzo kwa wasanii wa tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-_aEVNIHNAJ8/U8FW1jeuMBI/AAAAAAAF1kQ/KEWVytqu31U/s1600/download.jpg)