Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mr Blue anaamini ndoa kwa wasanii huvuta ‘neema’

blue (1)

Mr Blue amewaeleza wasanii wenzake ambao hawajaoa au kuolewa kuwa ndoa ni neema kubwa kimuziki hivyo watimize jambo hilo mapema.

Mr Blue Cover

Blue ameliambia gazeti la Mtanzania kuwa wasanii wengi walio kwenye ndoa wanafanya vizuri.

“Inasikitisha vijana wengi wake kwa waume waliofikisha umri wa kuoa na wale wa kuolewa wanakwepa kutimiza ndoa wakihofu kupotea kimuziki lakini nawaeleza kwamba ndoa ina uhusiano mzuri na mafanikio ndio maana wengi waliooa wanafanya vizuri katika mambo yao,” alieleza Mr...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Nahreel anaamini CMEA na COSOTA zitabadilisha maisha ya wasanii

Nahreel

Nahreel anaamini kuwa kampuni ya kusimania haki miliki za wasanii nchini (CMEA) ikishirikiana na COSOTA zitaweza kubadilisha maisha ya wasanii.

Mtayarishaji huyo wa muziki amesema CMEA itawasaidia wasanii kujua nafasi walizo nazo na nini wafanye ili kufanikiwa zaidi.

“Ukiwa upo kwenye system, utakuwa unakula ile hela yako unayoifanyia kazi, haki yako ambayo tayari umeshaifanyia kazi. So ni kitu kizuri kitatusaidia sisi, tutaweza hata kupanga vitu in future. Kazi zetu sitakuwa safe,”...

 

9 years ago

Bongo5

TID anaamini teknolojia inawabeba wasanii wasio na vipaji

11910076_889874394433938_1177708504_n

Hitmaker wa Zeze, Nyota Yako na ngoma zingine, TID amesema mabadiliko ya teknolojia yamewafanya wasanii wasio na vipaji kupata nafasi ya kufanya vizuri.

11910076_889874394433938_1177708504_n

Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha EATV jana, TID alisema kwa kipaji alichonacho alitakiwa kuwa tajiri kuliko wasanii wote.

“Sasa hivi tumeamua kuwa pamoja zaidi kuboresha yale ambayo tulianzisha. Nafikiri sisi wakati tumeanza tulitumia nguvu nyingi sana,” alisema.

“Sasa hivi teknolojia inawabeba hawa watoto, wasanii wajinga,...

 

9 years ago

Mtanzania

Mr. Blue: Ndoa ina neema katika muziki

Mr. Blue, mkewe na watotoNA THERESIA GASPER

MSANII wa kizazi kipya nchini, Khery Sameer ‘Mr Blue’, amewaeleza wasanii wenzake ambao hawajaolewa na wale wasiooa kwamba ndoa ina neema kubwa kimuziki hivyo watimize jambo hilo mapema.

“Inasikitisha vijana wengi wake kwa waume waliofikisha umri wa kuoa na wale wa kuolewa wanakwepa kutimiza ndoa wakihofu kupotea kimuziki lakini nawaeleza kwamba ndoa ina uhusiano mzuri na mafanikio ndiyo maana wengi waliooana wanafanya vizuri katika mambo yao,” alieleza Mr...

 

11 years ago

GPL

NDOA YA WASANII WA KAOLE YAJIBU

Na Gladness Mallya
WASANII wa filamu zao la Kaole, Mariamu Athuman ‘Kalunde’ na Khely Ahmed ‘Niko’ ndoa yao imejibu ambapo hivi karibuni wamepata mtoto. Akizungumza na gazeti hili, Kalunde alisema ana furaha ya ajabu kufuatia kumpata mtoto wa kike na anamshukuru Mungu kwani alijifungua salama bila matatizo. Msanii wa filamu zao la Kaole, Mariamu Athuman ‘Kalunde’ akiwa na mwanae...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanawake maskini huvuta sigara zaidi wakiwa wajawazito

Takwimu zinaonyesha tofauti kubwa katika idadi ya wanawake wanaovuta sigara wakiwa na mimba, maeneo maskini yakiwa na idadi ya juu.

 

10 years ago

GPL

HIVI WASANII MTAKUWA NA UCHUMBA‭, ‬NDOA ZA MAIGIZO MPAKA LINI‭?‬

Kwenu mastaa wa tasnia mbalimbali Bongo‭, ‬habari zenu bwana‭. ‬Poleni na majukumu ya kila siku ya kulijenga taifa‭.‬
Mkitaka kujua afya yangu‭, ‬mimi ni mzima‭, ‬namshukuru Mungu naendelea kutimiza majukumu yangu‭, ‬likiwemo hili la kuwaandikia barua‭.‬ Nimewakumbuka leo kupitia barua‭, ‬nataka kuwaambia kwamba mimi pamoja na...

 

10 years ago

Raia Mwema

Ilikuwa hafla ya ghafla kwa ajili ya wasanii kuwaaga wasanii wakongwe

Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.

Hidaya

 

10 years ago

Bongo5

AY atoa funzo kwa wasanii wenye malengo ya kufanya collabo na wasanii wa nje

Wewe ni msanii mwenye mawazo ya kuja kufanya collabo na wasanii wa nje ya Tanzania? AY ametoa elimu ndogo kupitia uzoefu wake, wa nini cha kufanya ili collabo yako iwe na maana na ikuletee matunda. “Cha kwanza watu wajue lazima uje na style yako usikae kama wanna be” AY a.k.a ‘mzee wa Zigo’ ameiambia 255 […]

 

11 years ago

Michuzi

wasanii kutoka Marekani wawasili nchini kuendesha mafunzo kwa wasanii wa tanzania

Ahadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kwa wasanii wa Tanzania kuwa atachangia kuinua kiwango cha ujuzi na weledi wao kwa kuwaandalia mafunzo yatayoendeshwa na magwiji wa sanaa kutoka Marekani sasa imetimia.

TerrenceAkizindua Kampeni ya Uzalendo kwa Vijana inayoendeshwa na Muungano wa Wasanii Tanzania kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma mwezi uliopita, Juni 14, 2014, Rais Kikwete aliahidi kuchangia kuinua kiwango cha usanii na weledi wa wasanii wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani