Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanawake maskini huvuta sigara zaidi wakiwa wajawazito

Takwimu zinaonyesha tofauti kubwa katika idadi ya wanawake wanaovuta sigara wakiwa na mimba, maeneo maskini yakiwa na idadi ya juu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Wanawake wajawazito Manyoni wanapoteza maisha kwa kufuata Huduma za Afya umbali wa zaidi ya KM 30 hadi 40

SAM_0161

Mmoja wa watoto waliofika katika ofisi za Kijiji cha Maweni kwa ajili ya kuhudhuria Kliniki tembezi kutoka katika Hospitali ya misheni ya Kilimatinde,wilayani Manyoni akipimwa uzito na wahudumu wa afya wa Hospitali hiyo.

SAM_0159

Watoto wakisalimiana wakati wakisubiri kupatiwa huduma za chanjo kutoka kwa wataalamu wa afya kutoka katika Hospitali ya misheni ya Kilimatinde,wilayani Manyoni.

SAM_0153

Jengo la zahanati inayojengwa kwa nguvu za wananchi ambayo itakapokamilika inatarajia kutumia zaidi ya...

 

10 years ago

Mwananchi

UCHUMI: JK asikitika kuacha wengi wakiwa maskini

>Rais Jakaya Kikwete amesikitika kushindwa kukuza sekta ya kilimo hali iliyosababisha wananchi kuendelea kuwa maskini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Utafiti: Wanawake wavutaji sigara huacha kuzaa mapema

Wanawake wanaovuta sigara au kukaa na wavutaji sigara wamo katika hatari ya kukatisha uzazi wao mapema, utafiti mpya unaonyesha.

 

10 years ago

Vijimambo

WANAWAKE NCHINI UGANDA WAANDAMANA WAKIWA UCHI

Wanawake wa jamii ya Ancholi 'wakigalagala' chini huku wakiwa uchi kama ishara ya kumlaani adui....Wakiendelea na maandamano huku wakiwa uchi.Maandamano yakipamba moto.Magdalena Alum, mkazi wa eneo hilo.Karamela Anek, akisema wataendelea na maandamano kutetea haki yao.John Makombo ambaye ni Mkurugenzi wa mamlaka ya wanyamapori nchini Uganda (UWA).
Jamii ya Apaa walisema, ikiwa mgogoro huo utaendelea, zaidi ya watu 21,000 watakumbwa na madhara ya mgogoro huo.Sehemu ya eneo lililo katika...

 

9 years ago

Michuzi

ASILIMIA 75 YA WANAWAKE HUKUTWA WAKIWA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI

 Afisa Elimu kutoka  Tume ya Kuratibu Udhibiti wa Dawa za Kulevya Moza Makumbuli akuzungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu  ya  chanzo kikubwa cha uvunjifu wa amani  nchini unatokana na vijana wanaotumia dawa za kulevya, katika Kongamano la vijana wa kitanzania  kweye ukumbi wa Karemjee  jijini Dar es Salaam. Baadhi ya vijana walio shikiriki katika mkutano huo kweye ukumbi wa Karemjee jijini Dar es Salaam Picha na Emmanuel  Massaka wa Global ya jamii
IMEELEZWA kuwa chanzo...

 

11 years ago

Bongo5

Kampuni ya sigara yaamriwa kumlipa mjane wa mvuta sigara aliyekufa kwa kansa ya mapafu dola bil.26.6!

Kundi la waamuzi wa kesi (jury) katika mahakama ya Florida nchini Marekani limeiamuru kampuni ya sigara ya RJ Reynolds Tobacco kumlipa mwanamke aliyefiwa na mume wake kwa saratani ya mapafu dola bilioni 23.6. Adhabu hiyo inajulikana kitaalum kama ‘Punitive damages’ na hutolewa kuyakatisha tamaa makampuni au watu kufanya mambo mabaya huku fidia au ‘compensatory damages’ […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda azindua wodi ya wanawake wajawazito jimboni kwa Sitta

DSC03597

Mbunge wa Urambo Mashariki na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Samuel Sitta akizungumza katika sherehe za kuzindua wodi ya wanawake wajawazito wanaosubiri kujifungua katika hospitali ya wilaya ya Urambo, Oktoba 12, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

DSC03611

 Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Tabora, Margareth Sitta akizungumza katika  sherehe za kuzindua wodi ya wanawake wajawazito wanaosubiri kujifungua katika hospitali ya wilaya ya Urambo, Oktoba 12, 2014. 

PG4A5363

Waziri Mkuu, Mizengo...

 

11 years ago

Mwananchi

KUTOKA ZANZIBAR: Wanawake na siasa zetu ni kisa cha tajiri na maskini?

>Tafiti nyingi zinaonyesha kwamba mchango wa wanawake katika mambo ya siasa ni mkubwa kuliko ule wa wanaume.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Daktari anayewasaidia wanawake wajawazito kukabiliana na athari

Wakati serikali ya Kenya ilipotangaza amri ya kutotoka nje wakati wa usiku, wanawake wajawazito wanaohitaji usaidizi wa dharura waliathirika. Dkt Jemimah aliwasaidia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani