Pinda azindua wodi ya wanawake wajawazito jimboni kwa Sitta
Mbunge wa Urambo Mashariki na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Samuel Sitta akizungumza katika sherehe za kuzindua wodi ya wanawake wajawazito wanaosubiri kujifungua katika hospitali ya wilaya ya Urambo, Oktoba 12, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Tabora, Margareth Sitta akizungumza katika sherehe za kuzindua wodi ya wanawake wajawazito wanaosubiri kujifungua katika hospitali ya wilaya ya Urambo, Oktoba 12, 2014.
Waziri Mkuu, Mizengo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima09 Aug
Korea yajenga wodi ya wajawazito
SERIKALI ya Korea Kusini, kwa kushirikiana na halmashauri ya kijiji cha Zinga wilayani Bagamoyo, wamejenga wodi ya wajawazito yenye thamani ya sh. milioni 32. Akizungumza katika ufunguzi wa wodi hiyo...
9 years ago
Dewji Blog04 Nov
Wanawake wajawazito Manyoni wanapoteza maisha kwa kufuata Huduma za Afya umbali wa zaidi ya KM 30 hadi 40
Mmoja wa watoto waliofika katika ofisi za Kijiji cha Maweni kwa ajili ya kuhudhuria Kliniki tembezi kutoka katika Hospitali ya misheni ya Kilimatinde,wilayani Manyoni akipimwa uzito na wahudumu wa afya wa Hospitali hiyo.
Watoto wakisalimiana wakati wakisubiri kupatiwa huduma za chanjo kutoka kwa wataalamu wa afya kutoka katika Hospitali ya misheni ya Kilimatinde,wilayani Manyoni.
Jengo la zahanati inayojengwa kwa nguvu za wananchi ambayo itakapokamilika inatarajia kutumia zaidi ya...
5 years ago
MichuziWORLD VISION YAHAMASISHA KLINIKI KWA WAJAWAZITO, MATUMIZI YA MAZIWA YA MBUZI SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
Kushoto ni Afisa Lishe Mradi wa ENRICH unaotekelezwa na Shirika la World Vision , Stella Mbuya na Afisa Jinsia na Utetezi wa Shirika la World Vision kupitia mradi wa ENRICH, Magreth Mambali wakionesha alama ya Usawa wa Kijinsia.
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Wanawake wajawazito wamekumbushwa umuhimu wa kuhudhuria Kliniki angalau mara nne katika kipindi chote cha ujauzito ili waweze kupata huduma zote za msingi ili wajifungue salama kupunguza vifo vya uzazi vya mama na mtoto.
Rai hiyo...
9 years ago
Dewji Blog12 Oct
Pinda apokea taarifa ya ujenzi wa wodi ya watoto — Sumbawanga
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Madaktari, wauguzi na viongozi wa Hospitali Teule ya Wilaya ya Sumbawanga ya Doctor Atiman wakati alipokagua ujenzi wa wodi ya watoto katika hospitali hiyo Oktoba 11, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza baadhi ya wagonjwa wakati alipotembelea hospitali Teule ya Wilaya ya Sumbawanga ya Doctor Atiman wakati alipkagua ujenzi wa wodi ya watoto katika hospitali hiyo Oktoba 11, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri...
9 years ago
BBCSwahili16 Oct
Wanawake maskini huvuta sigara zaidi wakiwa wajawazito
9 years ago
MichuziMgombea wa Ukawa Maulid Mtulila azindua kampeni ya ubunge jimboni Kinondoni
Vyama vinavyounda Umoja wa katiba ya wananchi UKAWA vimezindua kampeni za ubunge kwa jimbo la Kinondoni ambapo mamia ya watu walihunduria katika viwanja vya Mapilau. Ukawa wameamua kusimamisha mgombea mmoja kwa kila jimbo toka vyama vya Chadema, CUF, NCCR Mageu na NLD ambapo kwa jimbo la Kinondoni Ukawa imemsimamisha Maulid Salum...
5 years ago
BBCSwahili17 Jun
Virusi vya corona: Daktari anayewasaidia wanawake wajawazito kukabiliana na athari
11 years ago
MichuziMama Tunu Pinda awasili jijini Mwanza tayari kwa ufunguzi wa Tamashsa la Wanawake