Mgombea wa Ukawa Maulid Mtulila azindua kampeni ya ubunge jimboni Kinondoni
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Profesa Abdallah Safari akihutubia mamia ya watu waliohudhuria uzinduzi wa kampeni za UKAWA kwa ubunge wa jimbo la Kinondoni Jumapili.
Vyama vinavyounda Umoja wa katiba ya wananchi UKAWA vimezindua kampeni za ubunge kwa jimbo la Kinondoni ambapo mamia ya watu walihunduria katika viwanja vya Mapilau. Ukawa wameamua kusimamisha mgombea mmoja kwa kila jimbo toka vyama vya Chadema, CUF, NCCR Mageu na NLD ambapo kwa jimbo la Kinondoni Ukawa imemsimamisha Maulid Salum...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
MGOMBEA UBUNGE MOSHI MJINI KUPITIA CHADEMA NA UKAWA AZINDUA KAMPENI ZAKE










10 years ago
MichuziMGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KINONDONI WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO, KARAMA MASUDI "KALAPINA" AZINDUA KAMPENI ZAKE
10 years ago
Vijimambo
MGOMBEA MWENZA WA UKAWA AMNADI MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KISARAWE RASHID MWISHEHE "KINGWENDU"



10 years ago
GPLMGOMBEA UBUNGE KINONDONI ACT-WAZALENDO KWENDA MAHAKAMANI
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Dewji Blog14 Sep
Iddi Azzan azindua kampeni Jimbo la Kinondoni jijini Dar
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Kinondoni, Salum Madenge (kushoto) akimtambulisha Mgombea Ubunge Jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya CCM, Mh. Iddi Azzan(kulia) mbele ya umati wa wanachama wa chama hicho na wananchi waliofurika katika viwanja vya CCM Mwinjuma Mwananyamala jana jioni, wakati wa uzinduzi wa kampeni kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, katika jimbo hilo, jijini Dar es Salaam.(Picha na Geofrey Adroph wa Pamoja blog)
Mgombea Ubunge Jimbo la Kinondoni kwa...
10 years ago
VijimamboMH. IDDI AZZAN AZINDUA KAMPENI JIMBO LA KINONDONI JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi
MANGUNGU AZINDUA RASMI KAMPENI ZA UBUNGE MBAGALA



KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
10 years ago
Mwananchi17 Sep
Ukawa wavutana mgombea ubunge Nzega Vijijini