Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukawa wavutana mgombea ubunge Nzega Vijijini

Ziara ya Mgombea mwenza urais kwa tiketi ya Chadema kupitia Ukawa, Juma Duni Haji imeingia dosari baada ya viongozi na wafuasi wa vyama hivyo ndani ya jimbo la Nzenga Vijijini kutoridhiana mgombea atakayewakilisha jimbo hilo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

MGOMBEA MWENZA WA UKAWA AMNADI MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KISARAWE RASHID MWISHEHE "KINGWENDU"



 Mgombea Mwenza wa Ukawa Juma Duni Haji akipokea kadi ya CCM kutoka kwa mwanachama wa chama hicho, Kasim Msham aliyekihama na kujiunga na CUF katika kijiji cha Nanjilinji Mkoa wa Lindi. (Picha na Francis Dande)Kadi za CCM zilizorudishwa na wanachama wa Chama hicho na kujiunga na CUF katika kijiji cha Nanjilinjimkoa wa Lindi.
 Umati wa watu ukiwa katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Shule ya Msingi Majengo wilayani Bagamoyo. Umati wa watu ukiwa katika mkutano wa kampeni...

 

10 years ago

Vijimambo

KHALIFA KONDO MPONDA MGOMBEA UBUNGE WILAYA MOROGORO VIJIJINI, JIMBO KUSINI-MASHARIKI

Mtangaza nia ya kugombea Ubunge Wilaya ya Morogoro vijijini, jimbo kusini- mashariki Ndugu Khalifa Kondo Mponda.Ndugu Khalifa Kondo Mponda akiwa ametoka kupata baraka za chifu mpya wa Waluguru Kingalu 15Ndugu Khalifa Kondo Mponda akijinadi kwa wananchi wake akiwemo chifu mpya wa Waluguru Kingalu 15Ndugu Khalifa Kondo Mponda akipata baraka toka kwa Chifu mpya wa Waluguru Kingalu 15

 

9 years ago

Vijimambo

MGOMBEA MWENZA WA UKAWA JUMA DUNI HAJI AHUTUBIA MKUTANO WA KAMPENI IRINGA VIJIJINI

 Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji na akihutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Isimani Iringa vijijini.Isimani Iringa vijijini, (Picha na Francis Dande)
Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji na akihutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Isimani Iringa vijijini.Isimani Iringa vijijini.
Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji akiwa na mgombea ubunge jimbo la Isimani Iringa vijijini, Patrick Ole Sosopi.Wasanii wa kikundi cha ngom za...

 

11 years ago

Michuzi

UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA KALENGA,MGOMBEA UBUNGE WA CCM AKIJINADI KWA WANANCHI LEO KIJIJI CHA SADAN-IRINGA VIJIJINI


Msikilize Mgombea Ubunge jimbo la Kalenga kwa tiketi ya chama cha CCM,Godfrey Mgimwa akijinadi jioni ya leo kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika kijiji cha Sadani kata ya Mseke,Iringa Vijijini.

 

9 years ago

Mtanzania

Duni amaliza utata wa mgombea ubunge Ukawa Mtwara

duniNa Elias Msuya, Mtwara

MGOMBEA mwenza wa urais wa Chadema kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Juma Haji Duni, amemaliza utata wa mgombea ubunge wa umoja huo jimbo la Mtwara baada ya kumtangaza Maftah Hanachuma Mchumo kuwa ndiye atakayepeperusha bendera za vyama vinavyounda umoja huo.

Utata wa mgombea wa Ukawa katika jimbo hilo ulitokana na   Chadema kumsimamisha Joel Nanauka, NCCR Mageuzi, Uled Hassan Abdallah na CUF, Maftah Machumo.
Kabla ya Duni kumtangza Maftah, Makamu mwenyekiti...

 

9 years ago

Michuzi

Mgombea wa Ukawa Maulid Mtulila azindua kampeni ya ubunge jimboni Kinondoni

Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Profesa Abdallah Safari akihutubia mamia ya watu waliohudhuria uzinduzi wa kampeni za UKAWA kwa ubunge wa jimbo la Kinondoni Jumapili.
Vyama vinavyounda Umoja wa katiba ya wananchi UKAWA  vimezindua kampeni za ubunge kwa jimbo la Kinondoni ambapo mamia ya watu walihunduria katika viwanja vya Mapilau. Ukawa wameamua kusimamisha mgombea mmoja kwa kila jimbo toka vyama vya Chadema, CUF, NCCR Mageu na NLD ambapo kwa jimbo la Kinondoni Ukawa imemsimamisha Maulid Salum...

 

9 years ago

Vijimambo

MGOMBEA UBUNGE MOSHI MJINI KUPITIA CHADEMA NA UKAWA AZINDUA KAMPENI ZAKE

Red Brigade akiimarisha ulinzi katika iwanja ya Dkt Slaa mjini Moshi wakati wa uzinduzi wa Kampeni za mgombea Ubunge wa jimbo la Moshi mjini ,Jafary Michael kupitia Chadema na Ukawa uliofanyika jana.Baadhi ya viongozi na wagombea wa nafasi za Udiwani Kupitia Chadema na Ukawa.
Mbunge wa Jimbo la Moshi mjini ,Philemoni Ndesamburo(kushoto) akiteta jambo na  mgombea Ubunge katika jimbo hilo ,Jafary Michael kupitia Chadema na UKAWA wakati wa uzinduzi wa kampeni mjini MoshiUmati wa wakazi wa mji wa...

 

9 years ago

Vijimambo

BREAKING NEWS: MBOWE: LIBERATUS MWANG'OMBE NDIYE MGOMBEA WA UBUNGE MBARALI KUPITIA UKAWA

Liberatus Mwang'ombe akichanganua changamoto za Mbarali mbele ya Mh. LowassaMh. Mbowe "Liberatus Mwang'ombe ndio mgombea halali wa UKAWA- Mbarali"
 Juu; baaa ya chopa ya Mh. Lowassa kutua. Chini: Mh. Mwang'ombe akiwaongoza wageni jukwaani
Bango: Mbarali tunamtaka Mwang'ombe Wana Mbarali wamesema watamchagua Mh. Mwang'ombe
 Juu Mh. Kingunge akielezea kuwa mabadiliko hayazuiliki Meza kuu
Libe anawaomba wana diaspora na waTanzania wote kumuunga mkono kwa kumchangia fedha ili aweze kutimiza ndoto...

 

5 years ago

Michuzi

DKT. KIGWANGALLA AELEZA MAFANIKIO YA CCM JIMBO LA NZEGA VIJIJINI

Sehemu ya pikipiki 40 na Baiskeli 736 zilizotolewa na Mbunge wa jimbo la Nzega Vijijini na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla kwa Chama Cha Mapiduzi ikiwa ni mchango wake wa kusaidia utendaji wa shughuli za Chama hicho kwenye Kata na matawi mbalimbali ya jimbo hilo.Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Mlezi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani