Duni amaliza utata wa mgombea ubunge Ukawa Mtwara
Na Elias Msuya, Mtwara
MGOMBEA mwenza wa urais wa Chadema kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Juma Haji Duni, amemaliza utata wa mgombea ubunge wa umoja huo jimbo la Mtwara baada ya kumtangaza Maftah Hanachuma Mchumo kuwa ndiye atakayepeperusha bendera za vyama vinavyounda umoja huo.
Utata wa mgombea wa Ukawa katika jimbo hilo ulitokana na Chadema kumsimamisha Joel Nanauka, NCCR Mageuzi, Uled Hassan Abdallah na CUF, Maftah Machumo.
Kabla ya Duni kumtangza Maftah, Makamu mwenyekiti...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo01 Sep
YALIYOJIRI KWENYE MKUTANO WA KAMPENI WA DUNI HAJI MGOMBEA MWENZA CHADEMA HUKO MTWARA

Mgombea Mwenza CUF - UKAWA, Juma Duni Haji akiwahutubia mamia ya wakazi wa Mtwara kwenye kampeni Jana


10 years ago
Vijimambo
MGOMBEA MWENZA WA UKAWA AMNADI MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KISARAWE RASHID MWISHEHE "KINGWENDU"



10 years ago
Vijimambo
MGOMBEA MWENZA WA UKAWA JUMA DUNI HAJI ANGURUMA JIJINI TANGA

10 years ago
Vijimambo
MGOMBEA MWENZA WA UKAWA JUMA DUNI HAJI AHUTUBIA MKUTANO WA KAMPENI MKOANI RUVUMA

10 years ago
VijimamboMGOMBEA MWENZA WA UKAWA JUMA DUNI HAJI AHUTUBIA MKUTANO WA KAMPENI IRINGA VIJIJINI


10 years ago
Vijimambo
MGOMBEA MWENZA WA UKAWA JUMA HAJI DUNI AFANYA MIKUTANO YA KAMPENI URAMBO, TABORA


10 years ago
MichuziMAELFU WAJITOKEZA KATIKA MKUTANO WA KAMPENI ZA BABU DUNI, MGOMBEA MWENZA WA UKAWA BUSANDA GEITA
10 years ago
Vijimambo24 Aug
WATU WASIOJULIKANA WAVAMIA NA KUBOMOA NYUMBA YA MGOMBEA UBUNGE CUF MTWARA.

Wakizungumza kwa masikitiko baadhi ya viongozi wa chama hicho na wanachi wa jimbo la Nanyamba wamesema mazingira aliyotoweka mgombea huyo yanaonyesha wazi kuna mchezo mchafu umefanywa ili...
10 years ago
Mwananchi17 Sep
Ukawa wavutana mgombea ubunge Nzega Vijijini
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10