Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BEBI MPYA WA DIAMOND AIKUMBUKA BONGO? AU?

Dakika chache baada ya kuondoka Bongo na kukwaa pipa, bebi mpya wa Diamond, Zari 'The Boss Lady' akiwa ndani ya ndege alionekana mwenye mawazo mazito katika picha alizotupia juzi kwenye fan page yake ya Face Book na Instagram ikisindikizwa na maneno:  " miss you already TZ.....deep Mawazu...." . Imedaiwa na wadau alikuwa anaamanisha kumkumbuka 'Sukari ya Warembo' zaidi kuliko TZ.....! ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

TASWIRA ZAIDI ZA MKALI WA BONGO FLEVA DIAMOND PLATNUMZ ALIVYOPOKELEWA BONGO, SASA KUPELEKA TUZO DAR LIVE

Diamond akiongea na mashabiki wake baada ya kuwasili jijini Dar. Msafara wa Diamond kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere.…

 

11 years ago

GPL

CHENI AIKUMBUKA KAOLE, KUIRUDISHA!

Stori: Shani Ramadhani
MWENYEKITI Msaidizi wa Bongo Movie Unity, Mahsein Awadh ‘Dk. Cheni’ amesema amekumbuka na kutamani kurudisha Kundi la Sanaa ya Maigizo la Kaole ‘Kaole Sanaa Group’ liwe na nguvu kama zamani. Mahsein Awadh ‘Dk. Cheni’. Dk. Cheni alisema japo kundi hilo limeonekana kupoteza mvuto wake wa awali, lakini anaamini wasanii wengi wanaofanya vizuri kwenye tasnia ya filamu...

 

10 years ago

GPL

MOSE IYOBO: HALI YA BEBI IMENIFANYA NISIENDE LONDON

Imelda Mtema
MPENZI wa staa maarufu wa filamu Bongo Aunt Ezekiel, Moses Iyobo ambaye pia ni dansa mahiri wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amefunguka kuwa hakwenda kwenye shoo iliyokuwa ikifanyika katika Jiji la London kutokana na hali ya mpenzi wake. Akichezesha taya na Centre Spread, Mose alisema kuwa  alishindwa kujumuika na wenzake akihofia hali ya mpenzi wake hivyo alipenda kuwa naye...

 

9 years ago

TheCitizen

Diamond sets the bar for Bongo Flava

International stardom is something that every artiste craves for but despite all the struggles it remains elusive to many artistes.

 

11 years ago

GPL

DIAMOND ATUA BONGO, APOKELEWA KWA SHANGWE

STAA wa Bongo Fleva, Nasib Abdul 'Diamond' alivyowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar Julai 10, 2014 na kupokelewa kwa shangwe na mashabiki wake pamoja na ndugu. Staa huyo alikuwa anarejea kutoka nchini Marekani alipokwenda kwa ajili ya zoezi la utoaji tuzo za BET.

 

11 years ago

GPL

DIAMOND ATUWA BONGO, APOKELEWA NA WATU KIBAO USIKU

Staa wa muziki wa kizazi Kipya Bongo,Nasib Abdul 'Diamond', usiku wa kuamkia leo aliwasili nchini akitokea Marekani ambako alienda kwa ajili ya kushiriki kwenye tuzo za BET ,zilizomalizika hivi karibuni, alitua kwenye Uwanja wa ndege wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam na kupokelewa na umati wa mashabiki kibao majira ya saa 5 usiku. Diamond akiwanyooshea mikono baadhi ya watu waliyojitokeza… ...

 

11 years ago

CloudsFM

FAINALI TUZO ZA MTV MAMAZ NI KESHO,DIAMOND KUIWAKILISHA BONGO

FAINALI za tuzo za MTV MAMAZ kufanyika kesho nchini Afrika ya Kusini ambapo Tanzania inawakilishwa na Diamond Platnumz ambapo ametajwa kuwania tuzo za Mtv kupitia vipengele viwili vya Best Male Artist ambapo anagombania naAnselmo Ralph (Angola), Davido (Nigeria), Donald (South Africa) na Wizkid (Nigeria) na kingine ambacho ni Best Collabo kupitia wimbo wa My Number 1 ft Davido ambapo anagombania Mafikizolo Ft May D – ‘Happiness’ (South Africa/Nigeria) R2bees Ft Wizkid – ‘Slow Down’...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani