Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RICHIE SASA UMEANZA KUIRUDISHA BONGO MOVIE KWENYE MSTARI!

Single Mtambalike ‘Richie’. KWAKO, Staa wa filamu Bongo, Single Mtambalike ‘Richie’. Naamini utakuwa uko poa na mchakamchaka wa maisha unaendelea kama kawaida. Kwa mara nyingine nimekukumbuka kwa barua. Tofauti na wakati uliopita, leo ni pongezi; ni kawaida ya Barua Nzito, hata siku moja haijawahi kumuonea mtu. Mtu akifanya jambo zuri huambiwa bila unafiki na akikosea basi atakula za uso!
Ndiyo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

RICHIE: TUMEBWIA FEDHA ZA BONGO MOVIE

Na Brighton Masalu
MKONGWE katika anga la filamu za Kibongo, Single Mtambalike ‘Richie’ amekiri kutumia vibaya madaraka wakati wa uongozi wake kama mweka hazina wa Klabu ya Bongo Movie msimu uliopita. Single Mtambalike ‘Richie’. Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni katika Viwanja vya Leaders Club, Kinondoni jijini Dar, Richie alisema kulikuwa na mfumo mbovu wa jinsi ya kutumia pesa. “Kuna...

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA : Movie Mpya ya Richie..Hakika Itakuwa Kwenye Viwango vya Juu!!

Kupitia mtandaoni, mwigizaji na muongozaji wa filamu hapa nchini, Single Mtambalike “Richie” alitupia baadhi ya picha za kwenye movie mpya ambayo itakwenda kwa jina la “NDIO HIVYO” .

Wadau wengi wameonyesha kuisubiri kwahamu kubwa kwani picha hizi za awali zimeonyesha kuwa movie hiyo itakuwa kwenye kiwango cha juu zaidi tofauti na movie nyingi ambazo huwa hazina uhalisia hasa linapokwuja swala la kuigiza “sini”za mahakamani , gerezani na hata polisi.

Lakini hii sasa ninaonekana itakuja na...

 

5 years ago

Bongo Movies

Duma Kuirudisha Bongo Muvi

Msanii wa filamu bongo, Daudi Michael maarufu kama ‘Duma’ amesema lengo la yeye kumuita nchini msanii kutoka nchi ya Australia John K ni kutaka kuirudisha hadhi ya filamu ambayo imepotea kwa kipindi kirefu katika macho ya watu.

Duma amebainisha hayo wakati alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha eNewz kutoka EATV muda mchache baada ya kumpokea mgeni wake huyo kwenye uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Jijini Dar es Salaam.

“Watanzania wanapaswa watupe ushirikiano sana...

 

10 years ago

Dewji Blog

Staa wa Bongo Movie, Aunt Ezekiel sasa ni Mama COOKIE!! ajifungua mtoto wa kike

AUNTY35Aunt Ezekiel

Na Andrew Chale, Modewji blog

Ilikuwa si rahisi kama ilivyojulikana na wengi hasa kwa namna ya ‘fans’ wa staa wa filamu za Bongo maalufu  Bongo  Movie,  kujua  hatma ya ujauzito wake ambao ulikuwa ukifuatiliwa na wengi.  staa huyo si mwingine ni Aunty Ezekiel (pichani), katika kipindii chote cha ujauzito wake. Lakini kwa neema za Mungu, Asubuhi ya Mei 21.2015, staa huyo aliweza kuifungulia dunia kwa kumleta mtoto wa kike.

Hata hivyo, Mtoto huyo tayari jina lake limeshajulikana...

 

10 years ago

Bongo Movies

Nyuma ya Kamera: KALEKWA Ndio Jina la Movie Mpya ya Richie na Rose Ndauka

Hizi ni baadhi ya picha za nyuma ya kamera zilizopiga wakiwa ON SET kwenye utengenezaji wa filamu mpya itakayoitwa KALEKWA, inayofanyika chini ya kampuni ya Bulls Entertainment.

Movie hii mpya itawajumisha waigizaji wakali wengi wakiwemo  Single matambalike “Richie”ambae ndio mwongozaji wa filamu hii na pia ni mkurugenzi wa kampuni ya Bulls Entertainment na mwanadada Rose Ndauka amabao kwa pamoja wamekuwa wakitoa vitu vikali sana.

Tunaisubiri kwa hamu!!!.

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Dewji Blog

Breaking News: Msiba mwingine Bongo Movie “George Tyson” afariki kwenye ajali ya gari usiku huu

tyson_george

Produza maarufu wa filamu nchini George Tyson (pichani) amefariki dunia usiku huu kwenye ajali ya gari Morogoro wakitokea Dodoma na wenzake sita kujeruhiwa akiwemo Blogger maarufu DJ Choka.

Chanzo cha jali hiyo akijajulikana bado MOblog inaendelea kufuatilia kwa ukaribu zaidi na tutawapa taarifa hapo baadae.

Taarifa hizi zimethibitishwa na jamaa wa karibu wa marehemu.

MOblog inaungana na watanzania wote kuomboleza kifo cha marehemu George Tyson na inawaombea nafuu wote waliojeruhiwa kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani