Maelfu ya Wakristo wakimbia dini yao
WAKRISTO nchini Ujerumani wanazidi kujiondoa katika makanisa yao wakiudhiwa na utoaji wa zaka (kodi ya kanisa) ambayo wanaona ni kubwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili09 Jan
Maelfu wakimbia vita Sudan Kusini
Takriban Watu 1,000 wameuawa katika mapigano nchini humo na takriban wengine 200,000 wakikimbia mapigano kati ya Jamii ya Dinka na Nuer.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QGAL97PIhPA/VLpX0nISEgI/AAAAAAAG9-w/giB02-NwJuY/s72-c/DSC_0801.jpg)
VIONGOZI WA DINI WAKEMEA MAOVU YANAYOFANYWA KWA MGONGO WA DINI
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii Dar
Viongozi wa dini za kiislaam na kikristo wamesema dini ni za unyenyekevu na sio za kufanya maovu,ikitokea mtu mmoja katika imani anafanya maovu ni lazima akemewe ndani ya imani yake kwanza.
Wameyasema hayo leo katika kongamano la kujadili madhara ya misimamo mikali ya imani za kidini (Tafkiri) katika jamii na taifa lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Lamada jijini Dar es Salaam.
Akizungumza wakati wa kufungua kongamano hilo Katibu wa Taasisi za...
Viongozi wa dini za kiislaam na kikristo wamesema dini ni za unyenyekevu na sio za kufanya maovu,ikitokea mtu mmoja katika imani anafanya maovu ni lazima akemewe ndani ya imani yake kwanza.
Wameyasema hayo leo katika kongamano la kujadili madhara ya misimamo mikali ya imani za kidini (Tafkiri) katika jamii na taifa lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Lamada jijini Dar es Salaam.
Akizungumza wakati wa kufungua kongamano hilo Katibu wa Taasisi za...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QU0zdsqrHtY/VSacN4_K5FI/AAAAAAAHP38/smj7f3kpomU/s72-c/unnamed%2B(72).jpg)
Mangula awataka viongozi wa dini wasiwapotoshe wananchi kuhusiana na kuwapo kwa masuala ya dini katika katiba pendekezwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-QU0zdsqrHtY/VSacN4_K5FI/AAAAAAAHP38/smj7f3kpomU/s1600/unnamed%2B(72).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ypr5eRsgCsY/VSacSUg99UI/AAAAAAAHP4E/fhX5DK68_QQ/s1600/unnamed%2B(71).jpg)
Na Furaha Eliab, Njombe
MAKAMU mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) - Bara, Philip Mangula amesema kuwa viongozi...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
Wanaume wakimbia vipimo
WANAWAKE wengi wa Tarafa ya Mwese katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi, wanalazimika kujifungulia nyumbani kutokana na kunyimwa huduma kwenye kliniki baada ya kushindwa kwenda na waume zao kupimwa afya. Hayo yalielezwa...
10 years ago
GPLWAZIRI MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI ILI KUDUMISHA AMANI, UTULIVU NA UADILIFU
 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe ambaye alikuwa mgeni rasmi akiongea katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka ililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili 5, 2015. Pembeni ni Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama. Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama akiwapungia watu waliohudhuria katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jFRe4B6dsOI/VSJKK5euttI/AAAAAAAC20M/odrRLRYJQCs/s72-c/11.jpg)
WAZIRI MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE NA SERIKALI KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI KUDUMISHA AMANI,UTULIVU NA UADILIFU NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-jFRe4B6dsOI/VSJKK5euttI/AAAAAAAC20M/odrRLRYJQCs/s1600/11.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZqvScX6t4i4/VSJLh_gkyuI/AAAAAAAC27I/QXXUNvOPhYE/s1600/6.jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Apr
Membe atoa rai kwa viongozi wa dini zote pamoja serikali kuhimiza vijana waipende dini ili kudumisha amani, utulivu na uadilifu
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRZnrdbah0YC0lBTPMhrlcUPulHU2qKZOankk-8pGDmyi7*g7uKhhJIjPDZblXSBsEHvXuI9NA5MXll7bpOIqSBB/dar.gif?width=650)
Stars wakimbia dengue Dar
Kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars. Martha Mboma na Mohamed Mdose
TAYARI timu ya taifa, Taifa Stars, ipo kwenye harakati za mwisho za kuanza kambi yake leo huko Tukuyu, Mbeya kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao dhidi ya Msumbiji huku sababu ya kuwapeleka mkoani humo ikitajwa ni kuyaepuka magonjwa ya malaria na dengue. Stars inatarajiwa kuvaana na Msumbiji Julai 20, mwaka huu kwa ajili ya kutafuta tiketi ya kufuzu...
11 years ago
BBCSwahili11 Aug
Wanaume wakimbia tohara Kenya
Wanaume wanaokwepa kutahiriwa wajikuta taabani kwa kufanyiwa kitendo hicho kwa lazima Kenya
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania