Wanaume wakimbia tohara Kenya
Wanaume wanaokwepa kutahiriwa wajikuta taabani kwa kufanyiwa kitendo hicho kwa lazima Kenya
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
Wanaume wakimbia vipimo
WANAWAKE wengi wa Tarafa ya Mwese katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi, wanalazimika kujifungulia nyumbani kutokana na kunyimwa huduma kwenye kliniki baada ya kushindwa kwenda na waume zao kupimwa afya. Hayo yalielezwa...
10 years ago
Mtanzania21 Jan
Wanaume wanaofanyiwa tohara kulipwa fidia
Na Mwandishi Wetu
KAMPENI ya tohara kwa wanaume, mashariki na kusini mwa bara la Afrika, inayofadhiliwa na Serikali ya Marekani na Umoja wa Mataifa (UN), imeonyesha mafanikio, licha ya kukosolewa.
Utafiti mpya unaonyesha Marekani sasa inafikiria kubadili sera kwa kuruhusu fidia kulipwa kwa wanaume, ambao watalazimika kukosa kazini wakati wakiuguza majeraha yanayotokana na tohara.
Profesa wa Sera ya Afya ya Usimamizi katika Chuo Kikuu cha North Carolina nchini Marekani, aliliambia gazeti la...
10 years ago
Mwananchi06 Oct
Wanaume 400,000 wafanyiwa tohara
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VdF6UciZhIU/UyxEW_iBriI/AAAAAAAAFKc/eBWeLudWwRw/s72-c/IMG_0502.jpg)
MKUU WA WILAYA YA NKASI AFUNGUA RASMI KAMPENI YA TOHARA KWA WANAUME MKOANI RUKWA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-VdF6UciZhIU/UyxEW_iBriI/AAAAAAAAFKc/eBWeLudWwRw/s1600/IMG_0502.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s72-c/07dcmbege.jpg)
Story ya wanawake wa Rombo kukodi wanaume Kenya kuwaridhisha kimapenzi yatinga bungeni, wanaume wataka waombwe radhi
![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s640/07dcmbege.jpg)
Habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Mwananchi juzi yenye kichwa cha habari ‘Wanawake wa Rombo wakodi wanaume kutoka Kenya’ imeibukia bungeni leo.Habari hiyo iliandikwa kutokana na kauli aliyoitoa mkuu wa wilaya ya Rombo, Lembris Kipuyo, aliyedai kuwa kutokana na wanaume wa wilaya hiyo kuwa walevi wa kutupa, wake zao wamekuwa wakikodi wanaume kutoka Kenya ili kuwaridhisha kimapenzi.
“Tatizo la ulevi wilayani Rombo na matumizi ya pombe zisizokuwa na viwango ni kubwa sana na linahitaji nguvu...
11 years ago
BBCSwahili11 Aug
Uhasama baada ya Tohara ya lazima Kenya
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-X1Qwg2FhSBk/VVixxxmRMVI/AAAAAAAACH8/j5_TDZx7jug/s72-c/black-man-suit-smiling.jpg)
Wanaume “vicheko” Kenya
![](http://3.bp.blogspot.com/-X1Qwg2FhSBk/VVixxxmRMVI/AAAAAAAACH8/j5_TDZx7jug/s400/black-man-suit-smiling.jpg)
10 years ago
Mwananchi19 May
Wakodi wanaume kutoka Kenya