Wanaume 400,000 wafanyiwa tohara
Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, imesema wanaume 400,000 wamefanyiwa tohara katika Mikoa ya Tabora, Njombe na Iringa kuanzia mwaka 2013 hadi sasa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili11 Aug
Wanaume wakimbia tohara Kenya
10 years ago
Mtanzania21 Jan
Wanaume wanaofanyiwa tohara kulipwa fidia
Na Mwandishi Wetu
KAMPENI ya tohara kwa wanaume, mashariki na kusini mwa bara la Afrika, inayofadhiliwa na Serikali ya Marekani na Umoja wa Mataifa (UN), imeonyesha mafanikio, licha ya kukosolewa.
Utafiti mpya unaonyesha Marekani sasa inafikiria kubadili sera kwa kuruhusu fidia kulipwa kwa wanaume, ambao watalazimika kukosa kazini wakati wakiuguza majeraha yanayotokana na tohara.
Profesa wa Sera ya Afya ya Usimamizi katika Chuo Kikuu cha North Carolina nchini Marekani, aliliambia gazeti la...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VdF6UciZhIU/UyxEW_iBriI/AAAAAAAAFKc/eBWeLudWwRw/s72-c/IMG_0502.jpg)
MKUU WA WILAYA YA NKASI AFUNGUA RASMI KAMPENI YA TOHARA KWA WANAUME MKOANI RUKWA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-VdF6UciZhIU/UyxEW_iBriI/AAAAAAAAFKc/eBWeLudWwRw/s1600/IMG_0502.jpg)
5 years ago
BBC News02 Mar
Beatles guitar valued at £400,000 on Antiques Roadshow
10 years ago
Habarileo07 Oct
Amkata mke viwiko kwa kupeleka 400,000/- kwao
POLISI mkoani Kigoma inamshikilia Abona Daniel mkazi wa Kijiji cha Singunga Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma kwa tuhuma za kumkata mke wake viwiko vya mikono kwa panga na kumsababishia ulemavu.
5 years ago
AnandTech26 Mar
Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s72-c/07dcmbege.jpg)
Story ya wanawake wa Rombo kukodi wanaume Kenya kuwaridhisha kimapenzi yatinga bungeni, wanaume wataka waombwe radhi
![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s640/07dcmbege.jpg)
Habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Mwananchi juzi yenye kichwa cha habari ‘Wanawake wa Rombo wakodi wanaume kutoka Kenya’ imeibukia bungeni leo.Habari hiyo iliandikwa kutokana na kauli aliyoitoa mkuu wa wilaya ya Rombo, Lembris Kipuyo, aliyedai kuwa kutokana na wanaume wa wilaya hiyo kuwa walevi wa kutupa, wake zao wamekuwa wakikodi wanaume kutoka Kenya ili kuwaridhisha kimapenzi.
“Tatizo la ulevi wilayani Rombo na matumizi ya pombe zisizokuwa na viwango ni kubwa sana na linahitaji nguvu...
11 years ago
BBCSwahili02 Jul
Tohara yawaua 19 Afrika Kusini