Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uhasama baada ya Tohara ya lazima Kenya

Uhasama waibuka Magharibi mwa Kenya baada ya watu wa jamii ambazo haziwapashi tohara kulazimika kupitia kisu cha ngariba

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MAUAJI YA KENYA YANALENGA KUZUA UHASAMA WA KIDINI

MSHAURI wa Rais Uhuru Kenyatta wa nchini Kenya, Abdikadir Mohammed amesema kuwa mauaji ya watu 28 waliokuwa wakisafiri kwenye basi nchini humo jana yalilenga kusababisha vita vya kidini.

Kwenye mahojiano na BBC Abdikadir Mohammed alitoa wito kwa Wakenya kutoka madhehebu yote kuungana pamoja dhidi ya kile alichokitaja kuwa vitendo vya uhalifu.

Wapiganaji wa kundi la Al-Shabaab waliwapiga risasi wasafiri ambao walishindwa kukariri Koran.

Al-Shabaab ilisema kuwa shambulizi hilo lilikuwa la...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanaume wakimbia tohara Kenya

Wanaume wanaokwepa kutahiriwa wajikuta taabani kwa kufanyiwa kitendo hicho kwa lazima Kenya

 

10 years ago

GPL

MSHAURI WA RAIS UHURU: MAUAJI YA KENYA YANALENGA KUZUA UHASAMA WA KIDINI

Baadhi ya miili ya abiria waliouawa jana na Al-Shabaab eneo la Mandera, Kenya. Basi lililotekwa na Al-Shabaab eneo la Mandera likiwa njiani kuelekea Nairobi.…

 

11 years ago

BBCSwahili

Vidhibiti mwendo ni lazima Kenya

Madereva wa uchukuzi wa umma wamekua na wakati mgumu kuhakikisha wanatii sheria mpya ya usafiri inayowashurutisha kuweka vidhibiti mwendo ifikapo Jumanne

 

10 years ago

Mwananchi

Mwisho wa uhasama

Baada ya miongo ya miaka ya kutokuwepo uhusiano wa kibalozi, Marekani sasa imetangaza kuwa inataka irejeshe uhusiano wake na Cuba uwe wa kawaida.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchunguzi Kenya baada ya kushindwa

Kenya imeanzisha uchunguzi dhidi ya safu ya ukufunzi kufuatia kushindwa na Lesotho.

 

9 years ago

Mtanzania

Baada ya Tanzania, K.O atua Kenya

Rapper K.O. was born Ntokozo MdluliNAIROBI, KENYA

BAADA ya kutokea Tanzania alipokuwa na ziara ya kutembelea baadhi ya vyombo vya habari anayoifanya kwa nchi za Afrika Mashariki, msanii kutoka Afrika Kusini, Ntokozo Mdluli ‘K.O’ ameelekea nchini Kenya ambako alipata mapokezi ya kutosha.

K.O alisema ameshangazwa na mapokezi hayo ambayo awali hakujua kama ni yake, kutokana na bendera ya nchi hiyo zilivyokuwa zikipepea badala ya bendera za nchini kwao.

“Inaonyesha wazi kwamba watu wa Kenya wanaipenda nchi yao, nimefurahi...

 

11 years ago

BBCSwahili

Maafikiano kukomesha uhasama Ukraine

Wawakilishi wa Marekani Urusi na Umoja wa Ulaya wakubaliana kusitisha uhasama nchini Ukraine

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Viongozi wanapalilia uhasama, chuki

Na Enzi T. Aboud KAMA aliyoyasema Balozi Seif Ali Iddi, Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa kampeni wa CCM Zanzibar, yalitoka moyoni mwake kuwa viongozi wa CUF na UKAWA kupitia cha CHADEMA, […]

The post Viongozi wanapalilia uhasama, chuki appeared first on Mzalendo.net.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani