Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baada ya Tanzania, K.O atua Kenya

Rapper K.O. was born Ntokozo MdluliNAIROBI, KENYA

BAADA ya kutokea Tanzania alipokuwa na ziara ya kutembelea baadhi ya vyombo vya habari anayoifanya kwa nchi za Afrika Mashariki, msanii kutoka Afrika Kusini, Ntokozo Mdluli ‘K.O’ ameelekea nchini Kenya ambako alipata mapokezi ya kutosha.

K.O alisema ameshangazwa na mapokezi hayo ambayo awali hakujua kama ni yake, kutokana na bendera ya nchi hiyo zilivyokuwa zikipepea badala ya bendera za nchini kwao.

“Inaonyesha wazi kwamba watu wa Kenya wanaipenda nchi yao, nimefurahi...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Madereva 25 kutoka Tanzania wamezuiwa kuingia Kenya baada ya kukutwa na corona.

Katika mkutano wake na wanahabari naibu waziri wa Afya Rashid Aman amesema kwamba maabara 2 za kuhama hama zitazinduliwa katika mpaka wa Namanga ili kuimarisha upimaji wa wagonjwa wapya.

 

9 years ago

Michuzi

KEYNOTE ADDRESS BY HIS EXCELLENCY JAKAYA MRISHO KIKWETE, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, AT THE KENYA - TANZANIA BUSINESS FORUM IN NAIROBI, KENYA, 6TH OCTOBER 2015

KEYNOTE ADDRESS BY HIS EXCELLENCY JAKAYA MRISHO KIKWETE, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF

TANZANIA, AT THE KENYA - TANZANIA BUSINESS

FORUM IN NAIROBI, KENYA,

6THOCTOBER 2015


Ladies and Gentlemen;

I thank you President Uhuru Kenyatta for including this meeting in my itinerary and for what you have just said emphasizing the importance of promoting business relations between our two countries. I thank Mr. Kiprono Kittony the Chairman of the Kenya Chamber of Commerce and Industry for organising...

 

10 years ago

Michuzi

The African Development Bank Group Supports Power Trade between Kenya and Tanzania ADF USD 144.9 million Loan to Kenya — Tanzania Power Interconnection Project

The Board of Directors of the African Development Bank Group (AfDB) approved an African Development Fund (ADF) Loan of USD 144.9 million1, to Kenya - Tanzania Power Interconnection Project.
The project will allow the two countries to exchange power. In addition, the Kenya-Tanzania Interconnection Project plays an important role in promoting regional integration through power trade.
The project is expected to improve the supply, reliability and affordability of electricity in the...

 

11 years ago

GPL

Mkenya mchana nyavu atua Simba atua

Kiungo mshambuliaji mpya wa Simba, Mkenya, Modo Kiongera, Na Hans Mloli
MSIMBAZI noma! Hatimaye kiungo mshambuliaji mpya wa Simba, Mkenya, Modo Kiongera, ametua nchini jana Jumapili tayari kwa kumalizana na Simba, lakini kikubwa amedai kwamba anaisubiri Yanga. Kiongera, ambaye msimu uliopita alikuwa akiichezea Kenya Commercial Bank (KCB) ya Kenya, anatarajiwa kusaidiana na Amissi Tambwe kuhakikisha Simba inakuwa na safu imara...

 

10 years ago

Vijimambo

MISS TANZANIA ATUA UINGEREZA

Miss Tanzania Happiness Watimanywa ,paid a courtesy call to the Tanzania High Commission in LondonShe was welcomed by the High Commissioner H.E Peter Kallaghe. During their meeting Miss Happiness was able to update the high commissioner about her mission to represent Tanzania as a country at the famous 64th edition of Miss world beauty pageant that will take place early December. In return the High commissioner promised her the support and ...

 

10 years ago

Mwananchi

Kluivert atua Tanzania, aenda kujichimbia Zanzibar

Mshambuliaji mahiri wa zamani wa Ajax, Barcelona, AC Milan na timu ya taifa ya Uholanzi, Patrick Kluivert amewasili nchini jana asubuhi kwa mapumziko ya muda mfupi na tayari ameenda kisiwani Zanzibar.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchunguzi Kenya baada ya kushindwa

Kenya imeanzisha uchunguzi dhidi ya safu ya ukufunzi kufuatia kushindwa na Lesotho.

 

11 years ago

BBCSwahili

Zogo baada ya Msikiti kuvamiwa Kenya

Vijana walioghadhabishwa na tukio la polisi kuvamia msikiti unaosemekana kutumiwa kuhubiri itikadi kali za kiisilamu mjini Mombasa, wamekabiliana na polisi kwa siku ya 2 leo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Uhasama baada ya Tohara ya lazima Kenya

Uhasama waibuka Magharibi mwa Kenya baada ya watu wa jamii ambazo haziwapashi tohara kulazimika kupitia kisu cha ngariba

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani