Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kluivert atua Tanzania, aenda kujichimbia Zanzibar

Mshambuliaji mahiri wa zamani wa Ajax, Barcelona, AC Milan na timu ya taifa ya Uholanzi, Patrick Kluivert amewasili nchini jana asubuhi kwa mapumziko ya muda mfupi na tayari ameenda kisiwani Zanzibar.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MWANADINGA WA SIKU NYINGI PATRICK KLUIVERT ATEMBELEA PANDE ZA ZANZIBAR


Mchezaji Patrikc Kluivert akiwasili Zanzibar huku akiwa amezingwa na wanahabari wanataka kupata mawili matatu kutoka kwa mwanadinga huyo wa siku nyingi.


kwa picha zaidi bofya soma zaidi



 

11 years ago

Dewji Blog

Rais Zanzibar Dkt. Shein aenda Uingereza

IMG_3668

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein (kushoto) alipokuwa akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi, katika ukumbi wa Mapumziko ya Viongozi VIP   uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, kabla ya kuondoka nchini kuelekea nchini Uingereza kwa safari maalum.

IMG_3687

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein na Mkewe Mama  Mwanamwema Shein wakiagana na Viongozi mbali mbali na wazee wa Chama...

 

10 years ago

Mwananchi

Rais wa Ujerumani aacha gumzo,aenda Zanzibar kwa boti

>Ziara ya rais wa Shirikisho la Ujerumani, Joachim Gauck imeacha mjadala mzito kisiwani hapa kutokana na kitendo chake cha kutumia usafiri wa boti kuja Unguja na kutembea kwa miguu hadi Hoteli ya Serena ya Zanzibar.

 

11 years ago

Habarileo

Mufti wa Tanzania aenda India kutibiwa

Mufti wa Tanzania, Sheikh Issa Bin Shaaban SimbaMUFTI wa Tanzania, Sheikh Issa Bin Shaaban Simba ameondoka nchini juzi kuelekea India kwa ajili ya matibabu.

 

10 years ago

Dewji Blog

Lowassa atua Zanzibar

Waziri Mkuu wa zamani  naMbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowasa, (kulia), akipokewa na Mwenyekiti wa CCM, Mkoa wa Mjini Unguja, Borafia Silima Juma, wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Mkoa wa Mjini, Unguja Jumamosi usiku, Juni 6, 2015. Mh.  Lowassa, yuko Zanzibar kutafuta wana CCM wa kumdhamini baada ya kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25, 2015. (Picha na K-VIS MEDIA)

Mh. Lowassa, akifurahia jambo na...

 

10 years ago

Michuzi

MH. LOWASSA ATUA ZANZIBAR KUSAKA WADHAMINI

Waziri Mkuu wa zamaninaMbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowasa, (kulia), akipokewa na Mwenyekiti wa CCM, Mkoa wa Mjini Unguja, Borafia Silima Juma, wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Mkoa wa Mjini, Unguja Jumamosi usiku, Juni 6, 2015. Mh.  Lowassa, yuko Zanzibar kutafuta wana CCM wa kumdhamini baada ya kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25, 2015. (Picha na K-VIS MEDIA)Mh. Lowassa, akifurahia jambo na Mzee...

 

10 years ago

GPL

ISIS WAMWUA MFUNGWA BAADA YA KUJICHIMBIA KABURI LAKE

Mpiganaji wa ISIS akijitarisha kumpiga risasi mfungwa baada ya kujichimbia kaburi lake. Mfungwa akichimba kaburi lake. ...Akiwa amepewa fursa ya kuongea na watu awatakao.…

 

10 years ago

BBC

Kluivert on shortlist for Ghana job

Netherlands legend Patrick Kluivert is among five names on the Ghana FA's shortlist to become the new Black Stars coach.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani