Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ISIS WAMWUA MFUNGWA BAADA YA KUJICHIMBIA KABURI LAKE

Mpiganaji wa ISIS akijitarisha kumpiga risasi mfungwa baada ya kujichimbia kaburi lake. Mfungwa akichimba kaburi lake. ...Akiwa amepewa fursa ya kuongea na watu awatakao.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

INASIKITISHA: ISIS WATOA VIDEO INAYOONYESHA MATEKA AKICHIMBA KABURI LAKE KABLA YA KUCHINJWA

Mateka Ziad Abdel’al Abu Tarek akijichimbia kaburi lake kabla ya kuchinjwa na Kundi la ISIS. VIDEO iliyotolewa na Kundi la Wapiganaji wa ISIS hivi karibuni inamuoyesha mateka anayedaiwa kuwa mpelelezi wa Syria akijichimbia kaburi lake kabla ya kuchinjwa na wapiganaji wa kundi hilo. Mateka huyo anaonekana akichimba kaburi lake akiwa amevaa mavazi ya njano kabla ya kuchinjwa katika maeneo ya jangwani.… ...

 

10 years ago

GPL

MWANAMKE AZIKWA, ARUNDIKIWA VYOMBO JUU YA KABURI LAKE

Na Mwandishi Wetu, Shinyanga Wahenga walisema ukisitajabu ya Musa utaona ya Farao, hivi ndivyo ilivyokuwa kwa wananchi wa mji wa Bariadi mkoani Shinyanga waliofurika katika kaburi la marehemu, Jesca Onesmo (28), ambaye alifariki kisha kuwekewa samani na vyombo vyake mbalimbali juu ya kaburi lake. Soma zaidi hapa ===>http://bit.ly/1HFnwET

 

5 years ago

BBCSwahili

Makamu wa rais Riek Machar anajihisi ni kama mfungwa baada ya mkataba, asema mkewe

Mke wa makamu wa rais wa Sudan Kusini aliyeapishwa hivi karibuni Riek Machar anasema mume wake anahisi "ni kama mfungwa".

 

10 years ago

Mwananchi

Kluivert atua Tanzania, aenda kujichimbia Zanzibar

Mshambuliaji mahiri wa zamani wa Ajax, Barcelona, AC Milan na timu ya taifa ya Uholanzi, Patrick Kluivert amewasili nchini jana asubuhi kwa mapumziko ya muda mfupi na tayari ameenda kisiwani Zanzibar.

 

9 years ago

StarTV

Mzee Juma Isangu aomba Serikali kumsaidia baada ya kuondolewa kwenye eneo lake

Serikali imeombwa kuingilia kati sakata la familia ya Mzee Juma Isangu mkazi wa Duluti wilayani Arumeru mkoani Arusha baada ya kuondolewa kwa amri ya mahakama katika eneo walilokuwa wakiishi kwa zaidi ya miaka thelathini.

Wamedai kwamba haki haikutendeka.

Familia hiyo ambayo hadi hivi sasa imekosa mahali pa kuishi, inamshutumu  mtoto  wa aliyekuwa mmiliki wa kwanza wa eneo hilo kwa madai ya kughushi nyaraka za uhalali wake wakati familia hiyo ikiwa na vielelezo vya mahala hapo.

Kwa mujibu wa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Baada ya Serengeti Boy Kujinadi Kulifaidi Kufaidi Penzi Lake, Wolper Achukulia Kama Changamoto!

Mrembo na staa wa bongo movies, Jackline  Massawe Wolper ameonyesha kuchukulia ni kama changamoto kitendo cha msanii wa muziki kutoka kundi la makomando Fredy Felix  ambae ni bwa’mdogo “Serengeti Boy” kujinadi hadharani kuwa alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na Wolper huku akielezea njinsi alivyompata na kumsifu kuwa alimpata penzi ambalo hatoweza kulisahau.

Felix aliyasema hayo hivi juzi kati alipokuwa akifanya mahojiano na Global Tv online nakusababisha stori hii kuenea kwa kasi sana...

 

10 years ago

Vijimambo

Baada ya Jina Lake Kukatwa, Haya Ndiyo Yanayomsumbua Edward Lowasa Mpaka Anashindwa Kula


Nimepata taarifa kutoka kwa watu walio karibu na Lowasa kuwa tangu juzi chakula hakijapanda kwa mzee. Kwamba kila akiwekewa chakula mezani, anachokonoa kidogo tu na inachukua muda mrefu kati ya tonge moja hadi jingine. Pia mdau huyo kanidokeza kuwa Mzee Lowasa kwa sasa ana mawazo mengi sana na hajui afanye nini. Wapo waliomshauri kuwa akae kimya katika kipindi hiki kigumu ili apate muda wa kutosha kutafakari na kufanya maamuzi. Hata hivyo, ushauri huo ameutupa kwani anahisi kwamba muda...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK amnusuru mfungwa EPA

MFANYABIASHARA, Ajay Somai, aliyetupwa jela kwa kosa la kukwapua sh bilioni 3.8 kutoka Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kwa njia ya udanganyifu, anadaiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani