Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK amnusuru mfungwa EPA

MFANYABIASHARA, Ajay Somai, aliyetupwa jela kwa kosa la kukwapua sh bilioni 3.8 kutoka Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kwa njia ya udanganyifu, anadaiwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mfungwa wa EPA aibua mapya

JESHI la Magereza (TPS) nchini limekiri kuachiwa huru kwa msamaha wa Rais Jakaya Kikwete, mfanyabiashara , aliyetupwa jela kutumikia kifungo cha miaka miwili kwa kosa la kukwapua sh bilioni 3.8...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mnyika amnusuru Waziri Makala

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amemnusuru Naibu Waziri wa Maji, Amos Makala asiendelee kuzomewa na wananchi wakati wa  ziara yake ya ukaguzi wa miundombinu ya maji jimboni humo. Mapema...

 

5 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZZ: RAIS MAGUFULI AMNUSURU KIFUNGO MBUNGE WA IRINGA MJINI PETER MSIGWA,AMLIPIA FAINI

 Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli amemnusuru mbunge wa Iringa Mjini Peter Msigwa Kuendelea kutumikia kifungo cha Miezi mitano   ama kulipa faini ya sh. Milioni 40 alichohukumiwa juzi Machi 10 2020 baada ya kulipa faini ya sh milioni 38 kati ya milioni 40.

Hatua hiyo imefikiwa leo Machi 12,2020  baada ya familia kwenda kuomba msaada kwa Rais Magufuli baada ya wao kuchangishana  na kufanikiwa kupata sh. Milioni mbili tu na kushindwa kutimiza fedha hizo...

 

11 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AMNUSURU MBUNGE WA IGALULA MFUTAKAMBA BAADA YA WANANCHI WAKE KUMJIA JUU.

Wakazi wa Kata ya Kizengi wakishangilia jambo,wakati Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana alipokuwa akizungumza nao,mara baada ya kuweka jiwe la msingi na  kuzindua Ofisi ya chama hicho. Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wakazi wa Kata ya Kizengi,Wilayani Uyui mkoani Tabora,wakati wa ziara yake iliyoendelea mkoani humo.Kinana amekagua miradi mbalimbali ya maendeleo na kusikiliza kero mbalimbali za Wananchi ili kuchukua hatua na kuzishughulikia,aidha katika...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI AMNUSURU KIFUNGO MBUNGE WA IRINGA MJINI PETER MSIGWA,AMLIPIA SHILINGI MILIONI 38

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania John ombe Magufuli amemnusuru mbunge wa Iringa Mjini kupitia tiketi ya CHADEMA Peter Msigwa Kutoendelea kutumikia kifungo cha Miezi mitano ama kulipa faini ya sh. Milioni 40 alichohukumiwa juzi Machi 10 2020 baada ya kumlipia faini ya sh milioni 38 kati ya milioni 40.

Hatua hiyo imefikiwa leo Machi 12,2020 baada ya familia kwenda kuomba msaada kwa Rais Magufuli kufuatia wao kuchangishana na kufanikiwa kupata sh. Milioni mbili tu na kushindwa kutimiza...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mfungwa wa zamani amzomea 'waziri'

Mfungwa wa zamani wa kambi ya Guantanamo Bay David Hicks amemzomea waziri wa Australia akiituhumu serikali kuwa na habari kuhusu matesi aliyopitia mikononi mwa mwa wanajeshi wa Marekani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rufaa ya mfungwa miaka 46 baadaye

Raiya mmoja kutoka Japan amepata rufaa ya kusikizwa kwa kesi iliyomfunga miaka 46 iliyopita

 

10 years ago

BBCSwahili

Mfungwa aliyetoroka New York akamatwa

Mfungwa aliyetoroka kutoka gereza la New York amekamatwa na karibu na mpaka wa Canada

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtoto awa mfungwa nyumbani kwao

Mtoto mdogo wa miaka mitano afungiwa chumba cha chini nyumbani kwao,aachwa afe njaa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani