Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mnyika amnusuru Waziri Makala

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amemnusuru Naibu Waziri wa Maji, Amos Makala asiendelee kuzomewa na wananchi wakati wa  ziara yake ya ukaguzi wa miundombinu ya maji jimboni humo. Mapema...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kwanini gari la Diamond limkere Waziri Makala?

SHIRIKISHO la Wasanii Tanzania (Shiwata) chini ya Mwenyekiti wake, Cassim Taalib, Januari 17 lilifanya kongamano lililowakutanisha wadau wake,  wasanii, wanamichezo na wanahabari katika ukumbi wa Lamada, Ilala jijini Dar es...

 

9 years ago

CHADEMA Blog

TAARIFA YA JOHN MNYIKA KUHUSU KUTORIDHISHWA NA HATUA ZILIZOCHUKULIWA NA WAZIRI WA MAJI

TAARIFA KWA UMMA Sijaridhishwa na hatua zilizochukuliwa na Waziri wa Maji alipofanya ziara juzi na kunukuliwa na vyombo vya habari jana. Hivyo, naomba Waziri Mkuu achukue hatua zifuatazo:Mosi, atake Wizara ya Maji impatie nakala ya ripoti ya uchunguzi kuhusu kukatikakatika mara kwa mara kwa maji katika mitambo na maeneo ambayo yanahudumiwa na mitambo ya Ruvu juu. Baada ya kupata ripoti hiyo

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MAKALA AWATAKA WANANCHI KUWAFICHUA WEZI WA MAJI

Naibu Waziri wa Maji,Mh Amos Makala amewataka wananchi wa Mkoa wa Arusha kuendelea kuwafichua wale wote wanaoshiriki katika wizi wa maji ili waweze kuchukuliwa hatua kali za kisheria.Alitoa wito huo jana wakati akiwa katika ziara yake ya kikazi jijini hapa kwa lengo la kutembelea miradi ya maji iliyokuwa na changamoto kubwa ya upotevu wa maji inayosababishwa na uchakavu wa miundombinu na wizi wa maji
Waziri Makala alisema kuwa serikali inafanya jitihada ya kuboresha huduma ya maji...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ziara ya kushtukiza ya Naibu waziri wa Maji Amos Makala jijini Dar

01

Naibu Waziri wa Maji Waziri Amos Makala akifuatana na wajumbe wa Bodi na Menejimenti, watendaji wa DAWASCO, waandishi wa habari na wananchi wa Boko wakati wa Ziara yake ya kushtukiza katika eneo la Boko jijini Dar es salaam ikiwa ni moja ya maeneo yenye matatizo ya maji ambayo yanasababisha wananchi wengi kukosa huduma hiyo muhimu katika masiha yao.

Na Eleuteri Mangi- MAELEZO

Naibu Waziri wa Maji Amos Makala ameiagiza Bodi na Menejimenti ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka ya jiji la Dar...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK amnusuru mfungwa EPA

MFANYABIASHARA, Ajay Somai, aliyetupwa jela kwa kosa la kukwapua sh bilioni 3.8 kutoka Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kwa njia ya udanganyifu, anadaiwa...

 

11 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA MAJI AMOS MAKALA AENDELEA NA ZIARA YAKE JIJINI DAR ES SALAAM

IMG_0979  Naibu Waziri wa Maji, Amos Makala, akifungua maji ya mradi wa kisima cha maji, Chang’ombe Unubini, wilaya ya Temeke. IMG_1007  Naibu Waziri wa Maji, Amos Makala akizungumza na wakazi wa eneo la mradi wa kisima cha maji cha Kichapwi, kata ya Kilakala, wilaya ya Temeke, kulia ni Mwenyekiti wa mtaa wa Barabara ya Mwinyi, Yahya Mnali. IMG_1011  Wakazi wa eneo la mradi wa kisima cha maji Kichapwi, kata ya Kilakala, wilaya ya Temeke, wakimsikiliza Naibu Waziri wa Maji, Amos Makala (hayupo pichani). Mradi wa...

 

10 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA MAJI AMOSI MAKALA ATEMBELEA ENEO LA MRADI MKUBWA WA MAJI WA MWANGA/KOROGWE.

Naibu Waziri wa Maji ,Amos Makala akitembelea eneo la mradi mkubwa wa Maji unaojengwa katika kijiji cha Kirya wilayani Mwanga.Naibu waziri wa Maji Amosi Makala akizungumza jambo na meneja mshauri wa mradi Sharif Saleh mara baada ya kukagua mitambo maalumu kwa ajili ya maandalizi ya ujenzi wa mradi huo.Naibu waziri wa Maji Amosi Makala akifurahia jambo na meneja mshauri wa mradi mkubwa wa maji wa Mwanga Korogwe Sharif Salehmara baada ya kuangalia maadalizi ya ujenzi wa mradi huo.
PICHA ZAIDI...

 

5 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZZ: RAIS MAGUFULI AMNUSURU KIFUNGO MBUNGE WA IRINGA MJINI PETER MSIGWA,AMLIPIA FAINI

 Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli amemnusuru mbunge wa Iringa Mjini Peter Msigwa Kuendelea kutumikia kifungo cha Miezi mitano   ama kulipa faini ya sh. Milioni 40 alichohukumiwa juzi Machi 10 2020 baada ya kulipa faini ya sh milioni 38 kati ya milioni 40.

Hatua hiyo imefikiwa leo Machi 12,2020  baada ya familia kwenda kuomba msaada kwa Rais Magufuli baada ya wao kuchangishana  na kufanikiwa kupata sh. Milioni mbili tu na kushindwa kutimiza fedha hizo...

 

11 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AMNUSURU MBUNGE WA IGALULA MFUTAKAMBA BAADA YA WANANCHI WAKE KUMJIA JUU.

Wakazi wa Kata ya Kizengi wakishangilia jambo,wakati Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana alipokuwa akizungumza nao,mara baada ya kuweka jiwe la msingi na  kuzindua Ofisi ya chama hicho. Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wakazi wa Kata ya Kizengi,Wilayani Uyui mkoani Tabora,wakati wa ziara yake iliyoendelea mkoani humo.Kinana amekagua miradi mbalimbali ya maendeleo na kusikiliza kero mbalimbali za Wananchi ili kuchukua hatua na kuzishughulikia,aidha katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani