WAZIRI MAKALA AWATAKA WANANCHI KUWAFICHUA WEZI WA MAJI
Naibu Waziri wa Maji,Mh Amos Makala amewataka wananchi wa Mkoa wa Arusha kuendelea kuwafichua wale wote wanaoshiriki katika wizi wa maji ili waweze kuchukuliwa hatua kali za kisheria.Alitoa wito huo jana wakati akiwa katika ziara yake ya kikazi jijini hapa kwa lengo la kutembelea miradi ya maji iliyokuwa na changamoto kubwa ya upotevu wa maji inayosababishwa na uchakavu wa miundombinu na wizi wa maji
Waziri Makala alisema kuwa serikali inafanya jitihada ya kuboresha huduma ya maji...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
WAZIRI Muhongo amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo kulipwa fidia ni wezi sawa na wezi wa maofisini wa mali za Umma
Mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi na Naibu Waziri wa Fedha, Mh. Mwingulu Nchemba, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kaselya wilaya ya Iramba.Wa kwanza kulia ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo na wa pili kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Iramba Yahaya Nawanda.
Na.Nathaniel Limu-Singida
WAZIRI wa NIishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (MB), amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo ili waweze kulipwa fidia wakati hawastahili, ni wezi sawa na...
11 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAJI, MAKALLA AWANASA WEZI WA MAJI DAR NA KUTANGAZA KUFILISI MALI ZAO.
Meneja Mkuu wa Kampuni ya ufyatuaji matofali ya Ujenzi Solutions, ya Kimara kwa Msuguri, Dar es Salaam, Rahim Hamis na mfanyabiashara wa kampuni isiyo na jina, Credo Rajab (kulia) wakiwa chini ya uliznzi wa Polisi huku wakiwa wamevishwa pingu baada Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla kuamuru kuwakamata alipokagua viwanda vyao vya ufyatuaji na kugundulika kuwa wanatumia maji isivyo halali kwa kujiunganishia kwenye bomba kuu la Mamlaka ya Maji Safi na Taka Dar ws Salaam (DAWASA). ...
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAJI AMOSI MAKALA ATEMBELEA ENEO LA MRADI MKUBWA WA MAJI WA MWANGA/KOROGWE.
PICHA ZAIDI...
10 years ago
Dewji Blog06 Jan
Ziara ya kushtukiza ya Naibu waziri wa Maji Amos Makala jijini Dar
Naibu Waziri wa Maji Waziri Amos Makala akifuatana na wajumbe wa Bodi na Menejimenti, watendaji wa DAWASCO, waandishi wa habari na wananchi wa Boko wakati wa Ziara yake ya kushtukiza katika eneo la Boko jijini Dar es salaam ikiwa ni moja ya maeneo yenye matatizo ya maji ambayo yanasababisha wananchi wengi kukosa huduma hiyo muhimu katika masiha yao.
Na Eleuteri Mangi- MAELEZO
Naibu Waziri wa Maji Amos Makala ameiagiza Bodi na Menejimenti ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka ya jiji la Dar...
11 years ago
Michuzi04 Feb
NAIBU WAZIRI WA MAJI AMOS MAKALA AENDELEA NA ZIARA YAKE JIJINI DAR ES SALAAM
![IMG_0979](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/Kg-txqcaL7yIhXOpwnN8w6JeJSh2aJUw02pUVaqqdMr6FelP8nW8WECtHlMm7I075MctPSU_E3MIYk3IkSig0DYcLEGr6dvTWjIYhiINmZXvTf5yCAUE7DPd4sc=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/02/IMG_0979.jpg)
![IMG_1007](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/TY_JI8zmHgj6yHPFDDztzX9X4dmXfhha4dFlcIsSdELkCf4CqCOZZdXP7v5spVecxapE5lMtDqKs0EWyqzetILyXWhYtXO7KuZIH1Mpe8l5XbCISIKgConX8x6k=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/02/IMG_1007.jpg)
![IMG_1011](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/16ZeqXB5pzo1xryN7C2y2r_w4sTs5Fd60WfZid5vRu_cLBcJyDoEbLr5jaKuPecgN6JJJ4gukTsHMHaPJzUQtvHl6DvPYTL9qMYuikKPDfQjln9x36GmTOYt0XA=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/02/IMG_1011.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Wananchi tushirikiane kuwafichua majangili
WANYAMAPORI ni moja ya vivutio vya nchi yetu, kwani hutuingizia fedha nyingi za kigeni kutokakana na watalii hasa kutoka nje ya nchi. Lakini vitendo vya ujangili vinavyofanywa na baadhi ya...
11 years ago
Habarileo14 Dec
Wananchi watakiwa kuwafichua viongozi wanaokiuka maadili
SEKRETARIETI ya maadili ya viongozi wa umma Kanda ya Ziwa imewataka wananchi kuwafichua viongozi wa umma wanaojihusisha na vitendo vya ukiukwaji wa maadili.
10 years ago
MichuziMAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI(MUWSA) YAKAMATA WEZI WA MAJI
9 years ago
StarTV22 Dec
Wananchi watakiwa kuwafichua wahalifu ili kupunguza vitendo hivyo
Jeshi la Polisi nchini limewataka wananchi kuchukia vitendo vya uhalifu kwa kuwafichua wahalifu ambao wanaishi nao majumbani mwao Ili kupunguza na kukomesha vitendo vya uhalifu hapa nchini
Wito huo umetolewa na naibu kamishina wa polisi na aliyekuwa kamanda wa polisi wa mkoa wa Mwanza Charles Mkumbo katika sherehe ya kuwaaga maofisa watano wa polisi waliohamishiwa mikoa mbambali wakitokea mkoa wa kipolisi wa Tarime na Rorya na kuwakaribisha maaofisa watano waliohamia katika mkoa...