Wananchi watakiwa kuwafichua viongozi wanaokiuka maadili
SEKRETARIETI ya maadili ya viongozi wa umma Kanda ya Ziwa imewataka wananchi kuwafichua viongozi wa umma wanaojihusisha na vitendo vya ukiukwaji wa maadili.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV22 Dec
Wananchi watakiwa kuwafichua wahalifu ili kupunguza vitendo hivyo
Jeshi la Polisi nchini limewataka wananchi kuchukia vitendo vya uhalifu kwa kuwafichua wahalifu ambao wanaishi nao majumbani mwao Ili kupunguza na kukomesha vitendo vya uhalifu hapa nchini
Wito huo umetolewa na naibu kamishina wa polisi na aliyekuwa kamanda wa polisi wa mkoa wa Mwanza Charles Mkumbo katika sherehe ya kuwaaga maofisa watano wa polisi waliohamishiwa mikoa mbambali wakitokea mkoa wa kipolisi wa Tarime na Rorya na kuwakaribisha maaofisa watano waliohamia katika mkoa...
10 years ago
GPLLHRC CHATOA TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI JUU YA MWENENDO NA HATUA ZA KISHERIA KWA VIONGOZI WA UMMA WANAOKIUKA MAADILI
10 years ago
Habarileo24 Dec
JK ataka wanaokiuka maadili kuwajibishwa
RAIS Jakaya Kikwete amesema ni lazima watumishi wa umma wanaokiuka maadili ya utumishi wa umma wawajibishwe ili iwe fundisho kwao na kwa wengine.
5 years ago
StarTV19 Feb
Bodaboda watakiwa kuwafichua wahalifu.
10 years ago
Habarileo01 Aug
Watakiwa kuwafichua wahamiaji haramu
WANANCHI wa mkoa wa Kigoma wametakiwa kutimiza kwa vitendo mkakati wa ulinzi wa nchi kwa kuwafichua wahamiaji haramu wanaoingia na silaha mkoani humo kwa nia ya kutenda vitendo vya uhalifu.
9 years ago
Global Publishers15 Dec
Chama Cha Wahasibu Kuwafuta Wanaokiuka Maadili
Kutoka kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa chama cha wahasibu Tanzania, George Binde, Mwenyekiti, Fred M. Msemwa, Secretary, Dyoya D. James na Mtendaji Mkuu, Valerian Rweyemamu Kaijage.
Msemwa (katikati) akitoa ufafanuzi wa jambo.
Viongozi hao wakitafakari kujibu maswali yaliyokuwa yakiulizwa na wanahabari ( hawapo pichani).
Waandishi wa habari wakifuatilia mkutano huo.
Chama cha Wahasibu Tanzania ‘TAA’ kimesema kuwa kitawafuta katika daftari lake la uanachama wahasibu wanaokiuka maadili ya...
10 years ago
Habarileo05 Apr
Viongozi watakiwa kusikiliza malalamiko ya wananchi wao
VIONGOZI wa Serikali wametakiwa kusikiliza malalamiko ya wananchi wao na sio kuyapuuza kwani wanapofanya hivyo ndio chanzo cha uvunjifu wa amani nchini.
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Wananchi tushirikiane kuwafichua majangili
WANYAMAPORI ni moja ya vivutio vya nchi yetu, kwani hutuingizia fedha nyingi za kigeni kutokakana na watalii hasa kutoka nje ya nchi. Lakini vitendo vya ujangili vinavyofanywa na baadhi ya...
10 years ago
Michuzi16 Dec
WAZIRI MAKALA AWATAKA WANANCHI KUWAFICHUA WEZI WA MAJI
Waziri Makala alisema kuwa serikali inafanya jitihada ya kuboresha huduma ya maji...