Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wananchi watakiwa kuwafichua wahalifu ili kupunguza vitendo hivyo

Jeshi la Polisi nchini limewataka wananchi  kuchukia vitendo vya uhalifu kwa kuwafichua wahalifu ambao wanaishi nao majumbani mwao Ili kupunguza na kukomesha vitendo vya uhalifu hapa nchini

Wito huo  umetolewa na naibu kamishina wa polisi na aliyekuwa kamanda wa polisi wa mkoa wa Mwanza  Charles Mkumbo katika sherehe ya kuwaaga maofisa  watano wa  polisi  waliohamishiwa mikoa mbambali wakitokea mkoa wa kipolisi wa Tarime na Rorya na kuwakaribisha maaofisa watano waliohamia katika mkoa...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

StarTV

Bodaboda watakiwa kuwafichua wahalifu.

JESHI la polisi mkoa wa kipolisi wa Tarime na Rorya limeutaka umoja wa wafanyabiashara ya kusafirisha abiria kwa kutumia pikipiki maarufu kwa jina bodaboda wilayani Tarime mkoani mara kuwafichua waendesha pikipiki wanao fanya vitendo vya uharifu nyakati za usiku ukiwemo ubakaji wa wanawake na kukimbia na pesa za chenchi za wateja. kauli hiyo imetolewa na …

 

11 years ago

Habarileo

Wananchi watakiwa kuwafichua viongozi wanaokiuka maadili

SEKRETARIETI ya maadili ya viongozi wa umma Kanda ya Ziwa imewataka wananchi kuwafichua viongozi wa umma wanaojihusisha na vitendo vya ukiukwaji wa maadili.

 

10 years ago

Michuzi

Wananchi watakiwa kuuchukia uhalifu kwa vitendo

Na Frank Geofray-Jeshi la PolisiWananchi wametakiwa kuuchukia uhalifu kwa vitendo pamoja na kuwa na kauli moja katika kupambana nao kwa kushirikiana na jeshi la polisi kwa kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu ili kukomesha vitendo hivyo hapa nchini.
Hayo yalisemwa jana  na Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi, Abdulrahman Kaniki wakati alipokuwa akifungua semina ya siku moja katika ukumbi wa Nkurumah iliyokuwa na kauli mbiu ya Kataa uhalifu iliyoandaliwa kwa pamoja kati ya Jeshi la Polisi na...

 

5 years ago

CCM Blog

WANANCHI WATAKIWA KUUNGA MKONO SERIKALI DHIDI YA VITENDO VYA KIKATILI HASA KWA WANAWAKE NA WTOTO

  Na Mwandishi Wetu TaboraMkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri amewataka wananchi wa Mkoa huo kuunga mkono juhudi za Serikali katika mapambano dhidi ya vitendo vya kikatili hasa kwa wanawake na watoto.
Mkuu wa mkoa huyo ameyasema hayo jana mkoani humo wakati akiupokea Msafara wa Kijinsia kutokomeza ukatili unaolenga kutoa elimu kwa jamii kuhusu madhara ya kufanya vitendo vya ukatili wa kijinsia kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yatakayofanyika Kitaifa Simiyu Machi 08,...

 

5 years ago

Michuzi

Wananchi Watakiwa kutunza mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi


Na Woinde Shizza , ARUSHA

BARAZA la Taifa la hifadhi na usimamizi wa Mazingira Kanda ya kaskazini (NEMC) limewataka wananchi kutunza mazingira ili kuweza kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi.

Akizungumza na waandishi wa habari  leo Meneja Meneja wa kanda ya kaskazini Lewis Nzali alisema uharibifu wa mazingira unachangia kwa kiasi kikubwa kupoteza kwa baadhi ya viumbe hai maarufu kama bionuai pamoja na hali ya jangwa na ukame.

Alisema kuwa Tanzania inakabiliwa na changamoto kubwa ya...

 

10 years ago

Habarileo

Watakiwa kuwafichua wahamiaji haramu

WANANCHI wa mkoa wa Kigoma wametakiwa kutimiza kwa vitendo mkakati wa ulinzi wa nchi kwa kuwafichua wahamiaji haramu wanaoingia na silaha mkoani humo kwa nia ya kutenda vitendo vya uhalifu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wananchi tushirikiane kuwafichua majangili

WANYAMAPORI ni moja ya vivutio vya nchi yetu, kwani hutuingizia fedha nyingi za kigeni kutokakana na watalii hasa kutoka nje ya nchi. Lakini vitendo vya ujangili vinavyofanywa na baadhi ya...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MAKALA AWATAKA WANANCHI KUWAFICHUA WEZI WA MAJI

Naibu Waziri wa Maji,Mh Amos Makala amewataka wananchi wa Mkoa wa Arusha kuendelea kuwafichua wale wote wanaoshiriki katika wizi wa maji ili waweze kuchukuliwa hatua kali za kisheria.Alitoa wito huo jana wakati akiwa katika ziara yake ya kikazi jijini hapa kwa lengo la kutembelea miradi ya maji iliyokuwa na changamoto kubwa ya upotevu wa maji inayosababishwa na uchakavu wa miundombinu na wizi wa maji
Waziri Makala alisema kuwa serikali inafanya jitihada ya kuboresha huduma ya maji...

 

10 years ago

Vijimambo

DAFTARI LA WAHALIFU LAANZISHWA DAR ES SALAAM ILI KUWADHIBITI PANYA ROAD

KUIBUKA kwa makundi ya vijana ya uhalifu Dar es Salaam, kumesababisha uongozi wa mkoa kuanzisha daftari maalumu la kudumu la taarifa za wahalifu wote wa jiji hilo, ikiwa ni harakati za kumaliza tatizo hilo. Daftari hilo ambalo litakuwa na kazi ya kutunza orodha ya wahalifu wote kuanzia ngazi za mitaa, litasaidia kuwapata wahalifu kiurahisi watakapofanya matukio katika maeneo mbalimbali ya jiji hilo.Hayo yameelezwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki wakati akizungumza na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani