Wananchi Watakiwa kutunza mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi
![](https://1.bp.blogspot.com/-EcPmiPVTFII/XtZqVIWSIjI/AAAAAAALsWc/i9zezqTSWtgZ1Y45RSCY_6ego4CXco34wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200601_153508_3.jpg)
Na Woinde Shizza , ARUSHA
BARAZA la Taifa la hifadhi na usimamizi wa Mazingira Kanda ya kaskazini (NEMC) limewataka wananchi kutunza mazingira ili kuweza kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Meneja Meneja wa kanda ya kaskazini Lewis Nzali alisema uharibifu wa mazingira unachangia kwa kiasi kikubwa kupoteza kwa baadhi ya viumbe hai maarufu kama bionuai pamoja na hali ya jangwa na ukame.
Alisema kuwa Tanzania inakabiliwa na changamoto kubwa ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://3.bp.blogspot.com/-6gULUYkSJoM/XtDZwNpAE3I/AAAAAAAAQvg/iFr-XcnqX8k1IhQmQ-8a1hhuHJksueX2ACK4BGAYYCw/s72-c/IMG-20200529-WA0029%2B%25281%2529.jpg)
WILAYA YA MONDULI YAPOKEA MICHE 500 YA MITI KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIA NCHI
Vero Ignatus.
Mamlaka ya Misitu wilaya ya Monduli (TFS) imekabidhiwa Miche ya miti zaidi 500 ili kupambana na mabadiliko ya Tabia Nchi kutoka Mradi wa Tunandoto Tanzania Ulio chini ya Kanisa la FPCT.
Akikabidhi miti hiyo Mkurugenzi wa wilaya hiyo Stephen Ulaya amesema amekabidhi miche hiyo kwa Mamlaka ya Misitu Tanzania (TFS) wilaya ya Monduli ili kuelekeza miche hiyo katika maeneo yenye uhitaji ndani ya wilaya hiyo.
Ulaya amesema miche hiyo ya Miti wamepokea kutoka Mradi wa Tunandoto ulio...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hZAVCEeh5ZU/VmA4x6vDPMI/AAAAAAAAFFs/XhKh4lXYyoY/s72-c/1.jpg)
WWF YAIJENGEA UWEZO HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIA NCHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-hZAVCEeh5ZU/VmA4x6vDPMI/AAAAAAAAFFs/XhKh4lXYyoY/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gXWwSp8uxk4/VmA41hq_gMI/AAAAAAAAFF0/MlnqCTXCtWI/s640/2.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima29 Aug
Wananchi waaswa kuunga mkono mapambano mabadiliko tabia nchi
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, Binilith Mahenge, amewataka wananchi kuunga mkono juhudi za serikali na Bara la Afrika katika kupambana na changamoto za mabadiliko ya tabia...
10 years ago
MichuziVIONGOZI NCHINI WATAKIWA KUSHIRIKI MKUTANO MABADILIKO YA TABIA YA NCHI NCHINI ETHIOPIA
VIONGOZI nchini wametakiwa kushiriki katika mkutano wa mabadiliko ya tabia ya nchi utakaofanyika Julai 13 na 16 Addis Ababa Ethiopia.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam,Mratibu wa Mtandao wa Mabadiliko ya Tabia ya Nchi (CAN),Sixsbaty Mwanga amesema mkutano huo ni muhimu kutokana hali iliyopo sasa katika mabadiliko ya tabia ya nchi kwa kuongezeka ukame ,njaa pamoja na mafuriko, hivyo viongozi wanaweza kushawishi mkutano katika kuongeza...
10 years ago
Dewji Blog05 Aug
Nchi wahisani watoa dola za Marekani milioni 802.15 kukabili mabadiliko ya tabia nchi
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi Huru ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dk. Tausi Kida akimkaribisha ofisini kwake Mwakilishi wa mtandao wa FANPRAN, Sithembile Ndema kwa ajili ya kusaini kitabu cha wageni kabla ya kuelekea kwenye ukumbi wa mikutano.(Picha na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Na Mwandishi wetu
JUMLA ya dola za Marekani milioni 802.15 zimetolewa na nchi wahisani katika kusaidia mapambano dhidi ya mabadiliko ya tabia nchi katika kipindi cha miaka miaka mine iliyopita.
Hayo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iO_IHWeO_Vg/VIdabmUrnGI/AAAAAAAG2Qw/yZxc0WlCpIU/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
ufunguzi wa mkutano wa 20 wa nchi wanachama wa mkataba wa umoja wa mataifa wa mabadiliko ya tabia nchi nchini peru
![](http://1.bp.blogspot.com/-iO_IHWeO_Vg/VIdabmUrnGI/AAAAAAAG2Qw/yZxc0WlCpIU/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-J_tAh0X--fw/VIdabrDJPlI/AAAAAAAG2Q0/lol9Gagkkco/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-mNtikCdLRTQ/Xphv0QRrbdI/AAAAAAAC3Mw/NB3npuPKqDE9G-oytYF4X3m-wT9yiEhHQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
NCHI 20 ZENYE NGUVU KIUCHUMI WAKUBALIANA KUSAMEHE KWA MUDA MADENI YA NCHI MASIKINI DUNIANI ILI ZIWEZE KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-mNtikCdLRTQ/Xphv0QRrbdI/AAAAAAAC3Mw/NB3npuPKqDE9G-oytYF4X3m-wT9yiEhHQCLcBGAsYHQ/s400/1.png)
Mawaziri wa fedha na magavana wa benki kuu wa G20 wamesema wanaunga mkono kusimamisha kwa muda malipo ya madeni kwa nchi hizo ambazo zinahitaji kuvumiliwa.
Uamuzi huo umefikiwa jana katika mkutano wao uliofanyika kwa njia ya video.
Muda huo unaanza Mei Mosi hadi mwishoni mwa mwaka 2020 na deni kuu pamoja na malipo yote ya riba yatasimamishwa.
Mkurugenzi...