Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watakiwa kuwafichua wahamiaji haramu

WANANCHI wa mkoa wa Kigoma wametakiwa kutimiza kwa vitendo mkakati wa ulinzi wa nchi kwa kuwafichua wahamiaji haramu wanaoingia na silaha mkoani humo kwa nia ya kutenda vitendo vya uhalifu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

StarTV

Bodaboda watakiwa kuwafichua wahalifu.

JESHI la polisi mkoa wa kipolisi wa Tarime na Rorya limeutaka umoja wa wafanyabiashara ya kusafirisha abiria kwa kutumia pikipiki maarufu kwa jina bodaboda wilayani Tarime mkoani mara kuwafichua waendesha pikipiki wanao fanya vitendo vya uharifu nyakati za usiku ukiwemo ubakaji wa wanawake na kukimbia na pesa za chenchi za wateja. kauli hiyo imetolewa na …

 

11 years ago

Habarileo

Wananchi watakiwa kuwafichua viongozi wanaokiuka maadili

SEKRETARIETI ya maadili ya viongozi wa umma Kanda ya Ziwa imewataka wananchi kuwafichua viongozi wa umma wanaojihusisha na vitendo vya ukiukwaji wa maadili.

 

9 years ago

StarTV

Wananchi watakiwa kuwafichua wahalifu ili kupunguza vitendo hivyo

Jeshi la Polisi nchini limewataka wananchi  kuchukia vitendo vya uhalifu kwa kuwafichua wahalifu ambao wanaishi nao majumbani mwao Ili kupunguza na kukomesha vitendo vya uhalifu hapa nchini

Wito huo  umetolewa na naibu kamishina wa polisi na aliyekuwa kamanda wa polisi wa mkoa wa Mwanza  Charles Mkumbo katika sherehe ya kuwaaga maofisa  watano wa  polisi  waliohamishiwa mikoa mbambali wakitokea mkoa wa kipolisi wa Tarime na Rorya na kuwakaribisha maaofisa watano waliohamia katika mkoa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Msihifadhi wahamiaji haramu’

KIONGOZI wa mbio za mwenge wa uhuru, Rachel Kassanda, amewataka Watanzania kuacha tabia ya kuwahifadhi wahamiaji haramu, kwani kwa kufanya hivyo ni kuhatarisha amani na usalama wa nchi. Akizungumza baada...

 

10 years ago

BBCSwahili

EU kupambana na wahamiaji haramu

EU imekubali kuunda kikosi cha wanamaji ili kupambana na wafanyabiashara wa binadamu kupitia bahari ya mediterania

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wahamiaji haramu 21 wakamatwa

IDARA ya Uhamiaji mkoani hapa, imewakamata wahamiaji haramu 21 kutoka nchi ya Ethiopia walioingia nchini kwa kutumia roli la kubebea saruji katika eneo Mashujaa mjini Makambako. Naibu Kamishna wa Idara...

 

11 years ago

Habarileo

JK aonya wahamiaji haramu

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete ameonya wahamiaji haramu wanaorejea nchini baada ya Operesheni Kimbunga kumalizika na kusema kama wanafanya hivyo, wanajisumbua, hawatadumu nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbaroni kuhifadhi wahamiaji haramu

 Idara ya uhamiaji mkoani Geita, inawashikilia wakazi wawili wa Nyamboge, wilayani Geita, kwa tuhuma za kuhifadhi wahamiaji haramu 18 kutoka nchini Burudi.

 

10 years ago

Habarileo

Wahamiaji haramu 50 wazuiwa kujiandikisha

Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe.ZAIDI ya wahamiaji haramu 50 wanaoishi katika kijiji cha Tamau wilayani Bunda, mkoani Mara, akiwemo mwenyekiti wa kijiji hicho wamezuiwa kujiandikisha kwenye daftari hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani