Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANAMKE AZIKWA, ARUNDIKIWA VYOMBO JUU YA KABURI LAKE

Na Mwandishi Wetu, Shinyanga Wahenga walisema ukisitajabu ya Musa utaona ya Farao, hivi ndivyo ilivyokuwa kwa wananchi wa mji wa Bariadi mkoani Shinyanga waliofurika katika kaburi la marehemu, Jesca Onesmo (28), ambaye alifariki kisha kuwekewa samani na vyombo vyake mbalimbali juu ya kaburi lake. Soma zaidi hapa ===>http://bit.ly/1HFnwET

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

10 years ago

Vijimambo

JK: UMECHIMBA KABURI LA VYOMBO VYA HABARI?

 Na Bryceson Mathias
WAKATI Serikali ikionesha kama inatengeneza Mazingira ya Ukiritimba wa kuvichimbia Kaburi Vyombo vya habari kwa kupitisha Sheria ya Takwimu na Makosa ya uharifu wa Kimtandao;  
Wananchi wa Kada mbalimbali nchini, na Wadau wa Habari, wanahoji, Rais Jakaya Kikwete, kusaini Miswada hiyo, anavichimbia Kaburi Vyombo vya Habari na Waandishi?.
Wana Zuoni na Waswahili wa Medani za Semi, husikika wakisema, Kwa kawaida, Ng’ombe, anaweza kutikisa Mkia wake; Lakini kwa dhati, ni...

 

10 years ago

GPL

ISIS WAMWUA MFUNGWA BAADA YA KUJICHIMBIA KABURI LAKE

Mpiganaji wa ISIS akijitarisha kumpiga risasi mfungwa baada ya kujichimbia kaburi lake. Mfungwa akichimba kaburi lake. ...Akiwa amepewa fursa ya kuongea na watu awatakao.…

 

10 years ago

GPL

WAPANDA MAZAO JUU YA KABURI LA MWANAMUZIKI

Dustan Shekidele, Morogoro/mchanganyiko
Baadhi ya wananchi wa eneo la Msamvu mjini hapa wanadaiwa kuvamia makaburi na kupanda mazao juu yake likiwemo la aliyekuwa mwanamuziki maarufu wa dansi Afrika Mashariki, Salum Abdallah Husein Yazidu ‘Say’ aliyekuwa akimiliki Bendi ya Cuban Marimba. Tukio hilo la aina yake lilijiri wiki iliyopita ambapo watu ambao majina yao hayakupatikana walionekana wakilima na kupanda mazao...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtu azikwa ndani ya gari lake Nigeria

Katika siku za hivi karibuni picha za mtu ambaye alizikwa ndani ya gari aina ya Hummer SUV Jeep nchini Nigeria zimekuwa zikienea .

 

10 years ago

GPL

ILI AZAE, WEMA ALALE JUU YA KABURI

Staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu. Waandishi wetu Mshangao! Baba mzazi wa aliyekuwa mwigizaji mkubwa Bongo, marehemu Steven Kanumba ‘The Great’, Charles Kusekwa Kanumba amefunguka kuwa ili azae, staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu anatakiwa alale juu ya kaburi. Hayo yanakuja siku chache baada ya Wema aliyewahi kuwa mchumba wa Kanumba kudai kusumbuliwa na tatizo la kukosa uwezo wa kuzaa hivyo mzee...

 

10 years ago

GPL

INASIKITISHA: ISIS WATOA VIDEO INAYOONYESHA MATEKA AKICHIMBA KABURI LAKE KABLA YA KUCHINJWA

Mateka Ziad Abdel’al Abu Tarek akijichimbia kaburi lake kabla ya kuchinjwa na Kundi la ISIS. VIDEO iliyotolewa na Kundi la Wapiganaji wa ISIS hivi karibuni inamuoyesha mateka anayedaiwa kuwa mpelelezi wa Syria akijichimbia kaburi lake kabla ya kuchinjwa na wapiganaji wa kundi hilo. Mateka huyo anaonekana akichimba kaburi lake akiwa amevaa mavazi ya njano kabla ya kuchinjwa katika maeneo ya jangwani.… ...

 

11 years ago

GPL

MAUZAUZA IRINGA: CHUNGU CHA AJABU CHAIBUKA JUU YA KABURI KIKITOKA DAMU

Chungu cha ajabu kilichokutwa juu ya kaburi la mtoto Agnes Mlawa katika makaburi ya Makanyagio mjini Iringa  leo kikiwa  kinafoka  damu. Baada ya kufunguliwa chungu hicho ndani kulikuwa  na damu, maini na kichwa cha ndege. Wananchi wakishuhudia chungu hicho cha ajabu kilichopo kushoto karibu na jembe.…

 

11 years ago

GPL

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU KUVUNJWA KABURI LA SHEIKH YAHYA HUSSEIN NA SHEIKH KASIM

Alhajj Maalim Hassan Yahya Hussein. Ndugu Wanahabari, Assalam Aleykum Kama mnavyojua kwamba kumetokea tukio la kusikitisha  la kuvunjwa kwa Makaburi ya Masheikh Wetu, wapendwa wetu,  wazazi wetu na viongozi wetu wa Dini  ya Kiisalam, Marehemu Sheikh Yahya Hussein Na Marehemu Sheikh Kassim Bin Juma, Usiku wa kuamkia tarehe 10/4/2012 katika viwanja vya Makaburi ya Tambaza Jirani na Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Tukio...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani