Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAPANDA MAZAO JUU YA KABURI LA MWANAMUZIKI

Dustan Shekidele, Morogoro/mchanganyiko
Baadhi ya wananchi wa eneo la Msamvu mjini hapa wanadaiwa kuvamia makaburi na kupanda mazao juu yake likiwemo la aliyekuwa mwanamuziki maarufu wa dansi Afrika Mashariki, Salum Abdallah Husein Yazidu ‘Say’ aliyekuwa akimiliki Bendi ya Cuban Marimba. Tukio hilo la aina yake lilijiri wiki iliyopita ambapo watu ambao majina yao hayakupatikana walionekana wakilima na kupanda mazao...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ILI AZAE, WEMA ALALE JUU YA KABURI

Staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu. Waandishi wetu Mshangao! Baba mzazi wa aliyekuwa mwigizaji mkubwa Bongo, marehemu Steven Kanumba ‘The Great’, Charles Kusekwa Kanumba amefunguka kuwa ili azae, staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu anatakiwa alale juu ya kaburi. Hayo yanakuja siku chache baada ya Wema aliyewahi kuwa mchumba wa Kanumba kudai kusumbuliwa na tatizo la kukosa uwezo wa kuzaa hivyo mzee...

 

10 years ago

GPL

MWANAMKE AZIKWA, ARUNDIKIWA VYOMBO JUU YA KABURI LAKE

Na Mwandishi Wetu, Shinyanga Wahenga walisema ukisitajabu ya Musa utaona ya Farao, hivi ndivyo ilivyokuwa kwa wananchi wa mji wa Bariadi mkoani Shinyanga waliofurika katika kaburi la marehemu, Jesca Onesmo (28), ambaye alifariki kisha kuwekewa samani na vyombo vyake mbalimbali juu ya kaburi lake. Soma zaidi hapa ===>http://bit.ly/1HFnwET

 

11 years ago

GPL

MAUZAUZA IRINGA: CHUNGU CHA AJABU CHAIBUKA JUU YA KABURI KIKITOKA DAMU

Chungu cha ajabu kilichokutwa juu ya kaburi la mtoto Agnes Mlawa katika makaburi ya Makanyagio mjini Iringa  leo kikiwa  kinafoka  damu. Baada ya kufunguliwa chungu hicho ndani kulikuwa  na damu, maini na kichwa cha ndege. Wananchi wakishuhudia chungu hicho cha ajabu kilichopo kushoto karibu na jembe.…

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI YATOA UFAFANUZI JUU YA UPATIKANAJI WA VIBALI VYA KUSAFIRISHA MAZAO NJE YA NCHI

SERIKALI leo imetoa ufafanuzi kuhusu upatikanaji wa vibali vya kusafirisha mazao kwenda nje ya nchi ambapo imesisitiza kuwa vibali hivyo vinapatikana bila gharama  na hakuna urasimu wowote.


Akitoa ufafanuzi huo, Mwanasheria wa Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika Bwana George Mandepo (Pichani) alisema kuwa vibali vya kusafirisha mazao ya kilimo nje ya nchi, hutolewa bila gharama na kuongeza kuwa biashara hiyo inaweza kufanywa na mtu yeyote, kinachotakiwa ni mhusika kuzingatia sheria na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kwa kauli hii, Je, unafikiri mwanamuziki bella anatafuta KIKI au anamaanisha alichosema juu ya Zari?

Jana kupitia kwenye mtandao mmoja  wa kijamii mwanadada msanii wa bongo fleva, Bela fasta alipost picha {Hiyo hapo juu} yenye maneno ya kashfa kwa mwanadada Zari, picha iliyokuwa na maneno yanayosema kuwa mwanadada huyo mpenzi wa msanii Dimaond Platnumz “hana mvuto na wala ujauzito alio nao haumpendezi hata kidogo na kwamba mwili wake sio mzuri kushinda wa mwanadada wema sepetu” aliyekuwa mpenzi wa Diamond hapo kabla.

Kauli iliyomfanya mwanadada huyo kuwa gumzo leo kwenye mitandao ya...

 

10 years ago

Michuzi

WAKALA WA TAIFA WA HIFADHI YA CHAKULA (NFRA) KANDA YA DODOMA INAKABILIWA NA UFINYU WA ENEO LA KUHIFADHIA MAZAO MSIMU HUU WA UNUNUZI WA MAZAO

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi ameitaka Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) Kanda ya Dodoma kuhakikisha inatafuta suluhisho la haraka la changamoto ya maghala na mifumo ya kuhifadhia mazao inayoikabili taasisi hiyo wakati huu wa msimu wa kununua mazao.
Vilevile Dr. Nchimbi ameelekeza ukarabati wa Maghala ya hifadhi ya “National Milling” yaliyopo eneo la Makole ambayo uwezo wake ni kuhifadhi takribani tani elfu 10 kwa ghala uwekewe mkakati ili kusaidia kuleta suluhisho la...

 

9 years ago

Habarileo

Ufaulu la 7 Dar wapanda

WAKATI ufaulu wa wanafunzi wa darasa la saba ukipanda kwa mkoa wa Dar es Salaam, imeelezwa kuwa wanafunzi 49,063 sawa na asilimia 83.17 ya waliofaulu mtihani wa darasa la saba mkoani humo wanatarajiwa kujiunga na kidato cha kwanza mwakani.

 

11 years ago

Habarileo

Ufaulu kidato IV wapanda

Kaimu Katibu Mtendaji wa NECTA, Dk Charles MsondeUFAULU wa watahiniwa wa kidato cha nne mwaka jana umeongezeka kwa mujibu wa taarifa ya matokeo ya mitihani hiyo kutoka Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA).

 

10 years ago

Mtanzania

Udhamini Ligi Kuu wapanda

Pg 32NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM

KAMPUNI ya Simu za Mkononi ya Vodacom, imeongeza udhamini wake wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa asilimia 40, kutoka shilingi bilioni 1.6 iliyopita hadi shilingi bilioni 2.3 kwa mwaka.

Vodacom ambao ni wadhamini wakuu wa ligi hiyo, jana imesaini mkataba mpya wa miaka mitatu na Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF) kuendelea kuusaidia mpira, mkataba wenye thamani ya shilingi bilioni 6.6.

Akizungumza jana katika hafla hiyo ya kusaini mkataba iliyofanyika Makao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani