WAPANDA MAZAO JUU YA KABURI LA MWANAMUZIKI
![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLSWWnmEPIXr21Ds9mxWOMbbhPh21YBJKro504jlm1sN50EWfkfTAemeWaAqL7ehUmxsi7VXeHgNe4Wiw6Y5J4pC/w.jpg)
Dustan Shekidele, Morogoro/mchanganyiko Baadhi ya wananchi wa eneo la Msamvu mjini hapa wanadaiwa kuvamia makaburi na kupanda mazao juu yake likiwemo la aliyekuwa mwanamuziki maarufu wa dansi Afrika Mashariki, Salum Abdallah Husein Yazidu ‘Say’ aliyekuwa akimiliki Bendi ya Cuban Marimba. Tukio hilo la aina yake lilijiri wiki iliyopita ambapo watu ambao majina yao hayakupatikana walionekana wakilima na kupanda mazao...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*54juLYOTrM4ZBhH1C8eR5k4bZs8jWetXgqs44klbDpbvyBid3AHlVVVq5hlfoaP3h*VsolTKwHau3tKri5bNSQFsEFssG-v/wemasepetu.jpg?width=650)
ILI AZAE, WEMA ALALE JUU YA KABURI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR7QY3GkZ925N6w9iiOQ5Qk5WgM8gnXfsQja9E8UxR6Zhah4IdWdWR7i-cQBbzFRKDx7ZMCta7vfM4moGlw4DDHL/mke.gif?width=650)
MWANAMKE AZIKWA, ARUNDIKIWA VYOMBO JUU YA KABURI LAKE
11 years ago
GPLMAUZAUZA IRINGA: CHUNGU CHA AJABU CHAIBUKA JUU YA KABURI KIKITOKA DAMU
9 years ago
MichuziSERIKALI YATOA UFAFANUZI JUU YA UPATIKANAJI WA VIBALI VYA KUSAFIRISHA MAZAO NJE YA NCHI
Akitoa ufafanuzi huo, Mwanasheria wa Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika Bwana George Mandepo (Pichani) alisema kuwa vibali vya kusafirisha mazao ya kilimo nje ya nchi, hutolewa bila gharama na kuongeza kuwa biashara hiyo inaweza kufanywa na mtu yeyote, kinachotakiwa ni mhusika kuzingatia sheria na...
10 years ago
Bongo Movies18 Apr
Kwa kauli hii, Je, unafikiri mwanamuziki bella anatafuta KIKI au anamaanisha alichosema juu ya Zari?
Jana kupitia kwenye mtandao mmoja wa kijamii mwanadada msanii wa bongo fleva, Bela fasta alipost picha {Hiyo hapo juu} yenye maneno ya kashfa kwa mwanadada Zari, picha iliyokuwa na maneno yanayosema kuwa mwanadada huyo mpenzi wa msanii Dimaond Platnumz “hana mvuto na wala ujauzito alio nao haumpendezi hata kidogo na kwamba mwili wake sio mzuri kushinda wa mwanadada wema sepetu” aliyekuwa mpenzi wa Diamond hapo kabla.
Kauli iliyomfanya mwanadada huyo kuwa gumzo leo kwenye mitandao ya...
10 years ago
MichuziWAKALA WA TAIFA WA HIFADHI YA CHAKULA (NFRA) KANDA YA DODOMA INAKABILIWA NA UFINYU WA ENEO LA KUHIFADHIA MAZAO MSIMU HUU WA UNUNUZI WA MAZAO
Vilevile Dr. Nchimbi ameelekeza ukarabati wa Maghala ya hifadhi ya “National Milling” yaliyopo eneo la Makole ambayo uwezo wake ni kuhifadhi takribani tani elfu 10 kwa ghala uwekewe mkakati ili kusaidia kuleta suluhisho la...
9 years ago
Habarileo22 Dec
Ufaulu la 7 Dar wapanda
WAKATI ufaulu wa wanafunzi wa darasa la saba ukipanda kwa mkoa wa Dar es Salaam, imeelezwa kuwa wanafunzi 49,063 sawa na asilimia 83.17 ya waliofaulu mtihani wa darasa la saba mkoani humo wanatarajiwa kujiunga na kidato cha kwanza mwakani.
11 years ago
Habarileo22 Feb
Ufaulu kidato IV wapanda
UFAULU wa watahiniwa wa kidato cha nne mwaka jana umeongezeka kwa mujibu wa taarifa ya matokeo ya mitihani hiyo kutoka Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA).
10 years ago
Mtanzania13 Aug
Udhamini Ligi Kuu wapanda
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
KAMPUNI ya Simu za Mkononi ya Vodacom, imeongeza udhamini wake wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa asilimia 40, kutoka shilingi bilioni 1.6 iliyopita hadi shilingi bilioni 2.3 kwa mwaka.
Vodacom ambao ni wadhamini wakuu wa ligi hiyo, jana imesaini mkataba mpya wa miaka mitatu na Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF) kuendelea kuusaidia mpira, mkataba wenye thamani ya shilingi bilioni 6.6.
Akizungumza jana katika hafla hiyo ya kusaini mkataba iliyofanyika Makao...