Ufaulu la 7 Dar wapanda
WAKATI ufaulu wa wanafunzi wa darasa la saba ukipanda kwa mkoa wa Dar es Salaam, imeelezwa kuwa wanafunzi 49,063 sawa na asilimia 83.17 ya waliofaulu mtihani wa darasa la saba mkoani humo wanatarajiwa kujiunga na kidato cha kwanza mwakani.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo22 Feb
Ufaulu kidato IV wapanda
UFAULU wa watahiniwa wa kidato cha nne mwaka jana umeongezeka kwa mujibu wa taarifa ya matokeo ya mitihani hiyo kutoka Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA).
9 years ago
Dewji Blog21 Dec
Ufaulu wa wanafunzi Kigoma wapanda kwa asilimia 12.01
Kaimu Afisa Elimu wa mkoa wa Kigoma, Venance Babukege, akizungumza katika hafla ya upangaji matokeo ya darasa la saba mwaka 2015 mkoani humo mwishoni mwa wiki iliyopita. (Picha na Emmanuel Senny).
Na Emmanuel Senny, Kigoma
Kiwango cha Elimu ya Msingi mkoani Kigoma kimeonekana kupanda kwa mwaka 2015 ikilinganisha na mwaka jana baada ya ufaulu wa wanafunzi waliomaliza darasa la saba mwaka huu kupanda kwa asilimia 12.01.
Akizungumza katika hafla ya upangaji matokeo ya darasa la saba mwaka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zvEcoIOzPqs/XmoMLhvhQDI/AAAAAAALiuE/Q7UhUg-nULkqKnILOgmQ1nD3hmkyUHj0QCLcBGAsYHQ/s72-c/01AA-1-768x513.jpg)
VODACOM WAPANDA MITI HOSPITALI YA MLOGANZILA JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-zvEcoIOzPqs/XmoMLhvhQDI/AAAAAAALiuE/Q7UhUg-nULkqKnILOgmQ1nD3hmkyUHj0QCLcBGAsYHQ/s640/01AA-1-768x513.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/02AA-1-1024x685.jpg)
Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania PLC Wakishiriki zoezi la kupanda miti katika Hospitali ya Muhimbili eneo la Mloganzila jijini Dar es Salaam wakati walipotembelea katika hospitali hiyo kwa ajili ya kuwapa pole wagonjwa ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/03AA-1024x685.jpg)
10 years ago
Habarileo25 Feb
RC Dar amuangukia JK ufaulu wa wanafunzi
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadiki, amemuomba Rais Jakaya Kikwete autupie jicho mkoa wa Dar es Salaam na kusaidia kutafutia ufumbuzi, tatizo la idadi kubwa ya wanafunzi waliojitokeza kuingia Kidato cha Kwanza mwaka huu, tofauti na uwezo wa shule za mkoa huo.
9 years ago
StarTV19 Dec
Ufaulu kwa wanafunzi waongezeka Dar
Idadi ya wanafunzi waliohitimu darasa la saba mwaka huu imepanda katika mkoa wa DAR ES SALAAM kutoka asilimia 78 mwaka 2014 hadi asilimia 83 mwaka 2015.
Hata hivyo mkoa huo ulikuwa na jumla ya wanafunzi wanaohitimu darasa la saba 59,704 waliosajiliwa kufanya mtihani na wanafunzi 715 hawakufanya mtihani kwa sababu mbalimbali zikiwemo utoro,vifo,ugonjwa na nyengine.
Idadi ya wanafunzi waliofaulu mtihani ni 49,063 wakiwemo wavulana 23,458 na wasichana 25,605 sawa na asilimia 83.17 mwaka huu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/E6-J*b1OZQOGZYhT6-ZtHFYYf2kv-wNmfJ72HoyW9z9Oyc6vmUDrCxuM1IaccwODoD52QyWDM63xgHOfhNUIs-H4yFNl2Y7p/10406683_860009877366045_457820658670042877_n.jpg?width=650)
AFUNIKA UFAULU CHUO KIKUU DAR
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Dar yaongeza ufaulu darasa la saba
MKOA wa Dar es Salaam umekuwa wa kwanza kitaifa katika matokeo ya darasa la saba huku wanafunzi wote 10 bora kwa upande wa wavulana na 10 bora kwa upande wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-dqnasWvA1yM/VZAIty1tUjI/AAAAAAADttk/pvAcnVHlKYA/s72-c/ba1.jpg)
RAIS KIKWETE AWAPOKEA WAPANDA BASIKELI WALIOSAFIRI KILOMITA 830 KUTOKA MBEYA KUJA KUMPONGEZA IKULU, DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-dqnasWvA1yM/VZAIty1tUjI/AAAAAAADttk/pvAcnVHlKYA/s640/ba1.jpg)
10 years ago
Dewji Blog11 Sep
Usimamizi wa maadili Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Dar waongeza ufaulu
Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam (CBE) Prof. Emanuel Mjema akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu maadhimisho miaka 50 ya chuo hicho yanayoendelea jijini Dar es salaam.
Na Aron Msigwa –MAELEZO
Hatua iliyochukuliwa na uongozi wa Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam (CBE) kuendelea kuweka msisitizo katika usimamizi wa maadili kwa wanafunzi imeanza kuzaa matunda kufuatia kuogezeka kwa ufaulu wa masomo kwa wanafunzi wanaosoma chuoni hapo.
Hayo yamebainishwa leo...