MAUZAUZA IRINGA: CHUNGU CHA AJABU CHAIBUKA JUU YA KABURI KIKITOKA DAMU
Chungu cha ajabu kilichokutwa juu ya kaburi la mtoto Agnes Mlawa katika makaburi ya Makanyagio mjini Iringa leo kikiwa kinafoka damu. Baada ya kufunguliwa chungu hicho ndani kulikuwa na damu, maini na kichwa cha ndege. Wananchi wakishuhudia chungu hicho cha ajabu kilichopo kushoto karibu na jembe.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLSWWnmEPIXr21Ds9mxWOMbbhPh21YBJKro504jlm1sN50EWfkfTAemeWaAqL7ehUmxsi7VXeHgNe4Wiw6Y5J4pC/w.jpg)
WAPANDA MAZAO JUU YA KABURI LA MWANAMUZIKI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*54juLYOTrM4ZBhH1C8eR5k4bZs8jWetXgqs44klbDpbvyBid3AHlVVVq5hlfoaP3h*VsolTKwHau3tKri5bNSQFsEFssG-v/wemasepetu.jpg?width=650)
ILI AZAE, WEMA ALALE JUU YA KABURI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2BKxzNj8DBE/U6BLgHhptFI/AAAAAAAFrRk/zxNNm_QJTKo/s72-c/unnamed+(56).jpg)
KIOTA KIPYA CHA MARAHA CHAIBUKA KATIKATI YA JIJI LA DAR, UFUNGUZI RASMI JUMAMOSI
![](http://1.bp.blogspot.com/-2BKxzNj8DBE/U6BLgHhptFI/AAAAAAAFrRk/zxNNm_QJTKo/s1600/unnamed+(56).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR7QY3GkZ925N6w9iiOQ5Qk5WgM8gnXfsQja9E8UxR6Zhah4IdWdWR7i-cQBbzFRKDx7ZMCta7vfM4moGlw4DDHL/mke.gif?width=650)
MWANAMKE AZIKWA, ARUNDIKIWA VYOMBO JUU YA KABURI LAKE
11 years ago
Michuzi21 Feb
MTOTO WA AJABU AZAWALIWA IRINGA HAFAHAMIKI KAMA WA KIUME AMA WA KIKE ,MAMAKE AOMBA MSAADA
..................................... MTOTO Junior Richard Rutta ambaye jinsia yake haieleweki anatafuta msaada utakaomuwezesha kufanyiwa uchunguzi katika hospitali ya CCBRT, jijini Dar es Salaam. Mtoto huyo mwenye miaka miwili na miezi saba anaishi na mama yake mzazi, Sophia Kindamba, mtaa wa Mtwivilla, mjini Iringa. Akiomba msaada huo, mama yake alisema jitihada za madaktari wa hospitali ya Taifa ya Muhimbili kuchunguza na hatimaye...
9 years ago
Mtanzania14 Dec
JB: Chungu cha tatu ni filamu ghali zaidi
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MSANII wa filamu nchini, Jacob Stephen ‘JB’, amesema kuwa filamu yake mpya ya Chungu cha tatu aliyomshirikisha mwanadada Wema Sepetu imetumia gharama kubwa zaidi kuliko filamu zote zilizotengenezwa chini ya kampuni yake ya Jerusalem.
Akizungumza na MTANZANIA juzi, JB alisema ametumia gharama kubwa katika kufanikisha kuitengeneza filamu hiyo.
“Nikisema nitaje gharama iliyotumika na niliyowalipa wasanii nadhani TRA itawafuata, lakini nimetumia gharama kubwa mno...
10 years ago
Bongo Movies24 May
Mapenzi Yampa Ulaji Wema ‘Chungu cha 3’
Muigizaji na Muongozaji mkongwe wa bongo movies, Jacob Stephen ‘jb, amesema aliamua kumpa uchezajui mkuu wa filamu yake ya CHUNGU CHA TATU staa mrembo Wema Sepetu kutokana na umahiri wa masanii huyu kwas sababu amemudu sana sehemu za nmapenzi.
Aidha, Jb alisema Wema huwa makini katika uigizaji wa nafasi yake anayopangiwa na pia ni mwepesi wa kukubali kuwekwa katika kila sehemu atakayoambiwa acheze.
Watu watarajie mambo mazuri kutoka katika filamu ya chungu cha tatu ambayo itakuwa...
10 years ago
Bongo Movies13 Aug
JB: Chungu cha Tatu Ina Majibu ya Hali Hii..
Staa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ amedokeza kuwa filamu ya Chungu cha Tatu inayomjumuisha staa mrembo, Wema Sepetu itaingia sokoni hivi karibuni.
Kupitia ukurasa wake mtandaoni, JB aliandika haya mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu.
Umeshawahi kuwa katika mahusiano ambayo yalikatika lakini bado moyo wako unapenda??? Unajua kinachofata kila penzi jipya halikai maana moyo uko huko kwa mwanzo.
Chungu cha Tatu ina majibu ya hali hii, tunajaribu kuitoa filam hii haraka...
10 years ago
VijimamboJESHI LA POLISI MKAONI IRINGA LINAWASHIKILIA WANANCHUO 89 WA CHUO KIKUU CHA IRINGA