Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maafikiano kukomesha uhasama Ukraine

Wawakilishi wa Marekani Urusi na Umoja wa Ulaya wakubaliana kusitisha uhasama nchini Ukraine

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Obama:Maafikiano na Iran yataleta amani

Rais Barrack Obama wa Marekani, ameshinikiza kuwa muafaka ulioafikiwa siku ya Jumanne kuhusu mpango wa nuklia wa Iran, umetoa fursa ya kipekee maishani ya kutaka kuwepo kwa mahala salama pa kuishi, ulimwenguni.

 

10 years ago

GPL

PAUL MAKONDA AZUNGUMZIA MAAFIKIANO YALIYOFIKIWA KUMALIZA MGOMO WA MADEREVA NCHINI‏

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo mchana, kuhusu muafaka uliofikiwa kufuatia mgomo wa madereva uliofanyika ofisi ya waziri mkuu kwa kuwashirikisha wadau mbalimbali. Wanahabari wakisubiri kuchukua taarifa hiyo. Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maafikiano hayo. Na Dotto Mwaibale MKUU wa Wilaya ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

DC wa Kinondoni, Paul Makonda azungumzia maafikiano yaliyofikiwa kumaliza mgomo wa madereva nchini

IMG_3707

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maafikiano hayo.

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu maafikiano hayo.

IMG_3656

Wanahabari wakisubiri kuchukua taarifa hiyo.

Na Dotto Mwaibale

 MKUU wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda amesema Serikali  imetimiza masharti ya madereva kwa kuunda kamati ya kushughulikia kero na matatizo ya madereva ambayo inatarajia kuanza kazi yake Ijumaa.

Hatua...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwisho wa uhasama

Baada ya miongo ya miaka ya kutokuwepo uhusiano wa kibalozi, Marekani sasa imetangaza kuwa inataka irejeshe uhusiano wake na Cuba uwe wa kawaida.

 

9 years ago

Mwananchi

Miaka 85 ya uhasama Real, Barca

Ni miaka 85 tangu Real Madrid na Barcelona zikutane kwa mara ya kwanza katika mchezo baina yao, ambao umepewa jina la El- Clasico.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Viongozi wanapalilia uhasama, chuki

Na Enzi T. Aboud KAMA aliyoyasema Balozi Seif Ali Iddi, Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa kampeni wa CCM Zanzibar, yalitoka moyoni mwake kuwa viongozi wa CUF na UKAWA kupitia cha CHADEMA, […]

The post Viongozi wanapalilia uhasama, chuki appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Mwananchi

Tido Mhando:Uhasama zaidi

Kama kulikuwa na mwaka ambao labda ungeelezewa kuwa ndiyo kilele cha uhasama uliokuwepo baina ya Tanzania na Kenya, basi ulikuwa ni mwaka huo wa 1982.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mauaji yanalenga kuzua uhasama wa kidini

Mshauri wa rais wa kenya Abdulkadir Mohammed amesema muaji yanalenga kuzua uhasama wa kidini kenya

 

11 years ago

BBCSwahili

Uhasama baada ya Tohara ya lazima Kenya

Uhasama waibuka Magharibi mwa Kenya baada ya watu wa jamii ambazo haziwapashi tohara kulazimika kupitia kisu cha ngariba

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani