Mauaji yanalenga kuzua uhasama wa kidini
Mshauri wa rais wa kenya Abdulkadir Mohammed amesema muaji yanalenga kuzua uhasama wa kidini kenya
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo23 Nov
MAUAJI YA KENYA YANALENGA KUZUA UHASAMA WA KIDINI
MSHAURI wa Rais Uhuru Kenyatta wa nchini Kenya, Abdikadir Mohammed amesema kuwa mauaji ya watu 28 waliokuwa wakisafiri kwenye basi nchini humo jana yalilenga kusababisha vita vya kidini.
Kwenye mahojiano na BBC Abdikadir Mohammed alitoa wito kwa Wakenya kutoka madhehebu yote kuungana pamoja dhidi ya kile alichokitaja kuwa vitendo vya uhalifu.
Wapiganaji wa kundi la Al-Shabaab waliwapiga risasi wasafiri ambao walishindwa kukariri Koran.
Al-Shabaab ilisema kuwa shambulizi hilo lilikuwa la...
Kwenye mahojiano na BBC Abdikadir Mohammed alitoa wito kwa Wakenya kutoka madhehebu yote kuungana pamoja dhidi ya kile alichokitaja kuwa vitendo vya uhalifu.
Wapiganaji wa kundi la Al-Shabaab waliwapiga risasi wasafiri ambao walishindwa kukariri Koran.
Al-Shabaab ilisema kuwa shambulizi hilo lilikuwa la...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cMo845SLBX2Em51TgpFcLnkVOZh8zpUp*KR4CSUAItlj95cLoE4OzwruvqjEDrn-U8tJn5isFVUHYZBhpoFXn1EvbkvMIzV8/1.jpg)
MSHAURI WA RAIS UHURU: MAUAJI YA KENYA YANALENGA KUZUA UHASAMA WA KIDINI
Baadhi ya miili ya abiria waliouawa jana na Al-Shabaab eneo la Mandera, Kenya. Basi lililotekwa na Al-Shabaab eneo la Mandera likiwa njiani kuelekea Nairobi.…
9 years ago
Mwananchi05 Jan
Mauaji ya ‘Tajiri Mtoto’ yaendelea kuzua utata
Mtandao wa kikundi kinachozalisha pombe kali bandia kinachodaiwa kuwa na uhusiano na baadhi ya watumishi wasiowaaminifu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), unahusishwa na mipango ya kumuua mfanyabiashara Joseph Mahole maarufu ‘Tajiri Mtoto’.
10 years ago
BBCSwahili09 Jun
Tamasha la J LO lazidi kuzua zogo Rabat
Waziri mkuu nchini Morocco ameamrisha kufanywa uchunguzi kuhusu matangazo ya runinga ya tamasha ya mwanamuziki Jennifer Lopez
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Poyet aadhibiwa kwa kuzua purukushani
Kocha wa Sunderland Gus Poyet ameadhibiwa kwa kumshambulia mwenzake wa Hull City
11 years ago
Mwananchi28 Dec
Matukio yaliyotikisa na kuzua gumzo 2013
>Zimebaki siku chache kabla ya kuuaga mwaka 2013, mwaka ambao umekuwa na matukio mengi yaliyoitikisa nchi ya Tanzania, huku mengine yakiipa sifa kubwa.
10 years ago
Mwananchi24 Dec
Mwisho wa uhasama
Baada ya miongo ya miaka ya kutokuwepo uhusiano wa kibalozi, Marekani sasa imetangaza kuwa inataka irejeshe uhusiano wake na Cuba uwe wa kawaida.
10 years ago
Mwananchi14 Sep
Mtoto aliyezamia katika ndege azidi kuzua utata
Sakata la mtoto aliyezamia ndege kutoka Dar es Salaam kwenda Zanzibar, Karine Godfrey (ambaye sasa imefahamika kwa jina la Happiness Rioba )limechukua sura mpya baada ya mama yake mzazi, Sara Zefhania kujitokeza na kusema kuwa mwanaye hakupanda ndege.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania