Mauaji ya ‘Tajiri Mtoto’ yaendelea kuzua utata
Mtandao wa kikundi kinachozalisha pombe kali bandia kinachodaiwa kuwa na uhusiano na baadhi ya watumishi wasiowaaminifu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), unahusishwa na mipango ya kumuua mfanyabiashara Joseph Mahole maarufu ‘Tajiri Mtoto’.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Sep
Mtoto aliyezamia katika ndege azidi kuzua utata
10 years ago
BBCSwahili23 Nov
Mauaji yanalenga kuzua uhasama wa kidini
10 years ago
Vijimambo23 Nov
MAUAJI YA KENYA YANALENGA KUZUA UHASAMA WA KIDINI
Kwenye mahojiano na BBC Abdikadir Mohammed alitoa wito kwa Wakenya kutoka madhehebu yote kuungana pamoja dhidi ya kile alichokitaja kuwa vitendo vya uhalifu.
Wapiganaji wa kundi la Al-Shabaab waliwapiga risasi wasafiri ambao walishindwa kukariri Koran.
Al-Shabaab ilisema kuwa shambulizi hilo lilikuwa la...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cMo845SLBX2Em51TgpFcLnkVOZh8zpUp*KR4CSUAItlj95cLoE4OzwruvqjEDrn-U8tJn5isFVUHYZBhpoFXn1EvbkvMIzV8/1.jpg)
MSHAURI WA RAIS UHURU: MAUAJI YA KENYA YANALENGA KUZUA UHASAMA WA KIDINI
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Utata mpya waibuka mauaji ya askari Kinapa
11 years ago
BBCSwahili29 Apr
Mauaji ya kikatili yaendelea Syria
10 years ago
BBCSwahili27 Nov
Mauaji ya weusi yaendelea Marekani
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ac68YxxsLJ0KcrxhfCsaCphU09qmWrRz6O3QvYpT*sLUyniNZ5Zf6qe*rUIGzV9-ao3ED1a7eJZ53Io05ppctH2y5hI7UfZ5/kamandamzinga.jpg)
MAUAJI YA WANAWAKE NACHINGWEA YAENDELEA
10 years ago
CloudsFM12 Feb
Kesi ya mtuhumiwa wa mauaji ya Mwangosi yaendelea Iringa
MAHAKAMA kuu kanda ya Iringa inaendelea na vikao vyake huku leo kesi ya ya mauwaji ya mwanahabari mkoani Iringa Daud Mwangosi inayomkabilia mtuhumiwa wa askari wa kikosi cha kutuliza ghasia mkoa wa Iringa (FFU) Pasificus Cleophace Simon mwenye namba G 2573 inataraji kuanza kusikilizwa kwa upande wa mashahidi kuanza kutoa ushahidi wao.
Kesi hiyo inayoanza leo inaanza kusikilizwa leo Feb 12 -18 mwaka huu huenda hukumu ya kesi hiyo kutolewa siku ya tarehe 18 mara baada ya mashahidi kumaliza...