MAUAJI YA WANAWAKE NACHINGWEA YAENDELEA
![](http://api.ning.com:80/files/ac68YxxsLJ0KcrxhfCsaCphU09qmWrRz6O3QvYpT*sLUyniNZ5Zf6qe*rUIGzV9-ao3ED1a7eJZ53Io05ppctH2y5hI7UfZ5/kamandamzinga.jpg)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi, Renatha Mzinga. MWILI wa mwanamke mwingine aliyetambulika kwa jina la Zuhura Mtenda mwenye umri wa miaka, 32 umeokotwa leo na kufanya idadi ya wanawake waliouawa mpaka sasa katika Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi kufikia nane. Wanawake hao nane waliouawa kikatili mpaka sasa wana umri kati ya miaka 18-32. Chanzo cha mauaji hayo kimedaiwa kuwa ni uhusiano wa kimapenzi. Katika kuonyesha kuwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-d5MIES_r5Pw/VGzbFMO7icI/AAAAAAAATe8/kNmC3sM3JDE/s72-c/3.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA NA UJUMBE WAKE YAENDELEA NDANI YA WILAYA YA NACHINGWEA
![](http://3.bp.blogspot.com/-d5MIES_r5Pw/VGzbFMO7icI/AAAAAAAATe8/kNmC3sM3JDE/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NAgdyJoqmcY/VGzbKkBbV3I/AAAAAAAATfM/7merlCLMXJw/s1600/5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yrgKC52ti3Q/VGzbNM4VA_I/AAAAAAAATfU/vliBO6GeQ1M/s1600/6.jpg)
10 years ago
BBCSwahili27 Nov
Mauaji ya weusi yaendelea Marekani
11 years ago
BBCSwahili29 Apr
Mauaji ya kikatili yaendelea Syria
9 years ago
Mwananchi05 Jan
Mauaji ya ‘Tajiri Mtoto’ yaendelea kuzua utata
10 years ago
CloudsFM12 Feb
Kesi ya mtuhumiwa wa mauaji ya Mwangosi yaendelea Iringa
MAHAKAMA kuu kanda ya Iringa inaendelea na vikao vyake huku leo kesi ya ya mauwaji ya mwanahabari mkoani Iringa Daud Mwangosi inayomkabilia mtuhumiwa wa askari wa kikosi cha kutuliza ghasia mkoa wa Iringa (FFU) Pasificus Cleophace Simon mwenye namba G 2573 inataraji kuanza kusikilizwa kwa upande wa mashahidi kuanza kutoa ushahidi wao.
Kesi hiyo inayoanza leo inaanza kusikilizwa leo Feb 12 -18 mwaka huu huenda hukumu ya kesi hiyo kutolewa siku ya tarehe 18 mara baada ya mashahidi kumaliza...
11 years ago
Mwananchi10 Feb
Mauaji ya kutisha dhidi ya wanawake
10 years ago
BBCSwahili29 Jan
Wanawake wakerwa na mauaji Misri
10 years ago
CloudsFM03 Dec
MBARONI WAKIHUSISHWA NA MAUAJI YA WANAWAKE DAR
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linawashikilia watu wawili wanaotuhumiwa kufanya vitendo vya utekaji, unyanyasaji wa kijinsia na mauaji ya wanawake.
Kamishna wa Polisi Kanda Maalumu, Suleiman Kova alisema hayo jana jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari.
Alisema watuhumiwa hao wamehusishwa na vitendo hivyo baada ya upelelezi wa kina na wa kitaalamu uliosaidia kuwakamata wahalifu hao wakiwa na vielelezo mbalimbali.
Kova aliwataja watuhumiwa hao kuwa ni...
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Mkono aishukia serikali mauaji ya wanawake
MBUNGE wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono, ameishutumu serikali kwa kushindwa kudhibiti vitendo vya mauaji ya kikatili wanayofanyiwa wanawake katika baadhi ya vijiji vya Tarafa ya Nyanja huku akisema serikali imekuwa...