Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanawake wakerwa na mauaji Misri

Zaidi ya wanawake 100 wa Misri wameandamana mjini Cairo, kutaka uchunguzi ufanywe dhidi ya mauaji ya mkereketwa wa haki za kibinadamu, Shaimaa Sabbagh.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Polisi wa Misri watuhumiwa kwa mauaji

Shirika la Human Rights Watch, limesema kuwa polisi wa Misri waliwaua kiholela wapinzani wa aliyekuwa Rais Morsi mwaka jana

 

10 years ago

BBCSwahili

Mubarak akana kuamrisha mauaji Misri.

Aliyekuwa rais wa Misri Hosni Mubarak amekana kuamrisha mauaji ya waandamanji Misri mwaka wa 2011.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ni uhalifu kuwanyanyasa wanawake - Misri

Kwa mara ya kwanza Misri imepitisha sheria inayotaja unyanyasaji wa wanawake kuwa uhalifu.

 

11 years ago

GPL

MAUAJI YA WANAWAKE NACHINGWEA YAENDELEA

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi, Renatha Mzinga. MWILI wa mwanamke mwingine aliyetambulika kwa jina la Zuhura Mtenda mwenye umri wa miaka, 32 umeokotwa leo na kufanya idadi ya wanawake waliouawa mpaka sasa katika Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi kufikia nane. Wanawake hao nane waliouawa kikatili mpaka sasa wana umri kati ya miaka 18-32.
Chanzo cha mauaji hayo kimedaiwa kuwa ni uhusiano wa kimapenzi. Katika kuonyesha kuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mauaji ya kutisha dhidi ya wanawake

>Katika hali inayoashiria ukatili wa kutisha, wanaume watatu katika maeneo tofauti nchini, wamewaua wake zao kutokana na kile kinachoelezwa kuwa ni wivu wa mapenzi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mkono aishukia serikali mauaji ya wanawake

MBUNGE wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono, ameishutumu serikali kwa kushindwa kudhibiti vitendo vya mauaji ya kikatili  wanayofanyiwa wanawake katika baadhi ya vijiji vya Tarafa ya Nyanja huku akisema serikali imekuwa...

 

10 years ago

CloudsFM

MBARONI WAKIHUSISHWA NA MAUAJI YA WANAWAKE DAR

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linawashikilia watu wawili wanaotuhumiwa kufanya vitendo vya utekaji, unyanyasaji wa kijinsia na mauaji ya wanawake.
Kamishna wa Polisi Kanda Maalumu, Suleiman Kova alisema hayo jana jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari.

Alisema watuhumiwa hao wamehusishwa na vitendo hivyo baada ya upelelezi wa kina na wa kitaalamu uliosaidia kuwakamata wahalifu hao wakiwa na vielelezo mbalimbali.

Kova aliwataja watuhumiwa hao kuwa ni...

 

10 years ago

Tanzania Daima

BAWACHA walaani mauaji ya wanawake Mara

BARAZA la Wanawake CHADEMA, (BAWACHA), limelaani mauaji ya wanawake yanayofanywa na watu wasiofahamika maeneo mbalimbali ya Wilaya za Butiama na Musoma mkoani Mara huku Jeshi la Polisi likishindwa kuyadhibiti. Akiwahutubia...

 

10 years ago

StarTV

Polisi Dar yashikilia watuhumiwa wa mauaji ya wanawake.

Na Immaculate Kilulya,

Dar Es Salaam.

 

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar Es Salaam linawashikilia watu wawili kwa makosa ya mauaji ya wanawake 11 baada ya kuwarubuni kimapenzi, kuwatilia dawa kwenye vinywaji na kisha kuwateka, kuwanyanyasa kijinsia na hatimaye kuwaua.

 

Watuhumiwa hao ambao ni Abubakar Aman na Ezekiel Kasenegala wamekiri kuhusika na mauaji ya aina hiyo katika kipindi cha miaka miwili yakiwemo mauaji ya hivi karibuni ya wasichana wawili wa Chuo cha Ukutubi Bagamoyo mkoani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani