Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkono aishukia serikali mauaji ya wanawake

MBUNGE wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono, ameishutumu serikali kwa kushindwa kudhibiti vitendo vya mauaji ya kikatili  wanayofanyiwa wanawake katika baadhi ya vijiji vya Tarafa ya Nyanja huku akisema serikali imekuwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

WANANCHI WATAKIWA KUUNGA MKONO SERIKALI DHIDI YA VITENDO VYA KIKATILI HASA KWA WANAWAKE NA WTOTO

  Na Mwandishi Wetu TaboraMkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri amewataka wananchi wa Mkoa huo kuunga mkono juhudi za Serikali katika mapambano dhidi ya vitendo vya kikatili hasa kwa wanawake na watoto.
Mkuu wa mkoa huyo ameyasema hayo jana mkoani humo wakati akiupokea Msafara wa Kijinsia kutokomeza ukatili unaolenga kutoa elimu kwa jamii kuhusu madhara ya kufanya vitendo vya ukatili wa kijinsia kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yatakayofanyika Kitaifa Simiyu Machi 08,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lembeli aishukia serikali

SERIKALI imetakiwa kutoa maelezo ya kina kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira juu ya kubadilishwa kinyemela mipaka ya Hifadhi ya Arusha (ANAPA), hatua iliyochangia wananchi...

 

11 years ago

Mwananchi

Mnyika aishukia Serikali utoroshaji fedha nje ya nchi

>Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, imeilipua Serikali kwa kushindwa kudhibiti utoroshwaji mkubwa wa fedha kwenda nje.

 

11 years ago

Dewji Blog

Mbunge ‘Zungu’ aishukia serikali dhidi ya machinga, boda boda, mama ntilie

   awataka wabunge wengine wasije Dar es Salaam, wakae kwenye majimbo yao

zungu pics

Mbunge wa Ilala, Hassan Musa ‘Zungu’

Na Damas Makangale, Moblog Tanzania

MBUNGE wa Ilala,  Musa Hassan maarufu kama ‘Zungu’ leo asubuhi katika kikao cha Bunge la Bajeti kinachoendelea mjini Dodoma amekataa kuunga mkono Bajeti ya ofisi ya Waziri Mkuu yenye makadirio ya kiasi cha shilingi trilioni tano.

Akizungumza kwenye kipindi cha  maswali na majibu ya ofisi ya Waziri Mkuu Bajeti ya  2014/2015, Mbunge Musa Hassan...

 

11 years ago

Habarileo

'Wanaume waungeni mkono wanawake'

KATIKA kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, wanaume wametakiwa kuwaunga mkono wanawake katika shughuli zao kwani kwa kufanya hivyo ni chachu ya kukuza uchumi na kuongeza maendeleo ya familia na hata ya taifa kwa ujumla.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanawake waliomuunga mkono Morsi waachiliwa

Mahakama ya rufaa nchini Misri imeamuru kuachiliwa kwa wanawake, 21 waliofungwa jela mwezi jana kwa kuandaa maandamano ya kumuunga mkono aliyekuwa Rais Mohammed Morsi

 

9 years ago

Mwananchi

Wanawake wamuunga mkono JPM kufanya usafi

Wanawake kutoka vyama vya siasa na wanaharakati waeitikia wito wa Rais John Magufuli kwa kujitokeza kufanya usafi kwenye Soko la Mabibo la jijini hapa.

 

9 years ago

Habarileo

Kaijage aomba soka ya wanawake iungwe mkono

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Wanawake Tanzania (Twiga Stars), Rogasian Kaijage amesema mpira wa wanawake unahitaji kuungwa mkono kama ilivyo kwa wanaume.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanawake wakerwa na mauaji Misri

Zaidi ya wanawake 100 wa Misri wameandamana mjini Cairo, kutaka uchunguzi ufanywe dhidi ya mauaji ya mkereketwa wa haki za kibinadamu, Shaimaa Sabbagh.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani