Lembeli aishukia serikali
SERIKALI imetakiwa kutoa maelezo ya kina kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira juu ya kubadilishwa kinyemela mipaka ya Hifadhi ya Arusha (ANAPA), hatua iliyochangia wananchi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Mkono aishukia serikali mauaji ya wanawake
MBUNGE wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono, ameishutumu serikali kwa kushindwa kudhibiti vitendo vya mauaji ya kikatili wanayofanyiwa wanawake katika baadhi ya vijiji vya Tarafa ya Nyanja huku akisema serikali imekuwa...
11 years ago
Mwananchi31 May
Mnyika aishukia Serikali utoroshaji fedha nje ya nchi
11 years ago
Dewji Blog08 May
Mbunge ‘Zungu’ aishukia serikali dhidi ya machinga, boda boda, mama ntilie
awataka wabunge wengine wasije Dar es Salaam, wakae kwenye majimbo yao
Mbunge wa Ilala, Hassan Musa ‘Zungu’
Na Damas Makangale, Moblog Tanzania
MBUNGE wa Ilala, Musa Hassan maarufu kama ‘Zungu’ leo asubuhi katika kikao cha Bunge la Bajeti kinachoendelea mjini Dodoma amekataa kuunga mkono Bajeti ya ofisi ya Waziri Mkuu yenye makadirio ya kiasi cha shilingi trilioni tano.
Akizungumza kwenye kipindi cha maswali na majibu ya ofisi ya Waziri Mkuu Bajeti ya 2014/2015, Mbunge Musa Hassan...
11 years ago
Mwananchi06 Feb
Lembeli aituhumu Serikali kubadilisha Hifadhi ya Arusha
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Lembeli:Serikali tatu ilikuwa suluhisho la katiba
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
Lembeli: Serikali iondoe VAT vifaa vya mradi
MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli, ameishauri serikali kuondoa kodi kwenye vifaa vya mradi wa ujenzi wa nyumba za gharama nafuu unaoendeshwa...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Dk. Nchimbi aishukia Duwasa
MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Dk. Rehema Nchimbi, ametoa wiki moja kwa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira mjini Dodoma (Duwasa), kung’oa mara moja mifumo ya maji isiyotakiwa...
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Lukuvi aishukia Ukawa
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Dk. Chegeni aishukia kampuni ya madini
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Dk. Raphael Chegeni, ameitaka kampuni ya uchimbaji madini katika mgodi wa Ngasamo wilayani Busega, Simiyu kufuata sheria za nchi kwa kuwalipa fidia...