Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lembeli aishukia serikali

SERIKALI imetakiwa kutoa maelezo ya kina kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira juu ya kubadilishwa kinyemela mipaka ya Hifadhi ya Arusha (ANAPA), hatua iliyochangia wananchi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mkono aishukia serikali mauaji ya wanawake

MBUNGE wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono, ameishutumu serikali kwa kushindwa kudhibiti vitendo vya mauaji ya kikatili  wanayofanyiwa wanawake katika baadhi ya vijiji vya Tarafa ya Nyanja huku akisema serikali imekuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mnyika aishukia Serikali utoroshaji fedha nje ya nchi

>Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, imeilipua Serikali kwa kushindwa kudhibiti utoroshwaji mkubwa wa fedha kwenda nje.

 

11 years ago

Dewji Blog

Mbunge ‘Zungu’ aishukia serikali dhidi ya machinga, boda boda, mama ntilie

   awataka wabunge wengine wasije Dar es Salaam, wakae kwenye majimbo yao

zungu pics

Mbunge wa Ilala, Hassan Musa ‘Zungu’

Na Damas Makangale, Moblog Tanzania

MBUNGE wa Ilala,  Musa Hassan maarufu kama ‘Zungu’ leo asubuhi katika kikao cha Bunge la Bajeti kinachoendelea mjini Dodoma amekataa kuunga mkono Bajeti ya ofisi ya Waziri Mkuu yenye makadirio ya kiasi cha shilingi trilioni tano.

Akizungumza kwenye kipindi cha  maswali na majibu ya ofisi ya Waziri Mkuu Bajeti ya  2014/2015, Mbunge Musa Hassan...

 

11 years ago

Mwananchi

Lembeli aituhumu Serikali kubadilisha Hifadhi ya Arusha

Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira imesema Serikali imekuwa ikitoa maagizo ya kubadilishwa kinyemela mipaka ya Hifadhi ya Taifa ya Arusha.

 

10 years ago

Mwananchi

Lembeli:Serikali tatu ilikuwa suluhisho la katiba

Mbunge wa Kahama, James Lembeli anatoka chama tawala (CCM), lakini msimamo wake kwenye mchakato wa Katiba ulikuwa tofauti na makada wenzake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lembeli: Serikali iondoe VAT vifaa vya mradi

MWENYEKITI  wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya  Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli, ameishauri serikali kuondoa kodi  kwenye vifaa vya  mradi wa ujenzi wa nyumba za gharama nafuu unaoendeshwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Nchimbi aishukia Duwasa

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Dk. Rehema Nchimbi, ametoa wiki moja kwa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira mjini Dodoma (Duwasa), kung’oa mara moja mifumo ya maji isiyotakiwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Lukuvi aishukia Ukawa

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi amewashukia wajumbe wa Kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), waliogomea kuendelea na mchakato wa kutengeneza Katiba, akisema wanapanga kuivuruga nchi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Chegeni aishukia kampuni ya madini

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Dk. Raphael Chegeni, ameitaka kampuni ya uchimbaji madini katika mgodi wa Ngasamo wilayani Busega, Simiyu kufuata sheria za nchi kwa kuwalipa fidia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani