Lembeli aituhumu Serikali kubadilisha Hifadhi ya Arusha
Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira imesema Serikali imekuwa ikitoa maagizo ya kubadilishwa kinyemela mipaka ya Hifadhi ya Taifa ya Arusha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog18 Dec
Serikali yakubali azimio la Arusha kuhusu hifadhi ya jamii
Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akitoa hotuba ya kufunga kongamano la Kimataifa la siku tatu kuhusu hifadhi ya Jamii lililoanza Disemba 15-17, 2014 jijini Arusha.(Picha zote na Eleuteri Mangi- Arusha).
Na Mwandishi wetu, Arusha
SERIKALI ya Tanzania imeridhia azimio la arusha kuhusi hifadhi ya jamii nchini Tanzania na kusema litatumika kama dira katika kunemeesha watanzania.
Azimio hilo ambalo limetoka baada ya mkutano wa siku tatu wa wadau mbalimbali wa hifadhi ya jamii kutoka bara la...
10 years ago
Vijimambo18 Dec
SERIKALI YAKUBALI AZIMIO ARUSHA KUHUSU HIFADHI YA JAMII
![IMG_7245](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_7245.jpg)
Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akitoa hotuba ya kufunga kongamano la Kimataifa la siku tatu kuhusu hifadhi ya Jamii lililoanza Disemba 15-17, 2014 jijini Arusha.(Picha zote na Eleuteri Mangi- Arusha).
Na Mwandishi wetu, ArushaSERIKALI ya Tanzania imeridhia azimio la arusha kuhusi hifadhi ya jamii nchini Tanzania na kusema litatumika kama dira katika kunemeesha watanzania.Azimio hilo ambalo limetoka baada ya mkutano wa siku tatu wa wadau mbalimbali wa hifadhi ya jamii kutoka bara la...
10 years ago
Habarileo02 Jun
Taasisi za serikali zatakiwa kubadilisha barua pepe
TAASISI za Serikali nchini zimetakiwa kufanya mabadiliko katika mfumo wa barua pepe za serikali ili kuendana na mabadiliko ya sasa ya sayansi na teknolojia.
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Lembeli aishukia serikali
SERIKALI imetakiwa kutoa maelezo ya kina kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira juu ya kubadilishwa kinyemela mipaka ya Hifadhi ya Arusha (ANAPA), hatua iliyochangia wananchi...
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Lembeli:Serikali tatu ilikuwa suluhisho la katiba
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
Lembeli: Serikali iondoe VAT vifaa vya mradi
MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli, ameishauri serikali kuondoa kodi kwenye vifaa vya mradi wa ujenzi wa nyumba za gharama nafuu unaoendeshwa...
10 years ago
GPLNYALANDU ATEMBELEA OFISI ZA HIFADHI YA TAIFA YA ARUSHA (TANAPA)
10 years ago
MichuziNYALANDU ATEMBELEA OFISI ZA HIFADHI YA TAIFA YA ARUSHA (ANAPA)
11 years ago
MichuziKamati ya ardhi,maliasili na mazingira yatembelea hifadhi ya taifa ya Arusha