SERIKALI YAKUBALI AZIMIO ARUSHA KUHUSU HIFADHI YA JAMII
Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akitoa hotuba ya kufunga kongamano la Kimataifa la siku tatu kuhusu hifadhi ya Jamii lililoanza Disemba 15-17, 2014 jijini Arusha.(Picha zote na Eleuteri Mangi- Arusha).
Na Mwandishi wetu, ArushaSERIKALI ya Tanzania imeridhia azimio la arusha kuhusi hifadhi ya jamii nchini Tanzania na kusema litatumika kama dira katika kunemeesha watanzania.Azimio hilo ambalo limetoka baada ya mkutano wa siku tatu wa wadau mbalimbali wa hifadhi ya jamii kutoka bara la...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog18 Dec
Serikali yakubali azimio la Arusha kuhusu hifadhi ya jamii
Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akitoa hotuba ya kufunga kongamano la Kimataifa la siku tatu kuhusu hifadhi ya Jamii lililoanza Disemba 15-17, 2014 jijini Arusha.(Picha zote na Eleuteri Mangi- Arusha).
Na Mwandishi wetu, Arusha
SERIKALI ya Tanzania imeridhia azimio la arusha kuhusi hifadhi ya jamii nchini Tanzania na kusema litatumika kama dira katika kunemeesha watanzania.
Azimio hilo ambalo limetoka baada ya mkutano wa siku tatu wa wadau mbalimbali wa hifadhi ya jamii kutoka bara la...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iMA3hVUmg40/VJJniLGjX-I/AAAAAAAG4Bw/qcdg7MmeXH0/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
Serikali yasaini Azimio la Arusha linalohusu Kinga ya Jamii
![](http://1.bp.blogspot.com/-iMA3hVUmg40/VJJniLGjX-I/AAAAAAAG4Bw/qcdg7MmeXH0/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7vJoDIRLd_4/VJJnv3hCTFI/AAAAAAAG4CQ/b5RGEbjrqMc/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA NA HABARI KAMILI
10 years ago
Dewji Blog20 Aug
Mwinyi: Serikali haikufuta azimio la Arusha
Rais wa Mstaafu wa Awamu ya Pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi.
Na Joseph Ishengoma, MAELEZO
Rais wa Awamu ya Pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi amesema serikali haijawahi kufuta Azimio la Arusha kama inavyodaiwa na baadhi ya wananchi, bali ilizimua azimio hilo kuwapatia viongozi wa kati uwezo wa kumudu makali ya maisha.
“Serikali haikufuta Azimio la Arusha. Ililizimua azimio hilo kuwapatia viongozi wa kati kumudu makali ya maisha, lakini baadhi ya viongozi wamekuwa wakitumia vibaya nafasi hiyo...
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Mzee Mwinyi asema Serikali haikufuta Azimio la Arusha
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Serikali inafilisi Mifuko Hifadhi ya Jamii
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0S63T8biM8I/UyvNisEJRKI/AAAAAAAA8YQ/JR-ytJQ2s_I/s72-c/n4.jpg)
NSSF YATOA ELIMU KUHUSU HIFADHI YA JAMII KWA WANACHUO WA CBE
![](http://3.bp.blogspot.com/-0S63T8biM8I/UyvNisEJRKI/AAAAAAAA8YQ/JR-ytJQ2s_I/s1600/n4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3tnnNPGHRzU/UyvNj_X6_fI/AAAAAAAA8Yg/I1RsEqbHmMg/s1600/n6.jpg)
10 years ago
Habarileo19 Feb
Serikali yachukua hatua hifadhi za jamii zisifilisike
SERIKALI imesema inachukua hatua mbalimbali zitakazozuia uwezekano wa mifuko ya hifadhi ya jamii kufilisika, kutokana na mifuko hiyo kuidai serikali kiasi cha Sh trilioni 1.8.
10 years ago
Tanzania Daima30 Oct
‘Serikali ilipe madeni mifuko hifadhi ya jamii’
MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii, Said Mtanda, ameitaka serikali kulipa madeni ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, ili kusaidia mifuko hiyo kuweza kufanya shughuli za maendeleo...