Serikali yasaini Azimio la Arusha linalohusu Kinga ya Jamii
![](http://1.bp.blogspot.com/-iMA3hVUmg40/VJJniLGjX-I/AAAAAAAG4Bw/qcdg7MmeXH0/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akitoa hotuba ya kufunga kongamano la Kimataifa la siku tatu kuhusu Kinga ya Jamii lililoanza Disemba 15-17, 2014 jijini Arusha.
Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akisaini Azimio la Arusha kwa niaba ya Serikali ya Tanzania ambalo lilipitishwa wakati wa kongamano la Kimataifa la siku tatu kuhusu Kinga ya Jamii lililoanza Disemba 15-17, 2014 jijini Arusha.
BOFYA HAPA KWA PICHA NA HABARI KAMILI
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo18 Dec
SERIKALI YAKUBALI AZIMIO ARUSHA KUHUSU HIFADHI YA JAMII
![IMG_7245](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_7245.jpg)
Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akitoa hotuba ya kufunga kongamano la Kimataifa la siku tatu kuhusu hifadhi ya Jamii lililoanza Disemba 15-17, 2014 jijini Arusha.(Picha zote na Eleuteri Mangi- Arusha).
Na Mwandishi wetu, ArushaSERIKALI ya Tanzania imeridhia azimio la arusha kuhusi hifadhi ya jamii nchini Tanzania na kusema litatumika kama dira katika kunemeesha watanzania.Azimio hilo ambalo limetoka baada ya mkutano wa siku tatu wa wadau mbalimbali wa hifadhi ya jamii kutoka bara la...
10 years ago
Dewji Blog18 Dec
Serikali yakubali azimio la Arusha kuhusu hifadhi ya jamii
Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akitoa hotuba ya kufunga kongamano la Kimataifa la siku tatu kuhusu hifadhi ya Jamii lililoanza Disemba 15-17, 2014 jijini Arusha.(Picha zote na Eleuteri Mangi- Arusha).
Na Mwandishi wetu, Arusha
SERIKALI ya Tanzania imeridhia azimio la arusha kuhusi hifadhi ya jamii nchini Tanzania na kusema litatumika kama dira katika kunemeesha watanzania.
Azimio hilo ambalo limetoka baada ya mkutano wa siku tatu wa wadau mbalimbali wa hifadhi ya jamii kutoka bara la...
10 years ago
Dewji Blog20 Aug
Mwinyi: Serikali haikufuta azimio la Arusha
Rais wa Mstaafu wa Awamu ya Pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi.
Na Joseph Ishengoma, MAELEZO
Rais wa Awamu ya Pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi amesema serikali haijawahi kufuta Azimio la Arusha kama inavyodaiwa na baadhi ya wananchi, bali ilizimua azimio hilo kuwapatia viongozi wa kati uwezo wa kumudu makali ya maisha.
“Serikali haikufuta Azimio la Arusha. Ililizimua azimio hilo kuwapatia viongozi wa kati kumudu makali ya maisha, lakini baadhi ya viongozi wamekuwa wakitumia vibaya nafasi hiyo...
9 years ago
Michuzi18 Dec
Serikali yasaini makubaliano ya ujenzi wa Barabara Arusha.
![uj1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/uj1.jpg)
Mkurugenzi wa barabara Wizara ya Ujenzi , Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Ven Ndiyakumana kushoto akisaini mkataba wa awali kuhusu mkopo wa fedha wa riba nafuu utakaosaidia ujenzi wa Barabara ya Arusha hadi Holili kulia ni Naibu Mkurugenzi wa Idara ya ushirikiano Afrika kutoka Japan (JICA) Bw. Hideyuki Manioka wakati wa hafla fupi iliyofanyika leo Jijini Dar es salaam.
![uj2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/uj2.jpg)
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Mzee Mwinyi asema Serikali haikufuta Azimio la Arusha
10 years ago
Uhuru Newspaper21 Aug
Azimio la Arusha halijafutwa- Mwinyi
RAIS wa Awamu ya Pili, Alhaji Ali Hassan Mwinyi, amesema serikali haijawahi kufuta Azimio la Arusha kama inavyodaiwa na baadhi ya wananchi.
Hata hivyo amesema kilichofanyika ni ilizimua azimio hilo kuwapatia viongozi wa kati uwezo wa kumudu makali ya maisha.
Mwinyi alisema hayo jana jijini Dar es Salaam katika semina ya siku moja ya maandalizi ya sheria ya kudhibiti mgongano wa maslai miongoni mwa viongozi na watumishi wa umma iliyoandaliwa na Sekretarieti ya Maadili ya viongozi.
“Serikali...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gu-i5AZYvlQ/VWXKOXtf2lI/AAAAAAAHaGY/rhBLgXG6l7U/s72-c/20150526_103105.jpg)
WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII YASAINI MKATABA WA KUBORESHA HUDUMA ZA UFUNDI WA VIFAA TIBA
Pia kuwapa vitendea kazi(tools kits, measuring and calibration equipment) vyenye kuwezesha mafundi kuhakiki ubora wa ufanyaji kazi kwa baadhi ya vifaa tiba...
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Tuliyoshindwa kujifunza kutoka Azimio la Arusha
10 years ago
Dewji Blog09 Nov
Azimio la Arusha la kukabili ujangili lapita
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu akizungumza kwenye mkutano wa kikanda unaozungumzia ujangili na hifadhi endelevu ulioshirikisha mataifa ya Afrika, wajumbe wa Bunge la Marekani (Congress) Mashirika ya Umoja wa Mataifa, mataifa washirika wa maendeleo, wanazuoni na wawakilishi wa taasisi zisizo za serikali uliomalizika jana jijini Arusha na kufungwa rasmi na Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda. Kushoto Mwenyekiti wa mkutano wa kikanda wa...