Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yasaini Azimio la Arusha linalohusu Kinga ya Jamii

Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akitoa hotuba ya kufunga kongamano la Kimataifa la siku tatu kuhusu Kinga ya Jamii lililoanza Disemba 15-17, 2014 jijini Arusha.Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akisaini Azimio la Arusha kwa niaba ya Serikali ya Tanzania ambalo lilipitishwa wakati wa kongamano la Kimataifa la siku tatu kuhusu Kinga ya Jamii lililoanza Disemba 15-17, 2014 jijini Arusha.
BOFYA HAPA KWA PICHA NA HABARI KAMILI

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SERIKALI YAKUBALI AZIMIO ARUSHA KUHUSU HIFADHI YA JAMII

IMG_7245
Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akitoa hotuba ya kufunga kongamano la Kimataifa la siku tatu kuhusu hifadhi ya Jamii lililoanza Disemba 15-17, 2014 jijini Arusha.(Picha zote na Eleuteri Mangi- Arusha).
Na Mwandishi wetu, ArushaSERIKALI ya Tanzania imeridhia azimio la arusha kuhusi hifadhi ya jamii nchini Tanzania na kusema litatumika kama dira katika kunemeesha watanzania.Azimio hilo ambalo limetoka baada ya mkutano wa siku tatu wa wadau mbalimbali wa hifadhi ya jamii kutoka bara la...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yakubali azimio la Arusha kuhusu hifadhi ya jamii

IMG_7245

Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akitoa hotuba ya kufunga kongamano la Kimataifa la siku tatu kuhusu hifadhi ya Jamii lililoanza Disemba 15-17, 2014 jijini Arusha.(Picha zote na Eleuteri Mangi- Arusha).

Na Mwandishi wetu, Arusha

SERIKALI ya Tanzania  imeridhia azimio la arusha kuhusi hifadhi ya jamii  nchini Tanzania na kusema litatumika kama dira katika kunemeesha watanzania.

Azimio hilo ambalo limetoka baada ya mkutano wa siku tatu wa wadau mbalimbali wa  hifadhi ya jamii kutoka bara la...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwinyi: Serikali haikufuta azimio la Arusha

mwinyi

Rais wa Mstaafu wa Awamu ya Pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi.

Na Joseph Ishengoma, MAELEZO

Rais wa Awamu ya Pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi amesema serikali haijawahi kufuta Azimio la Arusha kama inavyodaiwa na baadhi ya wananchi, bali ilizimua azimio hilo kuwapatia viongozi wa kati uwezo wa kumudu makali ya maisha.

“Serikali haikufuta Azimio la Arusha. Ililizimua azimio hilo kuwapatia viongozi wa kati kumudu makali ya maisha, lakini baadhi ya viongozi wamekuwa wakitumia vibaya nafasi hiyo...

 

9 years ago

Michuzi

Serikali yasaini makubaliano ya ujenzi wa Barabara Arusha.


uj1
Mkurugenzi wa barabara Wizara ya Ujenzi , Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Ven Ndiyakumana kushoto akisaini mkataba wa awali kuhusu mkopo wa fedha wa riba nafuu utakaosaidia ujenzi wa Barabara ya Arusha hadi Holili kulia ni Naibu Mkurugenzi wa Idara ya ushirikiano Afrika kutoka Japan (JICA) Bw. Hideyuki Manioka wakati wa hafla fupi iliyofanyika leo Jijini Dar es salaam. uj2Mkurugenzi wa barabara Wizara ya Ujenzi , Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Ven Ndiyakumana kushoto akikabidhiana...

 

10 years ago

Mwananchi

Mzee Mwinyi asema Serikali haikufuta Azimio la Arusha

Rais mstaafu, Ali Hassan Mwinyi amesema Serikali haijawahi kufuta Azimio la Arusha kama inavyodaiwa na baadhi ya watu, bali ililizimua kuwapatia viongozi wa kati uwezo wa kumudu makali ya maisha.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Azimio la Arusha halijafutwa- Mwinyi


RAIS wa Awamu ya Pili, Alhaji Ali Hassan Mwinyi, amesema serikali haijawahi kufuta Azimio la Arusha kama inavyodaiwa na baadhi ya wananchi.
Hata hivyo amesema kilichofanyika ni ilizimua azimio hilo kuwapatia viongozi wa kati uwezo wa kumudu makali ya maisha.
Mwinyi alisema hayo jana jijini Dar es Salaam katika semina ya siku moja ya maandalizi ya sheria ya kudhibiti mgongano wa maslai miongoni mwa viongozi na watumishi wa umma iliyoandaliwa na Sekretarieti ya Maadili ya viongozi.
“Serikali...

 

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII YASAINI MKATABA WA KUBORESHA HUDUMA ZA UFUNDI WA VIFAA TIBA

Wizara ya afya na ustawi wa jamii  imesaini mkataba wa kuboresha huduma za ufundi wa vifaa tiba ili kusimamia matumizi bora na kutunza rasilimali,hivyo kumehitajika kuweka juhudi za maksudi kuandaa wataalam wa ufundi wa vifaa tiba kwa kuwajengea uwezo katika kufahamu namna ya matengenezo ya mashine zilizopo na zinazo endelea kununuliwa.
 Pia kuwapa   vitendea kazi(tools kits, measuring and calibration equipment) vyenye kuwezesha mafundi kuhakiki ubora wa ufanyaji kazi kwa baadhi ya vifaa tiba...

 

11 years ago

Mwananchi

Tuliyoshindwa kujifunza kutoka Azimio la Arusha

Mengi yamezungumzwa na yatazungumzwa tena wakati tunaadhimisha miaka 47 ya Azimio la Arusha. Kwa leo ningependa nipitie mambo mawili matatu ninayohisi kwamba Watanzania hawakujifunza, wala kuambulia kitu kutokana na hayo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Azimio la Arusha la kukabili ujangili lapita

IMG_5047

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu akizungumza kwenye mkutano wa kikanda unaozungumzia ujangili na hifadhi endelevu ulioshirikisha mataifa ya Afrika, wajumbe wa Bunge la Marekani (Congress) Mashirika ya Umoja wa Mataifa, mataifa washirika wa maendeleo, wanazuoni na wawakilishi wa taasisi zisizo za serikali uliomalizika jana jijini Arusha na kufungwa rasmi na Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda. Kushoto Mwenyekiti wa mkutano wa kikanda wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani