Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NYALANDU ATEMBELEA OFISI ZA HIFADHI YA TAIFA YA ARUSHA (TANAPA)

Baadhi ya watendaji wa TANAPA,wakimsikiliza Waziri Nyalandu alipotembelea hifadhi ya taifa ya Arusha.toka kulia ni Meneja Mawasiliano wa TANAPA ,Paschal Shelutete,Mhifadhi Mkuu Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro,Erastus Rufungulo na Betrita Loibook ,Mhifadhi Mkuu Arusha National Park. Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akiteta jambo na Mhifadhi Mkuu Arusha… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII,LAZARO NYALANDU ATEMBELEA OFISI ZA HIFADHI YA TAIFA YA ARUSHA (TANAPA)

Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akishuka kwenye gari alipowasili ofisi za Hifadhi ya Taifa ya Arusha(TANAPA).Mhifadhi Mkuu Hifadhi ya Taifa ya Arusha(ANAPA) Betrita Loibook akimuonesha Waziri Nyalandu mfano wa mtambo wa kufua umeme unaotazamiwa kuwekwa katika hifadhi hiyo.Mhifadhi Mkuu ,Hifadhi ya Taifa ya Arusha(TANAPA) Betrita Loibook akitoa taarifa ya Hifadhi hiyo kwa Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu.kwa picha zaidi bofya soma zaidiWaziri Nyalandu akizungumza...

 

10 years ago

Michuzi

NYALANDU ATEMBELEA OFISI ZA HIFADHI YA TAIFA YA ARUSHA (ANAPA)

Baadhi ya watendaji wa TANAPA,wakimsikiliza Waziri Nyalandu alipotembelea hifadhi ya taifa ya Arusha.toka kulia ni Meneja Mawasiliano wa TANAPA ,Paschal Shelutete,Mhifadhi Mkuu Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro,Erastus Rufungulo na Betrita Loibook ,Mhifadhi Mkuu Arusha National Park. Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akiteta jambo na Mhifadhi Mkuu Arusha National Park,Betrita Loibook.Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akizungumza na Mbunge wa jimbo la Arumeru...

 

10 years ago

Vijimambo

MABALOZI WA HIFADHI ZA TAIFA WA TANAPA WATEMBELEA BUNGENI DODOMA

Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu akisalimiana na mabalozi wa Hifadhi za Taifa zilizo chini ya TANAPA,waliotembelea Bungeni mjini Dodoma leo.Kikundi cha Vijana ambao ni mabalozi wa hifadhi za Taifa zilizo chini ya TANAPA wakiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu.Vijana hawa wako mjini Dodoma katika ziara ya kimafunzo.Picha na Deusdedit Moshi.

 

10 years ago

Michuzi

mabalozi wa Hifadhi za Taifa wa TANAPA watembelea Bungeni Dodoma leo

Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu akisalimiana na mabalozi wa Hifadhi za Taifa zilizo chini ya TANAPA,waliotembelea Bungeni mjini Dodoma leo. Kikundi cha Vijana ambao ni mabalozi wa hifadhi za Taifa zilizo chini ya TANAPA wakiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu.Vijana hawa wako mjini Dodoma katika ziara ya kimafunzo.Picha na Deusdedit Moshi.

 

10 years ago

Vijimambo

MRADI WA UJIRANI MWEMA ULIOTOLEWA NA HIFADHI ZA TAIFA TANZANIA (TANAPA)

KUPUNGUZA MIMBA ZA UTOTONI SHULE YA SEKONDARI KISHUMUNDU ILIYOPO WILAYA YA MOSHI Mkuu wa mkoawa Kilimanjaro Leonidas Gama akisalimiana na baadhi ya wananchi wakati alipowasili katika shule ya sekondari Kishumundu kwa ajili ya hafla fupi ya makabidhiano jengo la Bweni la wasichana lilojengwa kwa ufadhili wa Hifadhi za Taifa Tanzania ,(TANAPA).Viongozi mbalimbali walioambatana na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ,Leonidas Gama pamoja na wanafunzi wa shule ya sekondari Kishumundu wakiimba wimbo wa...

 

10 years ago

Michuzi

BODI YA KAHAWA(TCB) NA SHIRIKA LA HIFADHI ZA TAIFA(TANAPA) WAIBUKA NA TUZO ZA PPF

Naibu waziri wa Fedha,Mwigulu Mchemba akimkabidhi Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa Bodi ya Kahawa Tanzania(TCB) Astery Bitegeko tuzo na Cheti baada ya kushika nafasi ya pili uwasilishaji  michango ya wanachama wa PPF mapema kwa upande wa sekta ya Kilimo.Naibu waziri wa Fedha,Mwigulu Mchemba akipeana mkono na Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa Bodi ya Kahawa Tanzania(TCB) Astery Bitegeko mara baada ya kumkabidhi  tuzo na Cheti baada ya kushika nafasi ya pili uwasilishaji  michango ya...

 

11 years ago

Michuzi

WASHIRIKI WA WARSHA YA MASHIRIKIANO BAINA YA TANAPA NA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA WATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA MIKUMI



Bwawa la Viboko katika Hifadhi ya Taifa ya Mikumi.Mkuu wa Upelelezi mkoa wa Kilimanjaro Ramadhan Ng'anzi akichukua Taswira katika bwawa la Viboko.Baadhi ya Washiriki wa Warsha wakifurahia Mandhari tofauti katika Hifadhi ya Taifa ya Mikumi.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

GPL

WAZIRI NYALANDU AZINDUA KAMPENI YA UHAMASISHAJI WATANZANIA KUTEMBELEA HIFADHI ZA TAIFA‏

Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Lazaro Nyalandu akisalimiana na Mkurugenzi wa Masoko na Utalii wa TANAPA Bw. Ibrahim Musa wakati alipowasili kwenye klabu ya Yacht, Jijini Mwanza wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Uhamasishaji watanzania kutembelea Mbuga za Taifa iliyozinduliwa leo jijini humo ikiwashirikisha Bodi ya Utalii Tanzania TTB, kulia ni Mkurugenzi wa Mamlaka ya Hifadhi za mbuga za Taifa TANAPA Dr. Allan Kijazi. Kampeni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani