Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAUAJI YA KENYA YANALENGA KUZUA UHASAMA WA KIDINI

MSHAURI wa Rais Uhuru Kenyatta wa nchini Kenya, Abdikadir Mohammed amesema kuwa mauaji ya watu 28 waliokuwa wakisafiri kwenye basi nchini humo jana yalilenga kusababisha vita vya kidini.

Kwenye mahojiano na BBC Abdikadir Mohammed alitoa wito kwa Wakenya kutoka madhehebu yote kuungana pamoja dhidi ya kile alichokitaja kuwa vitendo vya uhalifu.

Wapiganaji wa kundi la Al-Shabaab waliwapiga risasi wasafiri ambao walishindwa kukariri Koran.

Al-Shabaab ilisema kuwa shambulizi hilo lilikuwa la...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MSHAURI WA RAIS UHURU: MAUAJI YA KENYA YANALENGA KUZUA UHASAMA WA KIDINI

Baadhi ya miili ya abiria waliouawa jana na Al-Shabaab eneo la Mandera, Kenya. Basi lililotekwa na Al-Shabaab eneo la Mandera likiwa njiani kuelekea Nairobi.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Mauaji yanalenga kuzua uhasama wa kidini

Mshauri wa rais wa kenya Abdulkadir Mohammed amesema muaji yanalenga kuzua uhasama wa kidini kenya

 

9 years ago

Mwananchi

Mauaji ya ‘Tajiri Mtoto’ yaendelea kuzua utata

Mtandao wa kikundi kinachozalisha pombe kali bandia kinachodaiwa kuwa na uhusiano na baadhi ya watumishi wasiowaaminifu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), unahusishwa na mipango ya kumuua mfanyabiashara Joseph Mahole maarufu ‘Tajiri Mtoto’.

 

11 years ago

BBCSwahili

Uhasama baada ya Tohara ya lazima Kenya

Uhasama waibuka Magharibi mwa Kenya baada ya watu wa jamii ambazo haziwapashi tohara kulazimika kupitia kisu cha ngariba

 

10 years ago

BBCSwahili

Chuo cha kidini chafungwa Kenya

Maafisa nchini Kenya wameifunga Madrassa moja nchini humo kwa madai kuwa inafunza masomo ya itikadi kali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Al Jazeera yaihusisha Kenya na mauaji

Shirika la habari la Al Jazeera limepeperusha ripoti ambayo imehusisha maafisa wa usalama wa Kenya na mauaji ya viongozi wa kidini

 

10 years ago

BBCSwahili

Mshukiwa wa mauaji Kenya na TZ afariki

Mmoja wa watu waliopanga mashambuliz ya kigaidi kwenye balozi za marekani nchini Kenya na Tanzania mwaka 1998 ameaga dunia

 

10 years ago

Mtanzania

Al-Shabaab wafanya mauaji ya kutisha Kenya

Kundi la Al-shabaab

Kundi la Al-shabaab

MANDELA, Kenya

MAUAJI ya kutisha yameendelea kutikisa nchini Kenya baada ya jana asubuhi kundi la wanamgambo la Al-Shabaab kuua watu 36 katika machimbo ya mawe huko Koromey, Kaunti ya Mandera.

Watu waliouawa wote hawakuwa Waislamu na wengi wao wanatoka eneo la Chaka, Kiganjo katika Kaunti ya Nyeri.

Shambulio hilo baya lililotokea karibu na mpaka wa Somalia limekuja ikiwa ni wiki moja tu baada ya kundi hilo kuua watu wengine 28 kwenye kaunti hiyo.

Watu hao waliuawa baada...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mauaji mengine Kenya, 20 wauawa Wajir

Kuna taarifa kuwa watu ishirini wameuawa katika shambulio kwenye kijiji Mashariki Kaskazini mwa Kenya siku ya jumapili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani