Chuo cha kidini chafungwa Kenya
Maafisa nchini Kenya wameifunga Madrassa moja nchini humo kwa madai kuwa inafunza masomo ya itikadi kali.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili13 Oct
Chuo kikuu chafungwa baada ya mwanafunzi kufariki Kenya
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ac68YxxsLJ2hPs-ZNmnen4nCMmwHana7mA5gumYP6n7etGNUchFaySnClvMk0HwC4xN-itsEjTmw24fb6GXAopNaPXVBW0uD/1.jpg)
CHUO FEKI CHA UUGUZI CHAFUNGWA, WANAFUNZI WAHAHA
10 years ago
Habarileo12 Nov
Chuo feki kilichotelekeza wanafunzi chafungwa rasmi
SAKATA la uwepo wa chuo bandia cha Kilimo na Mifugo cha Nice Dream kilichopo Ilemi jijini Mbeya, limechukua sura mpya baada ya serikali na ofisi ya Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE), kukifunga rasmi chuo hicho, huku wanafunzi wakiamriwa kurejea makwao ndani ya siku tatu.
Aidha, mmiliki wa chuo hicho anasakwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kuwatapeli fedha wanafunzi zaidi ya 46 kutoka mikoa mbalimbali nchini, ikiwamo Kagera (41), Mara (2), Mbeya (2) na mmoja kutoka Dar es...
10 years ago
VijimamboWANAJESHI KUTOKA CHUO CHA KIJESHI CHA KENYA WATEMBELEA TBL
10 years ago
Vijimambo02 Apr
Al-Shabab washambulia chuo kikuu cha Garissa Kenya
![](http://gdb.voanews.com/958DA741-3AD6-432D-9C86-C47E57628FBC_cx0_cy40_cw0_w974_n_s_r1.jpg)
![](http://gdb.voanews.com/FC578BFA-AEA0-4825-AB11-2252956A8F2C_cx0_cy15_cw0_w974_n_s_r1.jpg)
![](http://gdb.voanews.com/0B8DFF2A-14FF-4D1A-88E3-B39938960D8C_cx0_cy11_cw0_w974_n_s_r1.jpg)
![](http://gdb.voanews.com/F7078AC8-83AD-4DEB-9263-9A7AFBC7E7F5_cx6_cy9_cw84_w974_n_s_r1.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OIOmqw_EcQo/VhYWSkPvhlI/AAAAAAAH9i4/2vaw8GE3uE8/s72-c/7a747a1914654b38a86e091312247b0a.jpg)
KIWANDA CHA KUKAUSHA NYETI ZA NG'OMBE CHAFUNGWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-OIOmqw_EcQo/VhYWSkPvhlI/AAAAAAAH9i4/2vaw8GE3uE8/s640/7a747a1914654b38a86e091312247b0a.jpg)
9 years ago
StarTV02 Oct
Kiwanda cha China Papers Co-operation Ltd Moshi chafungwa
Baraza la Usimamizi wa Mazigira nchini NEMC limekifunga kiwanda cha China papers Co-operation Limited cha mjini Moshi mkoani Kilimanjaro kwa muda usiojulikana kutokana na kutokidhi vigezo vilivyowekwa na Serikali ikiwemo suala la usafi wa mazingira.
Miongoni mwa sababu zilizochangia kufungwa kiwanda hicho ambacho kinatengeneza Karatasi maalumu (Toilet Paper) ni pamoja na kuwepo kwa mazingira machafu hali ambayo inahatarisha afya za wafanyakazi na wakazi wanaoishi maeneo ya kuzunguka ...
9 years ago
Habarileo08 Oct
Kiwanda cha Wachina wakausha nyeti za ng’ombe chafungwa
SERIKALI imekifungia na kukitoza faini ya Sh milioni kumi kiwanda bubu cha Wachina, kilichopo Tabata Bima, Dar es Salaam kwa kukiuka taratibu za nchi. Kiwanda hicho kilikuwa kikijihusisha kukausha nyeti za ng’ombe na kusafirisha bila kuwa na vibali.
10 years ago
Vijimambo23 Nov
MAUAJI YA KENYA YANALENGA KUZUA UHASAMA WA KIDINI
Kwenye mahojiano na BBC Abdikadir Mohammed alitoa wito kwa Wakenya kutoka madhehebu yote kuungana pamoja dhidi ya kile alichokitaja kuwa vitendo vya uhalifu.
Wapiganaji wa kundi la Al-Shabaab waliwapiga risasi wasafiri ambao walishindwa kukariri Koran.
Al-Shabaab ilisema kuwa shambulizi hilo lilikuwa la...