Kiwanda cha Wachina wakausha nyeti za ng’ombe chafungwa
SERIKALI imekifungia na kukitoza faini ya Sh milioni kumi kiwanda bubu cha Wachina, kilichopo Tabata Bima, Dar es Salaam kwa kukiuka taratibu za nchi. Kiwanda hicho kilikuwa kikijihusisha kukausha nyeti za ng’ombe na kusafirisha bila kuwa na vibali.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OIOmqw_EcQo/VhYWSkPvhlI/AAAAAAAH9i4/2vaw8GE3uE8/s72-c/7a747a1914654b38a86e091312247b0a.jpg)
KIWANDA CHA KUKAUSHA NYETI ZA NG'OMBE CHAFUNGWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-OIOmqw_EcQo/VhYWSkPvhlI/AAAAAAAH9i4/2vaw8GE3uE8/s640/7a747a1914654b38a86e091312247b0a.jpg)
9 years ago
StarTV02 Oct
Kiwanda cha China Papers Co-operation Ltd Moshi chafungwa
Baraza la Usimamizi wa Mazigira nchini NEMC limekifunga kiwanda cha China papers Co-operation Limited cha mjini Moshi mkoani Kilimanjaro kwa muda usiojulikana kutokana na kutokidhi vigezo vilivyowekwa na Serikali ikiwemo suala la usafi wa mazingira.
Miongoni mwa sababu zilizochangia kufungwa kiwanda hicho ambacho kinatengeneza Karatasi maalumu (Toilet Paper) ni pamoja na kuwepo kwa mazingira machafu hali ambayo inahatarisha afya za wafanyakazi na wakazi wanaoishi maeneo ya kuzunguka ...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
Kiwanda cha Wachina chawakera Kipunguni ‘B’
WANANCHI wa Mtaa wa Kipunguni ‘B’, Kata ya Kivule, Ilala, jijini Dar es Salaam wamelalamikia harufu mbaya inayotoka kwenye Kiwanda cha Aminata Mafuta Processing kilichopo eneo hilo. Kiwanda hicho kinachomilikiwa...
9 years ago
VijimamboDC PAUL MAKONDA AFANYA ZIARA YA KUSHITUKIZA KATIKA GEREJI YA WACHINA NA KIWANDA CHA MAFUTA NA SABUNI,
10 years ago
BBCSwahili26 Sep
Chuo cha kidini chafungwa Kenya
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ac68YxxsLJ2hPs-ZNmnen4nCMmwHana7mA5gumYP6n7etGNUchFaySnClvMk0HwC4xN-itsEjTmw24fb6GXAopNaPXVBW0uD/1.jpg)
CHUO FEKI CHA UUGUZI CHAFUNGWA, WANAFUNZI WAHAHA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rGp9IhbhxsU/VBTZPw1Yl3I/AAAAAAAGjeA/UMcrG5vMDUw/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
PINDA AONGOZA KIKAO CHA KUTATUA MGOGORO WA KIWANDA CHA CHAI CHA LUPONDE
![](http://3.bp.blogspot.com/-rGp9IhbhxsU/VBTZPw1Yl3I/AAAAAAAGjeA/UMcrG5vMDUw/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IBnh3HMz2iQ/VBTZQPyOqFI/AAAAAAAGjeE/oSAa-EOK-_o/s1600/unnamed%2B(42).jpg)
11 years ago
Michuzikiwanda cha nguo cha Mazava cha Morogoro chaadhimisha miaka mitano ya kiutendaji
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-curVweAhA70/VozSh8xvBVI/AAAAAAADEiQ/jUm-M1P_Mak/s72-c/maj22.jpg)
WAZIRI MKUU ATEMBELEA KIWANDA CHA TUMBAKU MKOANI RUVUMA NA KUWASIMAMISHA KAZI VIONGOZI WA CHAMA CHA USHIRIKA CHA SONAMCU
![](http://2.bp.blogspot.com/-curVweAhA70/VozSh8xvBVI/AAAAAAADEiQ/jUm-M1P_Mak/s400/maj22.jpg)
Akizungumza jana jioni(Jumanne, Januari 5, 2016), katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu Ndogo ya Songea, wakati alipokutana na wakulima wa zao la tumbaku wa Wilaya ya Namtumbo, Wananchama wa Vyama Vya Ushirika vya Mkoa wa Ruvuma, viongozi wa Mkoa pamoja na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Edwin Ngonyani ambaye ni...