DC PAUL MAKONDA AFANYA ZIARA YA KUSHITUKIZA KATIKA GEREJI YA WACHINA NA KIWANDA CHA MAFUTA NA SABUNI,
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati), akizungumza na wafanyakazi wa Gereji ya Spring City Enterprises inayomilikiwa na raia wa China iliyopo Mikocheni B Mlalakuwa Barabara ya Mwai Kibaki Dar es Salaam leo, alipofika kusikiliza malalamiko yao mbalimbali yakiwemo ya kutokuwa na mikataba ya kazi licha ya kuwa kazini kwa zaidi ya miaka saba. Makonda akiangalia kitambulisho dhaifu wanavyotumia wafanyakazi hao ambacho hakiwezi kutumimika kumuwekea mtu dhamana na shughuli...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog01 Oct
DC PAUL MAKONDA: Afanya ziara ya kushitukiza Kinondoni ataka wafanyakazi wapatiwe mikataba stahiki sehemu za kazi!
10 years ago
VijimamboMhe. Ummy Mwalimu afanya ziara ya ukaguzi wa mazingira katika kiwanda cha OK Plastic
10 years ago
VijimamboWAZIRI SAADA AFANYA ZIARA YA KUSHITUKIZA MITAA YA KARIAKOO NA NAMANGA
9 years ago
MichuziMahojiano na DC Paul Makonda katika kipindi cha JUKWAA LANGU Dec 7 2015
10 years ago
VijimamboDC WA KINONDONI, PAUL MAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL.
5 years ago
MichuziWAZIRI ZUNGU AFANYA ZIARA KIWANDA CHA OCEAN ALLUMINIUM AMBACHO SHEHENA YA MALIGHAFI YAKE IMEKWAMA BANDARINI
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mussa Azzan Zungu (Kulia) akiambatana na Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira wakati...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
Kiwanda cha Wachina chawakera Kipunguni ‘B’
WANANCHI wa Mtaa wa Kipunguni ‘B’, Kata ya Kivule, Ilala, jijini Dar es Salaam wamelalamikia harufu mbaya inayotoka kwenye Kiwanda cha Aminata Mafuta Processing kilichopo eneo hilo. Kiwanda hicho kinachomilikiwa...
10 years ago
MichuziKAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA APONGEZWA KWA KUFUFUA KIWANDA CHA SABUNI GEREZA KUU RUANDA, MBEYA
Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini, John Casmir Minja amepongezwa kwa kukifufua Kiwanda cha utengenezaji Sabuni za aina mbalimbali Gereza Kuu Ruanda, Mbeya.
Pongezi hizo zimetolewa na Maofisa na Askari wa Magereza Mkoani Mbeya kutokana na kukiwezesha Kiwanda hicho vifaa na malighafi za utengenezaji sabuni hivyo kukifanya Kiwanda hicho kizalishe sabuni za kutosha kwa Wafungwa waliopo Magerezani Tanzania Bara.
"Tunampongeza sana Kamishna Jenerali Minja hususani kwa...
9 years ago
Habarileo08 Oct
Kiwanda cha Wachina wakausha nyeti za ng’ombe chafungwa
SERIKALI imekifungia na kukitoza faini ya Sh milioni kumi kiwanda bubu cha Wachina, kilichopo Tabata Bima, Dar es Salaam kwa kukiuka taratibu za nchi. Kiwanda hicho kilikuwa kikijihusisha kukausha nyeti za ng’ombe na kusafirisha bila kuwa na vibali.