Mauaji mengine Kenya, 20 wauawa Wajir
Kuna taarifa kuwa watu ishirini wameuawa katika shambulio kwenye kijiji Mashariki Kaskazini mwa Kenya siku ya jumapili.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili18 Mar
Al shabaab:Watu 3 wauawa Wajir, Kenya
Maafisa wa polisi nchini Kenya wanasema kuwa takriban watu 3 wameuawa katika mji wa kazkazini wa Wajir,
11 years ago
BBCSwahili22 Jun
Watu 20 wauwawa Wajir, Kenya
Kaskazini-mashariki mwa Kenya koo mbili zapambana na watu wengi wauwawa katika ugomvi kuhusu mpaka
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Mauaji mengine yawakuta wakenya
Watu watano wameuawa katika shambulizi lengine katika eneo la Witu karibu na Mpeketoni pwani ya Kenya.
10 years ago
BBCSwahili09 Jan
Washukiwa wa mauaji Ufaransa wauawa
Vyombo vya habari nchini Ufaransa vimeripoti kwamba washukiwa wawili katika mauaji ya Charlie Hebdo wameuawa.
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Wanne wauawa Pakistan kuhusiana na mauaji Peshawar
Pakistan imewanyonga watu wanne waliohusishwa na shambulio katika shule ya jeshi eneo la Peshawar lililoua watu zaidi ya 150.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jNrZ7iSqIta4N4p0pyqsEICn296R3AC2O6om-OYFaW*F569l5nOMXyAKnWzvRoF2jvHC8Gl9dkzql6lISjoBnF4hldPWcObp/Alshabaab.jpg)
36 WAUAWA NA AL SHABAB KENYA
Baadhi ya Wanamgambo wa Al Shabab. TAKRIBANI watu 36 wanahofiwa kufariki katika shambulio lililotokea kwenye machimbo ya kokoto karibu na mji wa Mandera kaskazini mwa Kenya. Shirika la Msalaba Mwekundu nchini Kenya limethibitisha. Wakazi wa eneo hilo wamesema waathirika wote wa tukio hilo ni watu wasio Waislam ambao walikuwa wakifanya kazi katika machimbo hayo yaliyopo Kormey kilomita 15 kutoka mji wa Mandera Kaskazini mwa...
10 years ago
BBCSwahili13 Jul
Polisi 2 wauawa na Al-Shabaab Kenya
Watu 5 miongoni mwao maafisa wawili wa polisi wamefariki baada ya gari walilokuwa wakisafiria kukanyaga bomu la kutegwa ardhini.
11 years ago
BBCSwahili23 Apr
4 wauawa katika shambulizi Kenya
Watu 4 wanahofiwa kufariki katika shambulizi la bomu lililokuwa limetegwa katika gari moja karibu na kituo cha polisi mjini Nairobi
11 years ago
BBCSwahili26 May
Wanajeshi wa Kenya wauawa na Al Shabaab
Ripoti zinasema msafara wa wanajeshi wa Kenya ulikuwa ukielekea eneo la Ras Kamboni wakati shambulio hilo lilipotokea.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania