Watu 20 wauwawa Wajir, Kenya
Kaskazini-mashariki mwa Kenya koo mbili zapambana na watu wengi wauwawa katika ugomvi kuhusu mpaka
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili18 Mar
Al shabaab:Watu 3 wauawa Wajir, Kenya
Maafisa wa polisi nchini Kenya wanasema kuwa takriban watu 3 wameuawa katika mji wa kazkazini wa Wajir,
11 years ago
BBCSwahili22 Jun
Mauaji mengine Kenya, 20 wauawa Wajir
Kuna taarifa kuwa watu ishirini wameuawa katika shambulio kwenye kijiji Mashariki Kaskazini mwa Kenya siku ya jumapili.
10 years ago
BBCSwahili07 Dec
Watu kadha wauwawa karibu na Beni DRC
Shambulio jengine lafanywa mashariki mwa Congo na watu 30 wauwawa
10 years ago
BBCSwahili01 Nov
Polisi wauwawa Turkana, Kenya
Polisi wauwawa na kutoweka kaskazini mwa Kenya wakati wa operesheni za usalama
10 years ago
BBCSwahili22 Nov
Zaidi 28 wauwawa na wanamgambo Kenya
Polisi nchini Kenya wanasema kuwa wanamgambo wanaoshukiwa kuwa wa kundi la Al Shabaab wamewauwa kwa kuwapiga risasi zaidi ya watu 28 waliokuwa wakisafiri kwenye basi moja karibu na mpaka wa Somalia.
9 years ago
Michuzi03 Dec
WATU 14 WAUWAWA USIKU WA KUAMKIA LEO NCHINI MAREKANI
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/56KFLXM9yMKtpqJOHigcKn7wHPpmRLK-Um5hvSbwoYxMYyXOdHh7pa1Zca5NIiICvm0DIt9lKCXeS2PfXartApWnSENkXM8etzDKZw_j6YJ8j6-mtWd5t8rViJPvJmUxnPB_zk7QEjL8TxMqdMJ3U1OE4_Rrc5NPWR1Unn-iv9Q0MJPpqU8gGsbnxXaj5VJ1lbKbPeaR05XijK5698Syx_Q=s0-d-e1-ft#http://ichef-1.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/12/02/151202223447_sp_california_shooting_3_624x351_afp.jpg)
Polisi nchini Marekani imesema takriban watu 14 wameuawa na wengine 14 kujeruhiwa baada ya kupigwa risasi na watu wenye silaha katika mji wa San Bernadino mashariki mwa Los Angeles.
Polisi mjini humo inasema tukio hilo limetokea kwenye kituo cha huduma kwa watu wenye ulemavu na inawezekana lilihusisha watu watatu wenye silaha ambao wametoroka kwa gari.Watu hao wenye silaha wanasemakana walivalia kijeshi na walitumia silaha...
10 years ago
BBCSwahili19 Oct
Wanaume watano wauwawa Moyale, Kenya
Wanaume watano wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa Al-Shabaab wapigwa risasi na kuuwawa nchini Kenya karibu na mpaka wa Ethiopia
10 years ago
Michuzi13 Jul
NEWS ALERT: WATU KADHAA WAUWAWA, SILAHA ZAPORWA BAADA YA MAJAMBAZI KUVAMIA KITUO KIDOGO CHA POLISI CHA SITAKISHARI, UKONGA, JIJINI DAR ES SALAAM USIKU HUU
Habari zilizotufikia chumba cha habari zinasema kwamba watu kadhaa wameuwawa na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi, baada ya kuvamia kituo kidogo cha Polisi cha Sitakishari, Ukonga jijini Dar es salaam usiku huu.
Habari ambazo hazijathibitishwa zinasema kwamba askari polisi kadhaa kituoni hapo pamoja na raia mmoja wameuwawa. Silaha kadhaa pia inasemekana zimeporwa na askari wako eneo la tukio hivi sasa.
Tunaendelea kufuatilia taarifa hii na tutawajuza maendeleo yake kadri tutapopata fununu...
Habari ambazo hazijathibitishwa zinasema kwamba askari polisi kadhaa kituoni hapo pamoja na raia mmoja wameuwawa. Silaha kadhaa pia inasemekana zimeporwa na askari wako eneo la tukio hivi sasa.
Tunaendelea kufuatilia taarifa hii na tutawajuza maendeleo yake kadri tutapopata fununu...
10 years ago
Vijimambo21 Dec
POLISI WAWILI WAUWAWA NEW YORK
![](http://si.wsj.net/public/resources/images/BN-GC681_2nycop_P_20141220182150.jpg)
![](https://tribktla.files.wordpress.com/2014/07/452855164.jpg)
Polisi wawili wameuwawa mjini Brooklyn New Yrk na mtu ambaye inasemekana amesafiri toka Baltimore Maryland kwa kukusudia kufanya mauaji hayo na baadae kujipiga risasi baada ya kuzingirwa na polisi ndani ya kituo cha treni.
Polisi wawili waliouwawa Wenjan Liu na Rafael Ramos waliuwawa siku ya jumamosi mchana Desemba 20, 2014 wakiwa ndani ya gari lao wakiwa wameegesha mjini...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania